Unafiki wa wana-UKAWA

Unafiki wa wana-UKAWA

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,976
Warioba kachakachua maoni ya Wazanzibari 67% waliotaka Muungano wa Mkataba wao wako kimya, sio kitu, lakini Bunge Maalum la Katiba kurekebisha Rasimu ya Warioba kwa 19% imekuwa tabu.

Kwa mtindo huu sisi wananchi tunawaona kuwa UKAWA mna ajenda ya siri na hakuna maslahi yoyote ya umma mnayoyatetea,

Ndio maana mnazungumzia na kukomalia muundo wa utawala tu ila mambo yanayogusa hasa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida, eg haki za wazee, vijana, wanawake, nk sio tatizo kwenu.

Acheni unafiki wana-UKAWA.
 
Warioba kachakachua maoni ya Wazanzibari 67% waliotaka Muungano wa Mkataba wao wako kimya, sio kitu, lakini Bunge Maalum la Katiba kurekebisha Rasimu ya Warioba kwa 19% imekuwa tabu!
Kwa mtindo huu sisi wananchi tunawaona kuwa UKAWA mna ajenda ya siri na hakuna maslahi yoyote ya umma mnayoyatetea! Ndio maana mnazungumzia na kukomalia muundo wa utawala tu ila mambo yanayogusa hasa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida, eg haki za wazee, vijana, wanawake, nk sio tatizo kwenu!
Acheni unafiki wana-UKAWA!

Nyie wananchi au nyie wana CCM?
Kwa hiyo kwenye hizo asilimia 19 mlizobadilisha hao wananchi wa Zanzibar mmewawekea huo muungano wa mkataba?
Usije ukasema kuwa haukuwemo kwenye rasimu maana hata hiyo ya serikali mbili mliyoweka haikupendekezwa na rasimu ya Warioba, ilitajwa tu kama ulivyotajwa muungano wa mkataba.
 
Mnafiki wewe....uchakachuaji wa maadili ya viongozi hujayazungumzia?
 
Nyie wananchi au nyie wana CCM?
Kwa hiyo kwenye hizo asilimia 19 mlizobadilisha hao wananchi wa Zanzibar mmewawekea huo muungano wa mkataba?
Usije ukasema kuwa haukuwemo kwenye rasimu maana hata hiyo ya serikali mbili mliyoweka haikupendekezwa na rasimu ya Warioba, ilitajwa tu kama ulivyotajwa muungano wa mkataba.
Kwa nini UKAWA wanamfumbia macho Warioba na kumwona ni "mungu-mtu" wakati kachakachua maoni ya "wananchi walio wengi?"
 
Warioba kachakachua maoni ya Wazanzibari 67% waliotaka Muungano wa Mkataba wao wako kimya, sio kitu, lakini Bunge Maalum la Katiba kurekebisha Rasimu ya Warioba kwa 19% imekuwa tabu!
Kwa mtindo huu sisi wananchi tunawaona kuwa UKAWA mna ajenda ya siri na hakuna maslahi yoyote ya umma mnayoyatetea! Ndio maana mnazungumzia na kukomalia muundo wa utawala tu ila mambo yanayogusa hasa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida, eg haki za wazee, vijana, wanawake, nk sio tatizo kwenu!
Acheni unafiki wana-UKAWA!

Buchanan, kama ulichokiandika hapa unakiamini 100% naomba uandike maneno yafuatayo neno kwa neno:

"Mungu wa Israel, naamini kuwa upo na unaishi milele, nilichokiandika hapa JF ni cha haki. Na kama nilichokiandika hapa JF si cha ukweli na huku najua kuwa si cha ukweli basi adhabu yako ya haki na iwe juu yangu milele"
 
siku zote ukiona mtu anapenda kusifia vitu vichafu basi ujue yy ni mchafu zaidi wajumbe wa ccm hii dhambi ya kupiga mpaka kwa marehemu itawahukumu daima
 
Umeongea point ya msingi mno ila kumbuka hapa watu hawaongozwi na ukweli bali ni ushabiki tu.
 
Buchanan, kama ulichokiandika hapa unakiamini 100% naomba uandike maneno yafuatayo neno kwa neno:

"Mungu wa Israel, naamini kuwa upo na unaishi milele, nilichokiandika hapa JF ni cha haki. Na kama nilichokiandika hapa JF si cha ukweli na huku najua kuwa si cha ukweli basi adhabu yako ya haki na iwe juu yangu milele"
Mkuu,
Kawasalishe/kawaswalishe wana-UKAWA na mzee wao Warioba!
 
siku zote ukiona mtu anapenda kusifia vitu vichafu basi ujue yy ni mchafu zaidi wajumbe wa ccm hii dhambi ya kupiga mpaka kwa marehemu itawahukumu daima
UKAWA nani kawaloga?
 
Warioba kachakachua maoni ya Wazanzibari 67% waliotaka Muungano wa Mkataba wao wako kimya, sio kitu, lakini Bunge Maalum la Katiba kurekebisha Rasimu ya Warioba kwa 19% imekuwa tabu!
Kwa mtindo huu sisi wananchi tunawaona kuwa UKAWA mna ajenda ya siri na hakuna maslahi yoyote ya umma mnayoyatetea! Ndio maana mnazungumzia na kukomalia muundo wa utawala tu ila mambo yanayogusa hasa maisha ya kila siku ya mwananchi wa kawaida, eg haki za wazee, vijana, wanawake, nk sio tatizo kwenu!
Acheni unafiki wana-UKAWA!

Wewe kama ni kijana basi ndiyo walewale wakina makonda wanaosherekea kupatika kwa rasimu ya vijicenti na fisadi mwenzake sita asiyekuwa na akili mpaka kufikia atua ya kutukana maaskofu kwa wewe nae sikushangai sana kwa sababu inawezekana nawe ni fasadi Moja wapo kaa kimya usubirie kura za wanatnganyika hili muabike
 
Back
Top Bottom