Una mpango wa kukata rufaa? - Hapana "Fransis Cheka"

Una mpango wa kukata rufaa? - Hapana "Fransis Cheka"

You May be blind in the eye, deaf in the ear, kwamba hukuona wala kusikia Kosa alilotenda Cheka! Lakini je are You also blind in the mind kiasi kwamba hutaki kujua kwamba your Cheka alitenda jinai na anastahili kulipa in kind kwa Kosa alilotenda?! Usiwe na upesi Wa kulaumu, tafakari Pia na athari kwa upande Wa pili, poor Cheka Is paying for his deeds! So be it.

lakini tizama mwenendo wa kesi pia, cheka hakuwahi kuambiwa kuleta mashahidi wala kujitetea, na aliyepigwa hakuwahi kutibiwa popote kwa hali ya kawaida upigwe na cheka utabaki salama kweli?
 
Acha ku dharau biashara za watu wengine, Kuna mtu namjua kwa siku anatengeneza 10000 kwa kuokota chupa, haya tuambie wewe kwa siku una make bei gani.. wa hapahapa

binafsi nafikiria kuanzisha club ya friends of cheka tuokote machupa ya mengi
 
Last edited by a moderator:
lakini tizama mwenendo wa kesi pia, cheka hakuwahi kuambiwa kuleta mashahidi wala kujitetea, na aliyepigwa hakuwahi kutibiwa popote kwa hali ya kawaida upigwe na cheka utabaki salama kweli?
Khaaaa. . . . .Sababu ni cheka au nini kinafanya ufikirie hivi
 
Nampa pole cheka hakujua mahakama huwa haidhihakiwi ni funzo kwa jamii nzima
 
lakini tizama mwenendo wa kesi pia, cheka hakuwahi kuambiwa kuleta mashahidi wala kujitetea, na aliyepigwa hakuwahi kutibiwa popote kwa hali ya kawaida upigwe na cheka utabaki salama kweli?

Alifungwa Tyson kwa kumkata makofi mkewe itakuwa Cheka . Tyson s bondia kama yeye. Harafu kama ameathika kichwa chake akitolewa jela s ataendelea kupiga watu . Akae huko huko . Au apelekwe milembe ili atengwe na jamii. Au unataka kusema ukiwa star ndio ufanye makosa tu uraiani na uachiwe .
 
Sheria haina cheka acheni ujinga!
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga "mwisho"
 
Kwa maoni yangu sheria haina mapungufu na ukifuatilia majibu ya Francis Cheka kwa hakimu yanaonyesha kuwa alikuwa anadhani "kuwa star" kutamuokoa ndiyo maana hakuwa anatilia maanani.

Kumbuka hata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro aliyehama Bendera ansema hakujua kuwa Francis Cheka ana kesi. Hata wale viongozi wa ngumi kama akina Mlundwa, Alhaj Yasin wanashangaa.

Ina maana kama kichwa cha Cheka kingekuwa kizuri angewafuata kwa ushauri na wangemuambia amalizane na mlalamikaji nje ya mahakama.

Na pengine wangemsaidia na fedha ya fidia. Ila kwa kuwa mangumi aliyopigwa wakati anawatandika wenzie yameathiri medulla oblangata ya kichwa chake.

Sasa jinai unamalizanaje nje ya mahakama wakati jamhuri ndiyo inashtaki,labda useme aongee na mlalamikaji ampooze asitoe ushahidi pamoja na kuwaficha mashahidi wengine ili kesi ife lakini kinyume na hapo ni ngumu lakini ingewezekana,tanganyika hii hakuna linaloshindikana
 
pengine hapo kwenye kupeleka ombi kwa rais itakuwa ni wazo zuri

Liacheni hili fara liozee jela, sheria imefuata mkondo wake mnamhurumia nini huyo, angekuwa amekupiga wewe ingekuwaje au ndugu yako wa karibu? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Kila mtu ana haki mbele ya sheria.
 
Huko jela watakaommendea watakula za chemba
 
Liacheni hili fara liozee jela, sheria imefuata mkondo wake mnamhurumia nini huyo, angekuwa amekupiga wewe ingekuwaje au ndugu yako wa karibu? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Kila mtu ana haki mbele ya sheria.

siku ukienda jela utamkuta ndo mnyampala
 
Francis Cheka ana athari za ngumi ambazo alipigwa na mabondia aliocheza nao. Kama ambavyo Mohamed Ally alivyopata Parkinson Syndrome au Rashid Matumla anapoongea kama mtu àliyetumia dawa za kulevya basi Cheka imemuathiri uwezo wa kufikiri sahihi.

Hilo soo angeweza kulimaliza kwa kuongea na mdai wake nje ya mahakama lakini ubongo wake hauoni hayo.

Mkuu, kama umemsoma Cheka, ujue kabisa hii kitu ilishapangwa

Na ni kweli kwa sababu kuna kikundi cha watu Tanzania kinapenda sana kutumia sheria na polisi kukomesha wengine

Kuna kesi au shauri la msingi la Cheka kudhulumiwa, lakini no one anatia kauli, but his case imepigwa fasta ili afungwe, watu wanataka dili, watu wanataka kumkomesha

Kitu wanachosahau ni kwamba miaka mitatu si mingi, na akitoka atakua mnyama, itabidi watafutane
 
Kwa maoni yangu sheria haina mapungufu na ukifuatilia majibu ya Francis Cheka kwa hakimu yanaonyesha kuwa alikuwa anadhani "kuwa star" kutamuokoa ndiyo maana hakuwa anatilia maanani.

Kumbuka hata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro aliyehama Bendera ansema hakujua kuwa Francis Cheka ana kesi. Hata wale viongozi wa ngumi kama akina Mlundwa, Alhaj Yasin wanashangaa.

Ina maana kama kichwa cha Cheka kingekuwa kizuri angewafuata kwa ushauri na wangemuambia amalizane na mlalamikaji nje ya mahakama.

Na pengine wangemsaidia na fedha ya fidia. Ila kwa kuwa mangumi aliyopigwa wakati anawatandika wenzie yameathiri medulla oblangata ya kichwa chake.

Hao wote wanafiki tu, haiwezekani mtu awe na kesi kipindi chote hicho wasijue! He might look stupid to you but you can't tell me you know his case than he-self, I like his ego not to backdown for what he stand and believe in, give me liberty or just give me death. wampe mabati yake
aliopewa na kikwete waache dhuruma, unaweza Kuona kwenye statement yake alivyokuwa frustrated na system, hata mimi ukinidhurumu Mali zangu tegemea retaliation na nakuhakikishia utajuta kuzaliwa.
 
You May be blind in the eye, deaf in the ear, kwamba hukuona wala kusikia Kosa alilotenda Cheka! Lakini je are You also blind in the mind kiasi kwamba hutaki kujua kwamba your Cheka alitenda jinai na anastahili kulipa in kind kwa Kosa alilotenda?! Usiwe na upesi Wa kulaumu, tafakari Pia na athari kwa upande Wa pili, poor Cheka Is paying for his deeds! So be it.

Ww ulikuwepo wakati akitenda hilo kosa la jinai mkuu? Mchizi anakula kiugumu kwa jasho lake na kwa madai yake alipewa mabati na kikwete mpaka leo ni hadithi hajapewa na hao waliopewa maagizo na mkuu wa kaya! Na Jamaa amekomaa kudai, hiyo kesi yenyewe anadai upande wa mashitaka umekataa asilete ushahidi upande wake, Ww umeshawahi kuona kesi inatolewa ushahidi upande Mmoja?!! Tanzania judiciary system is very corruptive, watu waliopo madarakani wanaweza kufanya lolote ukapotea, he seems to be very frustrated with the system ila ukitazama upande Mmoja mtamuona kama mtu aliekuwa anajiamini kwasababu ni Cheka! Unaposimamia unachoamini ni haki yako u will never backdown no matter what and for me, the dude he's the one of those mother.fuckerz.
 
Sasa jinai unamalizanaje nje ya mahakama wakati jamhuri ndiyo inashtaki,labda useme aongee na mlalamikaji ampooze asitoe ushahidi pamoja na kuwaficha mashahidi wengine ili kesi ife lakini kinyume na hapo ni ngumu lakini ingewezekana,tanganyika hii hakuna linaloshindikana

Kijana Tanganyika ingekuwepo hii hali ya kutoatoa rushwa isingekuwepo
 
Na hilo ndilo kusudio la post yangu ya hapo nyuma. Yaani mahakama isingeangalia kosa na hukumu peke yake, mahakama ingezingatia pia the state of the mind the the accused - Huyu bwana inawezekana ameathirika na mingumi

- lakini kuna wengi wameathirika na magonjwa ya akili, madawa ya kulevya, umaskini na ukosefu wa elimu ambapo mara nyingi mahakimu na sheria zetu zinawatwanga miaka kadhaa bila kuangalia mazingira na hali zao!

Hiyo siyo kazi ya hakimu.. angekuwa na wakili ndio angewasilisha kama sehemu ya utetezi.. jamaa kwa ujumla alichukulia kirahisirahisi.. (sheria ni msumeno...)
 
Back
Top Bottom