natafuta tamu ya bwan harusi loh... hata niitie machoni tu inatosha siigusi
Inawezekana jamaa kabla ya Bw harusi yeye ndo alikuwa akiimiliki hiyo tamu sasa anataka walau kidogo aione mara ya mwisho lakini akakuta Vigezo na masharti vimezigatiwa.
hapo sasa au amefukuzia sana alafu kitu kinachomoa loh...
wabongo si wanatuukuza papuchi ndo tatizo laoHa!ha!ha! sasa anafikili kama kimemchomolea kabla hapa ndo kitaachia uzi we subutu yake ila jamaa kajitahidi sijui kibongo bongo ingekuaje msala ungekuwa kwa Bi arusi tu lazima kwamba ajatulia ha!ha!
Kumbe ndo maana ile mitaa ya Sinza Kule Dar wamejazana wauza Pampuchi aiseeeee!!!