Unafiki wa Hellen Kijo Bi Simba

Status
Not open for further replies.
Jamani naomba nieleweke katika hili tatizo la heleni na tundu lisu ni moja kama hawajatibiwa mda si mwingi wanaweza kuvaa nguo kichwani heleni siku hizi anahongwa mpaka kumi elfu ili atetee chama chake na kuichafua serikali ila hatafanikiwa na panga ambalo limetumika kukata mapembe ya wahuni wa mtwara lielekezwe kwake atatulizwa tu.
 
Taswira anachowinda hapo ni bk 7 ya siku + laki 2 mwisho wa mwezi. Wachangiaji wa mada wanavyokuwa wengi ndiyo anazidi kupata uhakika wa hiyo laki 2 vinginevyo kwake haijalishi kama mnamponda kwa ----- aliopost ama la.
Kinywa daima hunena yaliyo moyoni ni ishara tosha kuwa chadema ndivyo wanavyokufanyia.
 
 
mkuu wanapigwa tuu
wanapelekwa hospitali hakuna huduma nzuri maisha yao yanakuwa hatarini
tunataka pinda ashitakiwe tumechoka
Wakuu hapa kijo bisimba alikuwa anafanya nini watalamu wa haya mambo twambieni.
 

Unajitambua na kuheshim uwepo wako hapa dunian hususan Tanzania?
 
Historia inaonesha kuwa watu wenye meno mengi huwa na matatizo hasa ya kibiolojia ingimwangalia vizuri huyu mama meno yamejaa mdomoni mengine sijui ya nini.
 

Wee naye rudi kasoma, kwani kisimba pale ni Taasisi...( LHRC is separate legal Inst.) kasome MGT THEORY kitabu cha fayol.
 

Dosari ya analysis yako ni pale unapo jishusha na kutuhumu Chama badala ya kusimamia hoja yako kwa muhusuka.

The Good thing of the whole issue ni kuwa TANZANIA IMEANDIKA HISTORIA KWA WAZIRI MKUU kuburuzwa mahakamani. The message here is simple, huu ni ushindi na demokrasia tosha kuwa ALL SHOULD BEHAVE ....!
 
Mtoa mada mbona hukusema serukamba alipotukana mother f**k Naye ampeleke mahakamani
 
Unajitambua na kuheshim uwepo wako hapa dunian hususan Tanzania?
Mimi sinahaja ya kujitambua kwa hilo ila jamii ninayoitumikia ndiyo inayojua umhimu wangu hapa duniani nadhani ushanipata.
 
kama anatumika au anatumikia sisi atujui unajua mwenyewe na ndugu zako kawaulize uenda watakujibu kama akili yao pia ni ndogo kama yakwako watu kama nyie mna matatizo makubwa.
 

Reasoning nzuri ni pale mtu anapotoa hoja na kuweza kui'support'. Sasa wewe unaotoa hoja na unashindwa kui'support' na kisha unahitimisha. Sasa namna ya kutoa hoja kwa namna hii umejifunzia wapi? There is no rational argument in what you have said, boy!
 
Taswira ni mpu..mba..vuu zaidi ya pinda
 
Last edited by a moderator:
Mbona povu linakutoka hivyo?

Huku kwetu Gari la Polisi linaitwa Farasi Mweupe, Kuna ONe TeN na Cruiser kibao zina Rangi nyeupe, Tena ni Marufu kwa Mauaji hizi Gari.
 
Mimi sinahaja ya kujitambua kwa hilo ila jamii ninayoitumikia ndiyo inayojua umhimu wangu hapa duniani nadhani ushanipata.

Unatumikishwa na jamii ya wezi, wahujumu wa rasilimali za nchi na walanguzi wa mihadarati japo pengine hujajitambua katika hilo ama umepigwa upofu kwa masazo unayorushiwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…