Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,075
- 1,143
Kuto kutumika kwa asakari hiyo ipo wazi mkuu hizo breed 2 kichwa chao hakiendani na matakwa ya hiyo kazi. Ndio maana hata wa unasaji hawatoki kwenye gsd,wanatoka kwenye breed zingineKweli unahisi Mimi nimekariri hii ni fani yangu vet..hawa pitbull nimekuwa nao unadhi kwann pitbull hawatumiki zaid kwenye ulinzi na usalama kwa askari?