PreGE2025 Unafiki wa media za Bongo kuhusu Gwajima, zimejikita kwa Jerry utafikiri hawakuona ya Gwajima

PreGE2025 Unafiki wa media za Bongo kuhusu Gwajima, zimejikita kwa Jerry utafikiri hawakuona ya Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima.

Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
msiwalaumu jamani wakifanya kinyume na maelekezo watafungiwa
 
Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima.

Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
Unategemea chochote toka kwa media za kina.
Pascal mayala
Balile na manyerere jacton??
Hawa ni vibaraka wa wawatawala
 
Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima.

Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
Jambo tv pia walionesha
 
Ni kweli wanafiki
Walimjazia vinasa sauti wakapokea bahasha zake
 
Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima.

Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
Hawawezi andika upumbavu,kwani huyo Gwajiboy ana faida gani ?
 
Nasikia media zilifokewa vikali kupost hizo clip na online media wakaambiwa wazifute
 
Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima.

Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
Mkuu naomba nikujulishe hivi

MURO anafanya kazi gani aweze kuita media ,amepata wapi hela za kulipia venue .

Media hizo zimeelekezwaa na watu makusudii.

Sema sijaona cha maana alichoongea hakujibu hata hoja moja wa Askofu Gwajima
 
Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima.

Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
Ukiripoti habari za hivyo kwenye tuzo za KALAMU YA MAMA huwezi kuwepo
naona hata millard hajapost
 
Watu wapenda haki za binadamu kuishi, ni wakati sasa wa kususia vyombo vyote vya habari, ambavyo vinaunga mkono mauaji ya raia. Kuanzia Online, kuacha kununua magazeti yao. Kazi zao zozote kuzisusia. Ukijua hili, wenzako wanajua lile.
 
Watu wapenda haki za binadamu kuishi, ni wakati sasa wa kususia vyombo vyote vya habari, ambavyo vinaunga mkono mauaji ya raia. Kuanzia Online, kuacha kununua magazeti yao. Kazi zao zozote kuzisusia. Ukijua hili, wenzako wanajua lile.
Hakika Ndugu yangu
 
Fungua media yako ili Uripoti Mwenyewe kile unachotaka Mwenyewe. Usitake watu wajadili kila ujinga unaoutaka wewe
 
Hii ya vyombo vya habari nayo imo kwenye press ya Gwajima, kwamba mamlaka ya juu ndiyo inasababidha haya yote, kwamba mefia house owner and presenters hata wao wana familia, zinawategemea'
 
Back
Top Bottom