Unaanzaje?

Once you are in need of it, automatically mwenza wako atajua tu. Kuna vitu ambavyo mara nyingi ukiwa nae faragha kabla ya kuanza mtanange huwa unavifanya; wengine hushikwa na kigugumizi, wengine macho hulegea huku akishindwa kukwepesha macho juu yako, wengine huvibrate huku akikuangalia. Kwa wanawake ndo kama hivyo mitego ya mikao au atavaa aina ya nguo anayoipenda kuivaaga kabla ya mtanange[ usually kwa usiku] etc.
Binafsi huwa naanza uchokozi by cuddling, caressing n kiss her in a gentle way until she gets teased ready to feel me inside of her.
 

Hahahahahah ,umenikumbusha mbali wewe......
 
unamwambia tu panua nikurenge,au mama yoyo..... naomaba kitu inamesa menzake au mama manka kaa vizuri turushie shillingi
 
Nikiona ametandika mashuka meupe tu....najua uwanja unaandaliwa kwa mechi!
 
sa hivi mda wa kazi jamani ......................mbona weekend ipo mlangoni tu tuvumilie ile tule bata vizuri au wengine mmeanza ?
 
Athumani kichwa wazi akicheka tuu mambo hayooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…