UN security council meeting ina faida gani?

UN security council meeting ina faida gani?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,565
Hivi hivi vikao vya UN vina faida gani?

Naonaga wakiitisha vikao vya dharura au nchi ikienda kushitaki hapo

Lakini sijawahi kuona faida ya hizo mikutano yao zaidi wanapotezaga mda tu.

Ni kupoteza muda tu kupeleka jambo lako UN hamna kitu pale.
 
Waulize kobazi wenzio Iran wameomba hicho kikao baada ya kutobolewa matobo na zile B-2 za mabwenyenye
Screenshot_2025-06-22-22-57-59-58.jpg

Mnyama Eagle, a saceed bird in US
 
Back
Top Bottom