- Thread starter
- #21
Please naomba utueleze hiyo tracker itakuwa based kwenye principle gani
kama ni satelite based (GPS)lazima kuwe na monthly payment na hizo speed sensors zitakuwa zinatuma sms from which account? Plz be serious
hakuna malipo ya mwisho wa mwezi. kama upo dar es salaam na unahitaji kweli nitafute. na nitakuonyesha jinsi kinavyofanya kazi katika moja ya gari linalotumia kifaa hiko