muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
kumbe alikuwa ana mradi wa kuokota makopo ?. alafu ni mtu maarufu.
huyu jamaa atakuwa na kasoro za akili.
Wewe ndo kichwa chako kina tatizo...
kumbe alikuwa ana mradi wa kuokota makopo ?. alafu ni mtu maarufu.
huyu jamaa atakuwa na kasoro za akili.
hapana kuokota makopo sio wehu ndo ajira zilizobaki mjini.
You May be blind in the eye, deaf in the ear, kwamba hukuona wala kusikia Kosa alilotenda Cheka! Lakini je are You also blind in the mind kiasi kwamba hutaki kujua kwamba your Cheka alitenda jinai na anastahili kulipa in kind kwa Kosa alilotenda?! Usiwe na upesi Wa kulaumu, tafakari Pia na athari kwa upande Wa pili, poor Cheka Is paying for his deeds! So be it.
Acha ku dharau biashara za watu wengine, Kuna mtu namjua kwa siku anatengeneza 10000 kwa kuokota chupa, haya tuambie wewe kwa siku una make bei gani.. wa hapahapa
Khaaaa. . . . .Sababu ni cheka au nini kinafanya ufikirie hivilakini tizama mwenendo wa kesi pia, cheka hakuwahi kuambiwa kuleta mashahidi wala kujitetea, na aliyepigwa hakuwahi kutibiwa popote kwa hali ya kawaida upigwe na cheka utabaki salama kweli?
lakini tizama mwenendo wa kesi pia, cheka hakuwahi kuambiwa kuleta mashahidi wala kujitetea, na aliyepigwa hakuwahi kutibiwa popote kwa hali ya kawaida upigwe na cheka utabaki salama kweli?
Khaaaa. . . . .Sababu ni cheka au nini kinafanya ufikirie hivi
Kwa maoni yangu sheria haina mapungufu na ukifuatilia majibu ya Francis Cheka kwa hakimu yanaonyesha kuwa alikuwa anadhani "kuwa star" kutamuokoa ndiyo maana hakuwa anatilia maanani.
Kumbuka hata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro aliyehama Bendera ansema hakujua kuwa Francis Cheka ana kesi. Hata wale viongozi wa ngumi kama akina Mlundwa, Alhaj Yasin wanashangaa.
Ina maana kama kichwa cha Cheka kingekuwa kizuri angewafuata kwa ushauri na wangemuambia amalizane na mlalamikaji nje ya mahakama.
Na pengine wangemsaidia na fedha ya fidia. Ila kwa kuwa mangumi aliyopigwa wakati anawatandika wenzie yameathiri medulla oblangata ya kichwa chake.
pengine hapo kwenye kupeleka ombi kwa rais itakuwa ni wazo zuri
Liacheni hili fara liozee jela, sheria imefuata mkondo wake mnamhurumia nini huyo, angekuwa amekupiga wewe ingekuwaje au ndugu yako wa karibu? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Kila mtu ana haki mbele ya sheria.
Francis Cheka ana athari za ngumi ambazo alipigwa na mabondia aliocheza nao. Kama ambavyo Mohamed Ally alivyopata Parkinson Syndrome au Rashid Matumla anapoongea kama mtu àliyetumia dawa za kulevya basi Cheka imemuathiri uwezo wa kufikiri sahihi.
Hilo soo angeweza kulimaliza kwa kuongea na mdai wake nje ya mahakama lakini ubongo wake hauoni hayo.
Kwa maoni yangu sheria haina mapungufu na ukifuatilia majibu ya Francis Cheka kwa hakimu yanaonyesha kuwa alikuwa anadhani "kuwa star" kutamuokoa ndiyo maana hakuwa anatilia maanani.
Kumbuka hata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro aliyehama Bendera ansema hakujua kuwa Francis Cheka ana kesi. Hata wale viongozi wa ngumi kama akina Mlundwa, Alhaj Yasin wanashangaa.
Ina maana kama kichwa cha Cheka kingekuwa kizuri angewafuata kwa ushauri na wangemuambia amalizane na mlalamikaji nje ya mahakama.
Na pengine wangemsaidia na fedha ya fidia. Ila kwa kuwa mangumi aliyopigwa wakati anawatandika wenzie yameathiri medulla oblangata ya kichwa chake.
You May be blind in the eye, deaf in the ear, kwamba hukuona wala kusikia Kosa alilotenda Cheka! Lakini je are You also blind in the mind kiasi kwamba hutaki kujua kwamba your Cheka alitenda jinai na anastahili kulipa in kind kwa Kosa alilotenda?! Usiwe na upesi Wa kulaumu, tafakari Pia na athari kwa upande Wa pili, poor Cheka Is paying for his deeds! So be it.
Huko jela watakaommendea watakula za chemba
Sasa jinai unamalizanaje nje ya mahakama wakati jamhuri ndiyo inashtaki,labda useme aongee na mlalamikaji ampooze asitoe ushahidi pamoja na kuwaficha mashahidi wengine ili kesi ife lakini kinyume na hapo ni ngumu lakini ingewezekana,tanganyika hii hakuna linaloshindikana
Na hilo ndilo kusudio la post yangu ya hapo nyuma. Yaani mahakama isingeangalia kosa na hukumu peke yake, mahakama ingezingatia pia the state of the mind the the accused - Huyu bwana inawezekana ameathirika na mingumi
- lakini kuna wengi wameathirika na magonjwa ya akili, madawa ya kulevya, umaskini na ukosefu wa elimu ambapo mara nyingi mahakimu na sheria zetu zinawatwanga miaka kadhaa bila kuangalia mazingira na hali zao!