MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Tumeona uchaguzi uliofanyika jana 13 January 2018 katika Majimbo mawili huko Ruvuma na Singida na baadhi ya kata kadhaa kuna vyama vilisusia uchaguzi huo kwa kusema kuwa ktk uchaguzi wa mdogo kama huo kwa kata 43 havikutendewa haki kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi na hata sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992.
Sasa na imani kuna uchaguzi mkuu 2020 kwa mujibu wa sheria je una maoni gani kwa vyama vilivyosusia uchaguzi huu mdogo?
Viendelee kususia hivi hivi mpaka vitakapotendewa haki?
Vishiriki hivyo hivyo hata kama havitatendewa haki?
Vipiganie kutendewa haki kipindi kabla ya maandalizi ya uchaguzi?
Au una maoni mengine? na ni yapi?
Sasa na imani kuna uchaguzi mkuu 2020 kwa mujibu wa sheria je una maoni gani kwa vyama vilivyosusia uchaguzi huu mdogo?
Viendelee kususia hivi hivi mpaka vitakapotendewa haki?
Vishiriki hivyo hivyo hata kama havitatendewa haki?
Vipiganie kutendewa haki kipindi kabla ya maandalizi ya uchaguzi?
Au una maoni mengine? na ni yapi?