Orrionorri
Member
- Oct 17, 2014
- 21
- 5
Mungu wetu ni mwema na fadhili zake ni za milele. Yeye ni mwingi wa huruma na hapendi kabisa watu wake waangamie, ila tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Kabla ya kutenda dhambi tafakari juu ya dhambi unayotaka kuifanya, je ina athari gani kwako na kwa jamii? Ukishindwa kujizuia, ujue umenasa kwenye mtego wa ibilisi, 'roho inatamani lakini mwili ni dhaifu'.
Baada ya kutenda dhambi, epuka visingizio/lawama kwa wengine. Kuwa mnyenyekevu na utubu kwa uliyemkosea, na kwa Mungu Mwenyezi naye atakusamehe!
Maana angeyahesabu makosa yetu yote, je ni nani angesimama?
Kabla ya kutenda dhambi tafakari juu ya dhambi unayotaka kuifanya, je ina athari gani kwako na kwa jamii? Ukishindwa kujizuia, ujue umenasa kwenye mtego wa ibilisi, 'roho inatamani lakini mwili ni dhaifu'.
Baada ya kutenda dhambi, epuka visingizio/lawama kwa wengine. Kuwa mnyenyekevu na utubu kwa uliyemkosea, na kwa Mungu Mwenyezi naye atakusamehe!
Maana angeyahesabu makosa yetu yote, je ni nani angesimama?