Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,760
- 2,066
Wakuu salamu zangu kwenu.
Wengi wetu tunafahamu kuwa Tanzania iliingia kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na kufanyika kwa uchaguzi mkuu ukishirikisha vingi mwaka 1995.
Kama ulivyo, changamoto nyingi mfumo wa chama kimoja pia wa vyama vingi haukosi changamoto.
Napenda tuelezane utaratibu wa vyama vingi umesaidia mambo yapi ya kimaedeleo ambayo mfumo wa chama kimoja ulishindwa ulishindwa.
Nimewasilisha kwenu.
Wengi wetu tunafahamu kuwa Tanzania iliingia kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na kufanyika kwa uchaguzi mkuu ukishirikisha vingi mwaka 1995.
Kama ulivyo, changamoto nyingi mfumo wa chama kimoja pia wa vyama vingi haukosi changamoto.
Napenda tuelezane utaratibu wa vyama vingi umesaidia mambo yapi ya kimaedeleo ambayo mfumo wa chama kimoja ulishindwa ulishindwa.
Nimewasilisha kwenu.