Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,841
- 2,664
Hii nimeinyaka toka katika viunga vya fikra zangu. Eti fikra zimenituma kuwaambia kuwa loliondo siku hizi ni 500/- duh!!
Ya nini???????Hii nimeinyaka toka katika viunga vya fikra zangu. Eti fikra zimenituma kuwaambia kuwa loliondo siku hizi ni 500/- duh!!
Ya nini???????
Hahahaa! Wewe ni nouma!
Naomba loliondo mbili.
Naomba umpe jamaa loliondo moja.
Hii nimeinyaka toka katika viunga vya fikra zangu. Eti fikra zimenituma kuwaambia kuwa loliondo siku hizi ni 500/- duh!!
chifu si bora wamesimamisha? Kuna jam ya kuua hukoViongozi wetu very greedy wamekunywa dawa ya BABU halafu wanajidai eti wanasimamisha huduma, serikali over my foot!!!!