RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Isaya 4
1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
FAIZAALLY nam-quote anasema Tunaweza Kujitunza Hata Wao kuwatunza,
1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
FAIZAALLY nam-quote anasema Tunaweza Kujitunza Hata Wao kuwatunza,