mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Wanakunywa, maana inakufanya ujiskie fresh mwenye nguvu na hamasakwani hii nayo wakina dada wanatumiaga kwelii
Wanakunywa, maana inakufanya ujiskie fresh mwenye nguvu na hamasakwani hii nayo wakina dada wanatumiaga kwelii
Ko we iyo pliz ndo upo sahihi au?????????Unazani ndio nini?sexy ni kitu gani?kajifunze kuandika pliz unaandika chenga!
HahahaaaaaaaaWow hiyo ni rahaaa sanaaa,ata mtoto mchanga analijua hilo
Hahaha mh City owl , dah umetishaHakuna raha kama uwe umesmoke marijuana halafu uwe unaangalia movie ya comedy. Yaani utacheka mpaka una-pause movie uendelee kucheka kwanza..
Hahaha u made ma dayHakuna raha kama uwe umesmoke marijuana halafu uwe unaangalia movie ya comedy. Yaani utacheka mpaka una-pause movie uendelee kucheka kwanza..
Hakuna raha kama uwe umesmoke marijuana halafu uwe unaangalia movie ya comedy. Yaani utacheka mpaka una-pause movie uendelee kucheka kwanza..
Hii raha sanaKunya, hasa ukiwa choo cha home huku ukiendelea kuchat. Angalizo:choo kiwe cha kukaa
Chagua saiz inayokufaa
Heshima kwako bundi wa mjini,hapa niko na dume og ya chuga ngaree,nashtua akili kidogo na kumeditate,reggae music in the background.life is good..
Kama cha Arusha basi hiyo 1/2 gram inanitosha. 1 asubuhi 1 jioni. Lakini kama za mikoani hizi basi, 1 gram ndo saizi yangu. 1 alfajiri.. 1 usiku.
Heshima kwako mkuu.
mkuu hyo vita sasa !!!!!Hivi ushakula kitimoto wewe ? Hata uje na Beyonce siwezi acha kula kitimoto.
Vita gani Tena candyscopion?mkuu hyo vita sasa !!!!!