Abdulmalik Ngunde
Member
- Jul 24, 2016
- 15
- 0
Hakuna amani itakayo ondoka bali itaongezeka kwa kua raia wamepata wanacho taka na siku zote amani huvunjwa na watawala na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kisingizio cha uchochezi, lkn ukweli uukidhiri uongo hijitenga wa Zanzibari waachiwe na muache kuendeleza kauli ya lukuvi eti wa Zanzibari waislam wataleta waarabu na magaidi hiyo ni kauli ya uchochezi nae akamatwe ashitakiwe