Baadhi ya waislam wanaacha swala ya Alfajiri na kukaa ktk TV kuangalia kombe la Dunia. Hili ni kosa kubwa kwa muislam tena dhambi kubwa.
Quran unasema:
"Hakika Swala imefaradhishwa kwa Waumini kwa nyakati maalumu." (Surah An-Nisa 4:103)
Na pia:
"Ole wao wanaoswali, ambao wameghafilika na Swala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.