Unafiki wa wana-UKAWA

Unafiki wa wana-UKAWA

Hivi kuna serikali ya Tanganyika? Ardhi ya watanganyika inasimamiwa na serikali gani?

Kuhusu Warioba, kama ana matatizo yote hayo uliyosema basi hata huyo aliyempa uenyekiti wa tume atakuwa boya kabisa. Unataka kusema mwenyekiti wa chama chenu ni mbumbumbu kabisa kiasi hicho? Au ndio kama vile aliitwa dhaifu? maana inaelekea hajui hata wafujaji wa uchumi kama Warioba kwa mtazamo wako.

Na nikirejea 'signature' yako, hivi hicho chama chenu na Nyerere wake, kama alikuwa na malengo ya muungano halisi, alishindwaje kuweka serikali moja? Upuuzi kabisa.

Mkuu,
Mungu alimuumba Shetani lakini baadaye akawa na kiburi akalewa sifa, akawa adui mkubwa sana wa Mungu! Mungu ataitwa Mungu na sifa zake zilizo njema zitaendelea kutukuka! Warioba naye aliaminiwa sana kwamba atatupa Katiba bora lakini akalewa sifa, akawa sio tu anafanya yale ayatakayo bali akawa hata analazimisha yale anayoyaamini yakubalike, sasa hii nchi imekuwa ya kwake au vipi? Kikwete ataendelea kuenziwa wakati Warioba Historia itaendelea kumhukumu!

Kuhusu "signature" sishangai wewe kumkejeli mwasisi wa taifa hili maana tuliona UKAWA wakiporomosha matusi dhidi yake! Endelezeni basi matusi yenu na chuki mlizo nazo mioyoni mwenu, uzuri wananchi wamefunguka macho wanawaelewa! Kama huamini basi subirini kwenye kura za maoni muone jinsi wananchi wakavyowaumbua!
 
Mkuu,
Kawasalishe/kawaswalishe wana-UKAWA na mzee wao Warioba!

Hivi wewe na warioba unadhani nani ni CCM zaidi. Kwa taarifa yako tu warioba kama retired waziri mkuu analipwa 80% ya mshahara wa pinda sasa wewe kajamba nani una haki gani ya kumuita warioba ni wa ukawa. Kinachokusumbua wewe ni tumbo lako hujaweza kuliridhisha. So katika 3 human basic need hata moja hujawa na uhakika nayo na ndo kinachokutesa. Warioba anakula mafao.
 
Hivi wewe na warioba unadhani nani ni CCM zaidi. Kwa taarifa yako tu warioba kama retired waziri mkuu analipwa 80% ya mshahara wa pinda sasa wewe kajamba nani una haki gani ya kumuita warioba ni wa ukawa. Kinachokusumbua wewe ni tumbo lako hujaweza kuliridhisha. So katika 3 human basic need hata moja hujawa na uhakika nayo na ndo kinachokutesa. Warioba anakula mafao.

Sifa zote unazozitaja juu ya Warioba na sisi tunazifahamu ndio maana tunamshangaa analazimisha mawazo yake yakubalike hata kama sio sahihi! Hayo mafao ni stahili yake wala hatumuonei wivu, sisi tunazungumzia juu ya unafiki wa wana-UKAWA, kwamba Warioba kafanya dhambi ile ile wanayoilalamikia dhidi ya Bunge Maalum la Katiba lakini wao hawasemi chochote!
 
Mkuu,
Mungu alimuumba Shetani lakini baadaye akawa na kiburi akalewa sifa, akawa adui mkubwa sana wa Mungu! Mungu ataitwa Mungu na sifa zake zilizo njema zitaendelea kutukuka! Warioba naye aliaminiwa sana kwamba atatupa Katiba bora lakini akalewa sifa, akawa sio tu anafanya yale ayatakayo bali akawa hata analazimisha yale anayoyaamini yakubalike, sasa hii nchi imekuwa ya kwake au vipi? Kikwete ataendelea kuenziwa wakati Warioba Historia itaendelea kumhukumu!

Kuhusu "signature" sishangai wewe kumkejeli mwasisi wa taifa hili maana tuliona UKAWA wakiporomosha matusi dhidi yake! Endelezeni basi matusi yenu na chuki mlizo nazo mioyoni mwenu, uzuri wananchi wamefunguka macho wanawaelewa! Kama huamini basi subirini kwenye kura za maoni muone jinsi wananchi wakavyowaumbua!

Kweli nimeamini kuna shida. Kuhusu Warioba najua mtamtukana sana na mipasho yenu ya ki-Komba-komba na taarabuu zake kwa kuwa tu mlidhani atawalamba miguu lakini akaamua kwenda vile alivyoona inafaa kwa manufaa makubwa ya taifa. Sishangai.

Kuhusu 'signature' yako sasa umelalamika kukashifiwa mwasisi wa taifa lakini haujajibu hoja. Kwa nini serikali mbili na si moja kama kweli nia ni muungano thabiti? Hiyo serikali ya Zanzibar iliyoachwa iendelee wakati serikali ya Tanganyika imekuwa dissolved ilikuwa ya nini kama si kutengeneza mazingira ya mkanganyiko ambao sasa ndio unaonekana? Kumbuka wewe hujajibu hata hoja ya ni serikali ipi inatakiwa kusimamia ardhi ya Watanganyika...wewe unakwepa hoja unakimbilia kusema unayotaka tu kusema

Sasa hivi unadai tusubiri kwenye kura ya maoni, sina sababu ya kusubiri. Najua matokeo yake yatakuwaje maana CCM ambayo imeweza hata kujaribu kubadilisha kura zilizotamkwa waziwazi haitashindwa 'kupika' matokeo inayoyataka wakati wa kura za maoni. CCM iliyoweza kuhesabu kura ya marehemu na kuijumlisha, haitashindwa kutupatia matokeo inayoyataka. CCM ambayo imefanikiwa 'kuhamishia' wajumbe wa BMK toka Tanganyika wakawa wajumbe wa Zanzibar ili kufidia upungufu haiwezi kushindwa kutupatia matokeo inayoyataka. Kama unajiamini, naomba uniambie ni kwa nini takwimu za wajumbe toka bara na Zanzibar kwa mujibu wa uteuzi wa Rais, kwa mujibu wa tovuti ya BMK, na kwa mujibu wa taarifa ya Sitta wakati wa kuanza zoezi la upigaji kura zinatofautiana na zile za matokeo baada ya kupiga kura? Umezoea kunukuu ninachosema bila kujibu hoja ambazo nimetoa, sasa naomba hii usiikimbie, Jibu hoja kwa hoja siyo kuingiza mambo mengine. kama unataka kuandika yasiyohusiana na hoja yangu, usinukuu nilichosema. Ila kwa sasa ili niamini unajua unachoongelea, jibu hoja moja baada ya nyingine kwenye bandiko hili.

Hii ni kwako Buchanan na wale ambao wana msimamo kama wako, hili hamtaki kulijibu na ndiyo maana hata 6 mwenyewe akiulizwa ghafla takwimu za wajumbe wa tume anajikanyaga tu hajui atumie zipi.
 
Kweli nimeamini kuna shida. Kuhusu Warioba najua mtamtukana sana na mipasho yenu ya ki-Komba-komba na taarabuu zake kwa kuwa tu mlidhani atawalamba miguu lakini akaamua kwenda vile alivyoona inafaa kwa manufaa makubwa ya taifa. Sishangai.

Kuhusu 'signature' yako sasa umelalamika kukashifiwa mwasisi wa taifa lakini haujajibu hoja. Kwa nini serikali mbili na si moja kama kweli nia ni muungano thabiti? Hiyo serikali ya Zanzibar iliyoachwa iendelee wakati serikali ya Tanganyika imekuwa dissolved ilikuwa ya nini kama si kutengeneza mazingira ya mkanganyiko ambao sasa ndio unaonekana? Kumbuka wewe hujajibu hata hoja ya ni serikali ipi inatakiwa kusimamia ardhi ya Watanganyika...wewe unakwepa hoja unakimbilia kusema unayotaka tu kusema

Sasa hivi unadai tusubiri kwenye kura ya maoni, sina sababu ya kusubiri. Najua matokeo yake yatakuwaje maana CCM ambayo imeweza hata kujaribu kubadilisha kura zilizotamkwa waziwazi haitashindwa 'kupika' matokeo inayoyataka wakati wa kura za maoni. CCM iliyoweza kuhesabu kura ya marehemu na kuijumlisha, haitashindwa kutupatia matokeo inayoyataka. CCM ambayo imefanikiwa 'kuhamishia' wajumbe wa BMK toka Tanganyika wakawa wajumbe wa Zanzibar ili kufidia upungufu haiwezi kushindwa kutupatia matokeo inayoyataka. Kama unajiamini, naomba uniambie ni kwa nini takwimu za wajumbe toka bara na Zanzibar kwa mujibu wa uteuzi wa Rais, kwa mujibu wa tovuti ya BMK, na kwa mujibu wa taarifa ya Sitta wakati wa kuanza zoezi la upigaji kura zinatofautiana na zile za matokeo baada ya kupiga kura? Umezoea kunukuu ninachosema bila kujibu hoja ambazo nimetoa, sasa naomba hii usiikimbie, Jibu hoja kwa hoja siyo kuingiza mambo mengine. kama unataka kuandika yasiyohusiana na hoja yangu, usinukuu nilichosema. Ila kwa sasa ili niamini unajua unachoongelea, jibu hoja moja baada ya nyingine kwenye bandiko hili.

Hii ni kwako Buchanan na wale ambao wana msimamo kama wako, hili hamtaki kulijibu na ndiyo maana hata 6 mwenyewe akiulizwa ghafla takwimu za wajumbe wa tume anajikanyaga tu hajui atumie zipi.

Wana-UKAWA kwa ku-divert mada hawajambo! Haya tuambie kwa nini kipenzi chenu Warioba katupilia mbali maoni ya Wazanzibari 67% na nyie wana-UKAWA hilo haliwasumbui ila linalowasumbua ni maoni ya watu elfu 17 tu?
 
Wana-UKAWA kwa ku-divert mada hawajambo! Haya tuambie kwa nini kipenzi chenu Warioba katupilia mbali maoni ya Wazanzibari 67% na nyie wana-UKAWA hilo haliwasumbui ila linalowasumbua ni maoni ya watu elfu 17 tu?

Short-minded. Umeshindwa kujibu hoja zangu unaleta zako mpya. Jibu kwanza hizo ulizonukuu hapo ndio uulize mengine ya kwako. majibu yako ninayo lakini wewe unakwepa kujibu hoja kwa sababu umekaririshwa maneno ya kusema, ukiulizwa huna majibu.
 
Mkuu,
Mungu alimuumba Shetani lakini baadaye akawa na kiburi akalewa sifa, akawa adui mkubwa sana wa Mungu! Mungu ataitwa Mungu na sifa zake zilizo njema zitaendelea kutukuka! Warioba naye aliaminiwa sana kwamba atatupa Katiba bora lakini akalewa sifa, akawa sio tu anafanya yale ayatakayo bali akawa hata analazimisha yale anayoyaamini yakubalike, sasa hii nchi imekuwa ya kwake au vipi? Kikwete ataendelea kuenziwa wakati Warioba Historia itaendelea kumhukumu!

Kuhusu "signature" sishangai wewe kumkejeli mwasisi wa taifa hili maana tuliona UKAWA wakiporomosha matusi dhidi yake! Endelezeni basi matusi yenu na chuki mlizo nazo mioyoni mwenu, uzuri wananchi wamefunguka macho wanawaelewa! Kama huamini basi subirini kwenye kura za maoni muone jinsi wananchi wakavyowaumbua!

Kusema Baba wa Taifa hakuwa MUNGU ni kumkejeli? Nyerere ni MUNGU?
 
Aliyekudanya wewe Kuwa kuwepo kwa Tanganyika ndiyo mwarobaini wa umasikini wako wa kufikiri na wa mali ni nani?
 
Back
Top Bottom