Unaamuliwa mambo au unajiamulia mwenyewe?

Unaamuliwa mambo au unajiamulia mwenyewe?

Matunzo 02

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2026
Posts
824
Reaction score
1,633
Leo nimekaa nikawaza hivi najiamulia mambo au naamuliwa sababu toka utoto naamuliwa mambo hata wakati nasoma kwenda kukojoa, kula, kucheza tulisubili kengele nilivyomaliza shule nimekuja kujua ugumu wa kujiamulia mambo kinachofata ni kuiga yale wengine wanafanya ndo nikajua kumbe bado naamuliwa mambo.

WEWE JE UNAAMULIWA MAMBO AU UNAJIAMULIA KAMA UNAJIAMULIA UMEJIAMULIAJE?
 
Leo nimekaa nikawaza hivi najiamulia mambo au naamuliwa sababu toka utoto naamuliwa mambo hata wakati nasoma kwenda kukojoa, kula, kucheza tulisubili kengele nilivyomaliza shule nimekuja kujua ugumu wa kujiamulia mambo kinachofata ni kuiga yale wengine wanafanya ndo nikajua kumbe bado naamuliwa mambo.
WEWE JE UNAAMULIWA MAMBO AU UNAJIAMULIA KAMA UNAJIAMULIA UMEJIAMULIAJE?
Kama ulikubali kuzaliwa,basi ni lazima uamuliwe mambo.Sheria,kanuni,taratibu,miongizo,maelekezo na sera zitakuamulia yote hadi kieleweke.
 
Unaendelea kufungwa mkuu.

Kama huamini kasome mbuku wa four agreements.
namaanisha mambo nimeyakuta na mim nayafanya mfano nimekuta watu wanalima na mim naanza kulima, kupelekwa shule nilipagiwa xax unapokuwa mkubwa unajikuta unafanya yale yale ambayo jamii inafanya hivyo unakuwa bado unapagiwa mambo ya kufanya
 
namaanisha mambo nimeyakuta na mim nayafanya mfano nimekuta watu wanalima na mim naanza kulima, kupelekwa shule nilipagiwa xax unapokuwa mkubwa unajikuta unafanya yale yale ambayo jamii inafanya hivyo unakuwa bado unapagiwa mambo ya kufanya
Ilimradi umezaliwa na unaishi lazima unaamuliwa kufanya mambo. Mamba unayoyafanya Leo hii ndiyo hayo hayo uliyoyakuta kwenye jamii.
 
There is no Freewill , The moment unazaliwa they decide your name, nationality even your upbringing depends on environment your surrounded.
 
There is no Freewill , The moment unazaliwa they decide your name, nationality even your upbringing depends on environment your surrounded.
Kabisa.Atakutana na misingi ya maisha-jumla,amri za Mungu/kanisa,makatazo ya kiimani,katiba,maazimio,makubaliano,mikataba,Sheria,maandiko,utaratibu,kanuni,miongozo,maono,fikra,michakato,mipango,sera,makatazo n.k.Atanyooka tu.
 
Sisi ni matokeo ya kile tulichopewa, muda ndio unaoamua, sio sisi.
 
Back
Top Bottom