jaffari yogo JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 685 Reaction score 148 Nov 26, 2014 #1 Hii ni lugha gani na ina maana gani?
String Theory Senior Member Joined Jan 23, 2014 Posts 155 Reaction score 63 Nov 26, 2014 #2 Nadhani ni kizulu. kuna wimbo una maneno kama hayo wa Brenda Fasi
M MZEE WA ALIZETI Member Joined Apr 2, 2012 Posts 32 Reaction score 64 Nov 26, 2014 #3 Ni kikhosa na ina maana mtu ni mtu kwa sababu ya watu.
M Muwazi JF-Expert Member Joined May 16, 2014 Posts 355 Reaction score 81 Nov 26, 2014 #4 Maana yake ni "Mtu ni Utu" Lakini sijui ni kabila gani maana niliiona kwenye tv usiku.
U usawa wa kulia JF-Expert Member Joined Sep 15, 2014 Posts 454 Reaction score 154 Nov 26, 2014 #5 kisengerema
S SI unit JF-Expert Member Joined Feb 24, 2012 Posts 1,953 Reaction score 767 Nov 26, 2014 #6 ngoja waje wale wanonena kwa lugha watutafsirie..kina RABASHAKA....