UN - Tusidanganyane, kama Taifa Tulipwaya

Ngoja tuone...

Pole pole tutaelewana tu. Ujumbe umefika - rais mwanamke siyo dili ki hivyo.

Hata makamu wa rais mwanamke aliyepiga simu kumpongeza enzi hizo tuko vizuri (kabla ya siku 100), leo hii hana habari tena naye.

Madai ya uchumi bila demokrasia ni bure:

IMG_20210926_124801_780.jpg


Kwani kiko vipi North Korea kwa bwana kiduku?
 
Kuna haja ya kuambiana ukweli. Kama taifa UN hatukufurukuta.

Siyo siri, madhumuni ya mkutano ule ilikuwa ni kwa mataifa kuweka wazi sera zao za nje zenye kuelezea maingiliano baina ya nchi na nchi.

Mkutano ule haukuwa wakutafutia wawekezaji, kutangazia utalii wala kuhusiana na mambo ya ndani ya nchi.




Badala yake tukatumia muda kujielekeza kwenye mambo ya kijinsia. Kwani tulivisahau vyuma vilivyo tikisa dunia hii wakiwamo akina Angel Merkel, Thatcher, Indira Gandhi, Golda Meir, nk?

Usawa wa kijinsia katika mataifa nje ya Africa si agenda za kupeleka UN labda AU. Huko waungwana walikwisha toka zamani. Mama Clinton alikuwa achukue urais wa dunia na wala si kwa kudra za Mola.

Taarifa za Corona tulizosoma ni za WHO ambayo ni agency tanzu ya UN yenyewe.

Kwamba tuna ushauri kuhusu chanjo ya Corona ambayo aghalabu tungetaka hata copyright kwenye chanjo isiwepo wakati tunapewa bure?

Hatuna neno lolote kuhusu nyungu, maombi, mikaratusi, michai chai, malimao au hata na matango pori mengine?

Hatuna neno lolote kuhusiana na vita vya kiuchumi hasa hasa mabeberu dhidi ya Tanzania?

Hatuna neno kumhusu beberu yeyote na upigaji wake kwenye chanjo, barakoa, PPE au kuhusu Corona kwa ujumla?!

Kwani dunia haikupata kutusikia na misimamo yetu na shujaa wetu wanayeshuku Corona haikumnusuru?

Kwani zile takwimu za ugonjwa wa Corona ambazo dunia imekuwa ikituasa kuzitoa tumewahi kuzitoa?

Tupitieni hotuba za wengine kulinganisha na ya kwetu.

Ama kwa hakika hatukufua dafu!

Acha kukariri unapoteza uelekeo. Kila Rais kwa niaba ya nchi yake anaelezea hoja zake nyeti ambazo ni current kama mwanachama wa UN.

Huwezi kusimama pale ukaongea mambo ya nchi nyingine ili iweje.

Wapinzani wa Rais SSH mtakufa kwa kihoro, Mama Anaupiga Mwingi tu
 
Acha kukariri unapoteza uelekeo. Kila Rais kwa niaba ya nchi yake anaelezea hoja zake nyeti ambazo ni current kama mwanachama wa UN.

Huwezi kusimama pale ukaongea mambo ya nchi nyingine ili iweje.

Wapinzani wa Rais SSH mtakufa kwa kihoro, Mama Anaupiga Mwingi tu

Unajikakamua?

Yetu yenye copyright zetu yalikuwa haya:



Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kuna haja ya kuambiana ukweli. Kama taifa UN hatukufurukuta.

Siyo siri, madhumuni ya mkutano ule ilikuwa ni kwa mataifa kuweka wazi sera zao za nje zenye kuelezea maingiliano baina ya nchi na nchi.

Mkutano ule haukuwa wakutafutia wawekezaji, kutangazia utalii wala kuhusiana na mambo ya ndani ya nchi.




Badala yake tukatumia muda kujielekeza kwenye mambo ya kijinsia. Kwani tulivisahau vyuma vilivyo tikisa dunia hii wakiwamo akina Angel Merkel, Thatcher, Indira Gandhi, Golda Meir, nk?

Usawa wa kijinsia katika mataifa nje ya Africa si agenda za kupeleka UN labda AU. Huko waungwana walikwisha toka zamani. Mama Clinton alikuwa achukue urais wa dunia na wala si kwa kudra za Mola.

Taarifa za Corona tulizosoma ni za WHO ambayo ni agency tanzu ya UN yenyewe.

Kwamba tuna ushauri kuhusu chanjo ya Corona ambayo aghalabu tungetaka hata copyright kwenye chanjo isiwepo wakati tunapewa bure?

Hatuna neno lolote kuhusu nyungu, maombi, mikaratusi, michai chai, malimao au hata na matango pori mengine?

Hatuna neno lolote kuhusiana na vita vya kiuchumi hasa hasa mabeberu dhidi ya Tanzania?

Hatuna neno kumhusu beberu yeyote na upigaji wake kwenye chanjo, barakoa, PPE au kuhusu Corona kwa ujumla?!

Kwani dunia haikupata kutusikia na misimamo yetu na shujaa wetu wanayeshuku Corona haikumnusuru?

Kwani zile takwimu za ugonjwa wa Corona ambazo dunia imekuwa ikituasa kuzitoa tumewahi kuzitoa?

Tupitieni hotuba za wengine kulinganisha na ya kwetu.

Ama kwa hakika hatukufua dafu!

Umechemsha! Chanjo hatupewi bure!! Zile milioni moja toka marekani ilikuwa ni chambo tu!! Hivi hujasikia yale mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya kuagiza chanjo? Ni kwamba unakopeshwa pesa halalafu unanunua chanjo!! Chezea beberu weye!! Tutalipa hadi vitukuu wetu watalipa!! Beberu siyo mtu!!! Anakuuzia channjo ambayo keshakiri kabisa kuwa haina uwezo wa kukukinga usiambukizwe!!! Mbaya zaidi hanjo moja wala mbili hazitoshi!! Inahitajika booster ya mara kwa mara!! Inabidi akili iende likizo kwanza ndio uweze kuthubutu kusema kuna value for money kwenye chanjo!!
 
Umechemsha! Chanjo hatupewi bure!! Zile milioni moja toka marekani ilikuwa ni chambo tu!! Hivi hujasikia yale mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya kuagiza chanjo? Ni kwamba unakopeshwa pesa halalafu unanunua chanjo!! Chezea beberu weye!! Tutalipa hadi vitukuu wetu watalipa!! Beberu siyo mtu!!! Anakuuzia channjo ambayo keshakiri kabisa kuwa haina uwezo wa kukukinga usiambukizwe!!! Mbaya zaidi hanjo moja wala mbili hazitoshi!! Inahitajika booster ya mara kwa mara!! Inabidi akili iende likizo kwanza ndio uweze kuthubutu kusema kuna value for money kwenye chanjo!!

Aliimba mzee Makassy:

"Oh yaya mlisema sema sana. Mlisema nahama muji mimi mbona sihami!"

Abarikiwe sana Mzee Makassy.

Hivi umeshachanjwa lakini jombi au ni ule mdomo mrefu mrefu tu wa kijuaji ujuaji kama wa huyu hapa?





Pesa ipi amekopeshwa nani kununulia chanjo?

Mengine haya pelekeni Chatto na Makunduchi huko watawaelewa. Huku nduguzo japo mmoja umemwona kupita au hata kwa kuhanja hanja?

Eti mikopo ya covid-19 waulize kina Madelu walivyo omba kwa kupiga magoti na kushangilia juu walipoipewa.

Jiwe aliwapata nyie tu endeleeni na nadharia zake.

Hiiiiii bagosha!
 
Umechemsha! Chanjo hatupewi bure!! Zile milioni moja toka marekani ilikuwa ni chambo tu!! Hivi hujasikia yale mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya kuagiza chanjo? Ni kwamba unakopeshwa pesa halalafu unanunua chanjo!! Chezea beberu weye!! Tutalipa hadi vitukuu wetu watalipa!! Beberu siyo mtu!!! Anakuuzia channjo ambayo keshakiri kabisa kuwa haina uwezo wa kukukinga usiambukizwe!!! Mbaya zaidi hanjo moja wala mbili hazitoshi!! Inahitajika booster ya mara kwa mara!! Inabidi akili iende likizo kwanza ndio uweze kuthubutu kusema kuna value for money kwenye chanjo!!
Rais wetu ni kilaza, Chanjo tutazinunua hadi tufulisike, Kila baada ya miezi 6 au mwaka lazima uchome chanjo tena katika maisha yako yote
 
Ninachofurahia hapa ni uhuru wa kujieleza bila kua na hofu ya post yako kufutwa au uzi mzima utafungiwa

Awamu ya mwendazake ilikua ni marufuku kwa mtu kuwa na mawazo huru na kuyatoa hadharani kama hivi
Acha uongo wako. Lini watu wamechangia humu thread zao zikafutwa. Labda kama wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa.
 
Acha uongo wako. Lini watu wamechangia humu thread zao zikafutwa. Labda kama wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa.
Yawezekana wewe ukawa mgeni humu. Awamu ya mwendazake thread za kumchambua Jiwe kwa uwazi kama anavyochambuliwa mama sasa hivi hazikudumu

Hata kwenye forums na platform zingine watu wote waliufyata. Kama sio kujipendekeza wakasifia na kuunga mkono juhudi basi walikaa kiiimyaaaa wakiugulia moyoni

Juzijuzi ndio kina Jenerali Ulimwengu wameanza kusikika tena na chambuzi zao za wazi. Na hata jana Deus Kibamba kaongea kwa uwazi kuhusu katiba na kasoro zake kitu ambacho hakuweza kwenye wakati wa awamu ya yule mungu wenu
 
Yawezekana wewe ukawa mgeni humu. Awamu ya mwendazake thread za kumchambua Jiwe kwa uwazi kama anavyochambuliwa mama sasa hivi hazikudumu

Hata kwenye forums na platform zingine watu wote waliufyata. Kama sio kujipendekeza wakasifia na kuunga mkono juhudi basi walikaa kiiimyaaaa wakiugulia moyoni

Juzijuzi ndio kina Jenerali Ulimwengu wameanza kusikika tena na chambuzi zao za wazi. Na hata jana Deus Kibamba kaongea kwa uwazi kuhusu katiba na kasoro zake kitu ambacho hakuweza kwenye wakati wa awamu ya yule mungu wenu

Basi awamu ile kulikuwa na udikteta kweri kweri.

Kazi ile bora isiendelee.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom