Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Leo kaonekana njiani akielekea Tanga kwenye msiba!
na lile lile shati lake?
Leo kaonekana njiani akielekea Tanga kwenye msiba!
huyu jamaa huwa ana mawazo mazuri ya kiujasiriamali, nakumbuka alitoa thread moja ikizungumzia jinsi wabongo tunavyoshindwa kuzitambua fursa of coz niliipenda sana coz ilikuwa ina mtazamo wa kutumsha kuhusu nin cha kufanya.
Kuleta uchuro kama huu kwa watu waliofiwa na wapendwa wao kunahitaji uwe na roho ya maiti tu kwakweli.
Nadhani hata Ben Kisaka hawezi kufurahishwa na upuuzi huu.
Hahahaaa...huyu sio mzima, kwa hiyo anakula bata msibani...
Unadhani alichangia nini kwenye maoni ya kupata katiba mpya....hasa ukizingatia yeye ni/si mburulaz
Hahahaaa...huyu sio mzima, kwa hiyo anakula bata msibani...
Nasikia KICHEFUCHEFU!
Tulipishana naye maeneo ya kwa MKONGA akiwa ndani ya VITZ nadhan ndo alikuwa anaelekea huko msiban!
eti shati lake laweza kufunika vitz...watu sijui wanatoaga wapi maneno.
Unadhani alichangia nini kwenye maoni ya kupata katiba mpya....hasa ukizingatia yeye ni/si mburulaz