Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,378
chamaki nchanga ziko pia Lushoto?chamaki nchanga bhaa!
chamaki nchanga ziko pia Lushoto?chamaki nchanga bhaa!
Inaweza kuwa kweli wafupi hawazeeki?
Hahaaaa eti malofa ktk ubora wao. Mkapa bhanaLofa anaomba akopeshwe coz kaishiwa.

Anna mgirwa kura 10%0.1 hashim rungwe sipunda kura 7 .0.25 ngoyai lowassa Edward kura 10,567 sawa na % 10.95 pombe jonh magufuri kura 56,678 sawa na % 56,67 kweli huyu mzee hii dhambi itamtafuna mpaka kaburini mwake kila kitu kilikuwa magumashi tena ya wazihuyu mzee nikikumbuka utangazwaji wa matokeo ya uchaguzi huwa nacheka sana, "Dovutwa Fahami nassoro kura moja,John pombe Magufuli kura 666666,Edward Ngoyai Lowasa kura 555,hahaha! CCM kiboko.
Doh, Wallah hawa CCM wanajua kuwatwika watu ubaya.Anna mgirwa kura 10%0.1 hashim rungwe sipunda kura 7 .0.25 ngoyai lowassa Edward kura 10,567 sawa na % 10.95 pombe jonh magufuri kura 56,678 sawa na % 56,67 kweli huyu mzee hii dhambi itamtafuna mpaka kaburini mwake kila kitu kilikuwa magumashi tena ya wazi
Si kweli,ikitokea ajiunge na chama chama siasa cha upinzani hizo dhambi zitafutwa kama zilivyofutwa dhambi za wale wengine.Anna mgirwa kura 10%0.1 hashim rungwe sipunda kura 7 .0.25 ngoyai lowassa Edward kura 10,567 sawa na % 10.95 pombe jonh magufuri kura 56,678 sawa na % 56,67 kweli huyu mzee hii dhambi itamtafuna mpaka kaburini mwake kila kitu kilikuwa magumashi tena ya wazi
Wanasiasa ni wanafiki chochote chaweza kutokea ila tujadili uchaguzi 2015 babu alizingua sana au wewe unasemaje??Si kweli,ikitokea ajiunge na chama chama siasa cha upinzani hizo dhambi zitafutwa kama zilivyofutwa dhambi za wale wengine.
Sasa wewe ulitaka asomeje,hahahahahahahahahahajaAnna mgirwa kura 10%0.1 hashim rungwe sipunda kura 7 .0.25 ngoyai lowassa Edward kura 10,567 sawa na % 10.95 pombe jonh magufuri kura 56,678 sawa na % 56,67 kweli huyu mzee hii dhambi itamtafuna mpaka kaburini mwake kila kitu kilikuwa magumashi tena ya wazi
Babu na miwani yake alikuwa anazingua kweli kweli mpaka kura za sipunda walizipiga sipunda anasema watu waliompa pole ni wengi kuliko kura alizopataSasa wewe ulitaka asomeje,hahahahahahahahahahaja