Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,074
- 1,143
Kuto kutumika kwa asakari hiyo ipo wazi mkuu hizo breed 2 kichwa chao hakiendani na matakwa ya hiyo kazi. Ndio maana hata wa unasaji hawatoki kwenye gsd,wanatoka kwenye breed zingineKweli unahisi Mimi nimekariri hii ni fani yangu vet..hawa pitbull nimekuwa nao unadhi kwann pitbull hawatumiki zaid kwenye ulinzi na usalama kwa askari?
Kanuni zipo shida ni kwa sisi wafugaji huwa hatupendi kusikiliza wataalamu wanatuelekeza nini, vet ndio aliyesomea hiyo kazi kwanini tunawabishia?na kuongeza maujuzi yetu?Nimegundua kuwa kuna matunzo mbalimbali ya mbwa.
Hakuna kanuni iliyo rasmi.
Mie nafuga mbwa kama kitoweo.
Mndali
Mkuu wangu wanakula dona. Wana miaka miwili. Jike kazaa mwezi ulopita wazuri kweliMbwa wako wana umri gani?mbwa unaweza hata kumlisha mara 2 na akawa sawa kabisa kikubwa ni kufwata kiasi maalumu cha kumlisha mbwa,unga wa mahindi sio mzuri kwa mbwa
Mkuu mbwa wangu nawafungulia usiku asubuhi nawafungia. Mchana hawabanwi haja.? Wakibanwa wataenda wapi.? Sifugi Pappy nafuga wa ulinzi.Mkuu awa mbwa umewalea kijinga Sana...... Mm mbwa awanyi Kwenye banda na sehemu Yao YA kunya daily ni moja..... Matatizo YA mbwa kunya Kwenye banda wanakuwa wachafu Alafu wakikojolea Yale mavi yanatengeneza bacteria wanaozalisha kupe.... Mm nafuga mbwa kuanzia utoto wangu hadi Sasa Nipo early 30..... Mbwa akiwa na tabia YA kunya bandani namfundisha akiwa na kichwa ngumu namuuza au kugawa.... Mambo YA kuzoa mavi bandani yanakera Sana na ukisafiri wale unaowaachia jukumu awawez kufanya kama ww
Mpe kachaso then hakikisha kila siku asbh unamtandika bakora mbili mujarabu utakuja kuleta mrejesho
Kwanza wewe mwenyewe ukilala usiku uwe KAMILIGADO..Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.
Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.
Aksante
Natafuta gsdUmesema vizuri ila naomba nikusahihishe kidogo. Pitbull/Rottweiler sio wakorofi shida mbwa unavyo muanzisha ndivyo atakavyo kuwa. Rott ni mbwa anaweza changanyika na mbwa yeyote kikubwa uanze nae bado mdogo na uwafanyie maelewano wanakuwa pamoja bila ya shida kabisa. Me nafuga gsd na maltes na hawana shida,na mwenzangu anafuga Rott na gsd hakuna shida
Upo wapiNatafuta gsd
Nipo darUpo wapi
Hukua unawapatia chanjoMi nimejaribu kuwafuga wamenishinda wamekufa zaidi ya 10. Wengine wanapotea.
Akijisaidia bandani mnusishe kinyesi chake humo humo bandani alafu chapa fimbo za ukweli huku unarudia kumnusisha siku 3 nyingi alafu leta mrejeshoMimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
Kama unga wa mahindi sio mzuri je ni chakula gan ndo kinamfaa??Mbwa wako wana umri gani?mbwa unaweza hata kumlisha mara 2 na akawa sawa kabisa kikubwa ni kufwata kiasi maalumu cha kumlisha mbwa,unga wa mahindi sio mzuri kwa mbwa
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.
Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.
Aksante
Mpe Bange mbichi. Usizidishe kipimo atakuwa na kichaaaaSalaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.
Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.
Aksante