Wabunge wa baraza la wawakilishi ZNZ ni wawakilishi wa wazanzibari lakini nathubutu kusemakuwa wamezidi UNAFIKI na kuwa na double standards
Baa zinachomwa moto huko ZNZ lakini wabunge wao wako mstari wa mbele ku tangaza pombe kama picha zinavyoonyesha hapo chini.
TBL ilipotaka ku sponsor ligi kuu Znz wakajiai ohhh pombe ni kinyume na maadili ya wazanzibari sasa leo hayo maadili yamebadilika?
Halafu eti wanathubutu kutaka kuvunja muungano....wamenunuliwa na milioni 60 tuu za TEDI mapunda kuvaa jezi za kutangaza pombe sasa who not tusiongeze zero nyingine tukakinunua kisiwa kizima?
btw waliovaa jezi silizoandikwa SERENGETI ni wabunge wa ZNZ
Mwenyekiti wa baraza la wawakilishi HAMZA HASSAN JUMA huyo hapo kushoto
waheshimiwa frm ZNZ :
HAMZA HASSANI JUMA
DAU HAMAD MAULIDI
ALI NASSOR JAZEERA
MICHUZI: sbl yatumia zadi ya mil 65 kuadhamini mechi ya wabunge na baraza la wawakilishi zanzibar.
Baa zinachomwa moto huko ZNZ lakini wabunge wao wako mstari wa mbele ku tangaza pombe kama picha zinavyoonyesha hapo chini.
TBL ilipotaka ku sponsor ligi kuu Znz wakajiai ohhh pombe ni kinyume na maadili ya wazanzibari sasa leo hayo maadili yamebadilika?
Halafu eti wanathubutu kutaka kuvunja muungano....wamenunuliwa na milioni 60 tuu za TEDI mapunda kuvaa jezi za kutangaza pombe sasa who not tusiongeze zero nyingine tukakinunua kisiwa kizima?
btw waliovaa jezi silizoandikwa SERENGETI ni wabunge wa ZNZ
Mwenyekiti wa baraza la wawakilishi HAMZA HASSAN JUMA huyo hapo kushoto
waheshimiwa frm ZNZ :
HAMZA HASSANI JUMA
DAU HAMAD MAULIDI
ALI NASSOR JAZEERA
MICHUZI: sbl yatumia zadi ya mil 65 kuadhamini mechi ya wabunge na baraza la wawakilishi zanzibar.