barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,327
- 29,590
Source yake ni gazeti la mwananchi.Tupe source ya habari yako otherwise ni uchochezi na unastahili kuzingilwa
Source yake ni gazeti la mwananchi.Tupe source ya habari yako otherwise ni uchochezi na unastahili kuzingilwa
Uhuru?Nimeona kwenye heading za magazeti ya leo, kama ni msomaji wa Uhuru, mzalendo na habari leo hizo news hutaambiwa mkuu
Wajomba zakoBora watusaidie maana tunakoelekea ni shimoni.
Source yake ni gazeti la mwananchi.
Abhange tukajile okushule...Ndoho tabu,lekagitamu byesome a namba..
We jamaa ni taahira, mwananchi ndo source yako??
ACHA WATWAJIBISHE TUJIFUNZEKama rais John Pombe Magufuli angeenda nchini Marekani kuhudhuria mkutano wa UN uliofanyika hivi karibuni basi angekutana na dhoruba la aina yake kutoka kwa serikali ya Marekani.
Serikali ya Marekani imemtuhumu rais John Pombe Magufuli kwa kukiuka misingi ya utawala bora katika uongozi wake nchini Tanzania huku ikiahidi kumdhibiti.
Marekani inaituhumu serikali ya rais Magufuli kwa kupora haki ya wananchi Zanzibar kwa makusudi pamoja na ukandamizaji mkubwa wa vyombo vya habari, utekelezaji wa sheria mbovu zinazominya uhuru pamoja na uonevu dhidi ya upinzani vinavyovaliwa njuga na rais Magufuli.
Kutokana na hali hiyo Marekani imesema kuwa imejipanga kuchukua hatua dhidi ya serikali ya rais Magufuli ikiwa haitajirekebisha.
***Marekani ndo mdudu gan
Uchafu umetuwekea, umesababisha mpaka nitapike. Hivi marekani ni kiumbe gani?Kama rais John Pombe Magufuli angeenda nchini Marekani kuhudhuria mkutano wa UN uliofanyika hivi karibuni basi angekutana na dhoruba la aina yake kutoka kwa serikali ya Marekani.
Serikali ya Marekani imemtuhumu rais John Pombe Magufuli kwa kukiuka misingi ya utawala bora katika uongozi wake nchini Tanzania huku ikiahidi kumdhibiti.
Marekani inaituhumu serikali ya rais Magufuli kwa kupora haki ya wananchi Zanzibar kwa makusudi pamoja na ukandamizaji mkubwa wa vyombo vya habari, utekelezaji wa sheria mbovu zinazominya uhuru pamoja na uonevu dhidi ya upinzani vinavyovaliwa njuga na rais Magufuli.
Kutokana na hali hiyo Marekani imesema kuwa imejipanga kuchukua hatua dhidi ya serikali ya rais Magufuli ikiwa haitajirekebisha.
Najua hautaamini ila likisanuka ndoo heshima itarudiKidiplomasia Marekani haiwezi kusema hivo, hiyo siyo Diplomatic Language, unless ulete hapa hiyo nukuu au clip, narudia hiyo siyo Lugha ya kidiplomasia, usidhani kuwa Tanzania ni "Mtaa nchini Marekani"...
.....Ndoho tabu,lekagitamu byesome a namba..
Nahisi wewe jamaa ubongo wako umekaa tenge maana sioni unapoalekea.Yaani unachokiongea sijui kama kinalenga hiyo post.Huyu jamaa ametoa post bila kujipambanua kikada lakini wewe umeshamtafutia kundi.Kwa mhemko ulioonesha ni wazi kuwa haja yako inagonga nguo ya ndani mpaka sasa...Hahahaha vyama vya upinzani mbona vinatanua mzee. Huku msajili wa vyama vya siasa akijitahidi kusimamia vyama kikamilifu. Hivi tu punde amerudisha amani ndani ya chama cha cuf kwa kumrejesha Prof Lipumba. Ambaye baadhi ya viongozi ndani ya chama walitaka kupora haki yake kinyume na demokrasia. Kamanda vyama vyenyewe ndio shida ndaani kwa ndani. Chadema pia ndio kumeoza usiseme. Tumepokea watuhumiwa wa ufisadi mpaka leo chama hakina mwelekeo. Walewale tuliokuwa tukiwasema mafisadi eti leo tumewasafisha. Demokrasia gani ilitumika kuwapata na kutaka eti waende ikulu. Unyumbu huo. Acheni mambo ya kutunga hayatawasaidia
Ni taifa kubwa sana duniani kijeshi kiuchumi na kisiasa wana kura ya veto wanamiliki makombora ya kutosha ya nuclear walikuwa wa kwanza kutua mwezini nk unataka maelezo zaidi???Marekani ndo mdudu gan
Hata ukiandika kilugha tutatafuta mkalimani ili kama umetukana au ni uchochezi utatiwa mbaroni tuuNatagemagwa kingwa,bawelagi
Sorry!!View attachment 406418View attachment 406419Matusi yanatoka WAP kwan ungeargue kistaarab nisingeelew,mim sikutukan!!..