una ndugu ameathirika na "BANGI"?

una ndugu ameathirika na "BANGI"?

Joined
Mar 6, 2010
Posts
74
Reaction score
2
Umewahi kura bangi,je kuna ndugu amewahi kuwasumbua na bangi...hiki kisa ni cha masa matatu yaliopita hapa arusha kimandolu nyumba ya jirani mwanaume mmoja amezoea kura bangi ,..jana akuklaala nyumbani amerudi asubuhi ya leo jamani ni vituko
tukasikia makelele mama anapiga kuomba msaada

tulipofika tukakuta jamaica anavua nguo zote ...baada ya hapo akaanza kuwafwat watu jamani mnaniona nilivyopendeza na suti yangu wakamjibu ndio...yaani akiwa uchi wa mnyama akuna kanga wala shuka aliokubali kuvishwa

akatokea jamaa mmmoja akamwambia umekura suti ya italia akadai amenunu majuzi kabla ajarejea bongo ...mmoja akamwambia sema umefunga tai ndefu sana...akaanza kushika nanii yake hii mbona iko saizi embu njo nirekebishie basi....

Akika skupenda nkaona niwahabarishe wapenda bangi jamani huyu ni kijana wa 35 yrs.
 
35 years? Anajua anachofanya huyo angekuwa 15-18 ningeumia
 
mmmh pole zake kama alivyosema Carmel huyu ni mkubwa sana tu !
 
huyu ni jitu zima, lakini, kwakweli bangi na dawa zingine za kulevya zinachukua raslimali zetu!!! His age is a productive age!!!
 
Mmmh! Meja na wewe!! eti kisa kimetokea masaa matatu yaliyopita!
 
Hiyo sio bangi jamani..........kuweni makini na focused kwenye tatizo hilo..........mpelekeni kwenye maombi if possible
 
Back
Top Bottom