Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

Kweli unahisi Mimi nimekariri hii ni fani yangu vet..hawa pitbull nimekuwa nao unadhi kwann pitbull hawatumiki zaid kwenye ulinzi na usalama kwa askari?
Kuto kutumika kwa asakari hiyo ipo wazi mkuu hizo breed 2 kichwa chao hakiendani na matakwa ya hiyo kazi. Ndio maana hata wa unasaji hawatoki kwenye gsd,wanatoka kwenye breed zingine
 
Nimegundua kuwa kuna matunzo mbalimbali ya mbwa.
Hakuna kanuni iliyo rasmi.
Mie nafuga mbwa kama kitoweo.
Mndali
 
Nimegundua kuwa kuna matunzo mbalimbali ya mbwa.
Hakuna kanuni iliyo rasmi.
Mie nafuga mbwa kama kitoweo.
Mndali
Kanuni zipo shida ni kwa sisi wafugaji huwa hatupendi kusikiliza wataalamu wanatuelekeza nini, vet ndio aliyesomea hiyo kazi kwanini tunawabishia?na kuongeza maujuzi yetu?
 
Mkuu awa mbwa umewalea kijinga Sana...... Mm mbwa awanyi Kwenye banda na sehemu Yao YA kunya daily ni moja..... Matatizo YA mbwa kunya Kwenye banda wanakuwa wachafu Alafu wakikojolea Yale mavi yanatengeneza bacteria wanaozalisha kupe.... Mm nafuga mbwa kuanzia utoto wangu hadi Sasa Nipo early 30..... Mbwa akiwa na tabia YA kunya bandani namfundisha akiwa na kichwa ngumu namuuza au kugawa.... Mambo YA kuzoa mavi bandani yanakera Sana na ukisafiri wale unaowaachia jukumu awawez kufanya kama ww
Mkuu mbwa wangu nawafungulia usiku asubuhi nawafungia. Mchana hawabanwi haja.? Wakibanwa wataenda wapi.? Sifugi Pappy nafuga wa ulinzi.

Labda kama hufugi mbwa wa ulinzi. Au wa kwako unawaachia wanazunguka kutwa nzima
 
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.

Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.

Aksante
Kwanza wewe mwenyewe ukilala usiku uwe KAMILIGADO..
DDvwaUeXgAAxNYL.jpg
 
Umesema vizuri ila naomba nikusahihishe kidogo. Pitbull/Rottweiler sio wakorofi shida mbwa unavyo muanzisha ndivyo atakavyo kuwa. Rott ni mbwa anaweza changanyika na mbwa yeyote kikubwa uanze nae bado mdogo na uwafanyie maelewano wanakuwa pamoja bila ya shida kabisa. Me nafuga gsd na maltes na hawana shida,na mwenzangu anafuga Rott na gsd hakuna shida
Natafuta gsd
 
Mimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
Akijisaidia bandani mnusishe kinyesi chake humo humo bandani alafu chapa fimbo za ukweli huku unarudia kumnusisha siku 3 nyingi alafu leta mrejesho
 
Mbwa wako wana umri gani?mbwa unaweza hata kumlisha mara 2 na akawa sawa kabisa kikubwa ni kufwata kiasi maalumu cha kumlisha mbwa,unga wa mahindi sio mzuri kwa mbwa
Kama unga wa mahindi sio mzuri je ni chakula gan ndo kinamfaa??
 
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.

Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.

Aksante

Msaada wadau,nataka kujua jinsi ya kuzuia viroboto kwa Mbwa,kama kuna dawa nzuri kwa ajili ya kuogeshea mbwa na kufanyia famigation ili kuua viroboto.
 
Uzi mzuri sana huu nimesoma comments zote, Very useful thread nikianza ufugaji wa mbwa ntaleta mrejesho
 
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.

Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.

Aksante
Mpe Bange mbichi. Usizidishe kipimo atakuwa na kichaaaa
 
MIE NDIO NIMENUNUA MBWA WADOGO..... swali langu je _wakiwa bandani muda wote ni sahihi au niwe nawatoa kama kawaida
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom