Umuhimu wa vibamia na kupunguza maambukizi ya UKIMWI

queen of the jungle

JF-Expert Member
Mar 17, 2017
228
429
Juzi nilienda kupima ukimwi katika mazungumzo na daktari aliweza kunielewesha namna michubuko inavyotokea na kupelekea maambukizi na sababu ambazo huwezi kukwepa kupata maambukizi ambazo ni pamoja na kutembea na mtu mwenye uume mkubwa.

Hivyo basi nimeona nishee na wenzangu nimeona tujikumbushe hili gonjwa hatari la ukimwi wengi tumejisahau kuwa umeisha na kudhani kwamba ni wakati wa kujiachia na kuelekezana kila kukicha namna ya kumridhisha mwanaume pasipokuangalia athari zilizopo kuhusu hili gonjwa nimeona wenzangu wengi wanazungumzia namna ya kuzama chumvini au kutaka wanaume wenye maumbile makubwa leo ntapenda ktoa somo juu ya umuhimu wa wanaume wenye vibamia

1. Ukitembea na mtu mwenye kibamia uwezekano wa kupata ukimwi ni asilimia 30 kuliko mwenye maumbile makubwa maana lazima akuchubue

2. Kibamia hakitanui mwili utaonekana hujatanuka miaka yote

3. Mapenzi sio adhabu ya kuumia kama umepakwa pilipili

Hivyo basi nilikuwa natoa rai kwa wenzangu kabla hujaanza kujiingiza mazima ni vema basi ukaingalia afya ya mwenzako kwanza kuliko ukaingia kuiga ughaibuni na kuishia kujutia

Najua kuna kuupata kwa bahati mbaya lakini ni muhimu ukiupata kujitunza na kujikubali pasipo kupata maambukizi mapya ambayo yatakupelekea kwenye mateso makali kuliko ukitulia.

Mimi natamani kama kungekuwa na opereshi za kupunguza uume basi wanaume wangeweza kufanyiwa ili kuweza kupunguza maambukizi
 
Wanawake wamezidi ufuska miaka hii, yaani nyuchi zimewaota sugu sababu ya kuwa overused. Sasa wamebakia kulalamaweeee mitandaoni kutwa kucha wakiyajadili maumbile ya mwanaume.

Mwanamke ambaye mita haijatembea sana ni aghalabu kuvuka dakika 10 hajafika kileleni. Sasa nyinyi mnaotaka dkk 30 isuguliwe weeeee hadi itoe harufu ya rubber iliyooverheat ni bora mkatafuta dawa ya sugu. Wengine mmetoa mimba zaidi ya 7 vyuoni. Makemikali na mikono ya matabibu wauaji imesugusha kuta, sasa mnajaza mapovu mitandaoni

Wengine wenu mna matatizo ya kiuchumi na ngono pamoja. Kukojoa unataka na hela unataka. M'baba anakupa dawa we akili yako haipo wodini, umeihamishia kwenye wallet ya mtoa dawa halafu unatujazia server...mfyuuu!
 
Juzi nilienda kupima ukimwi katika mazungumzo na daktari aliweza kunielewesha namna michubuko inavyotokea na kupelekea maambukizi na sababu ambazo huwezi kukwepa kupata maambukizi ambazo ni pamoja na kutembea na mtu mwenye uume mkubwa.

Hivyo basi nimeona nishee na wenzangu nimeona tujikumbushe hili gonjwa hatari la ukimwi wengi tumejisahau kuwa umeisha na kudhani kwamba ni wakati wa kujiachia na kuelekezana kila kukicha namna ya kumridhisha mwanaume pasipokuangalia athari zilizopo kuhusu hili gonjwa nimeona wenzangu wengi wanazungumzia namna ya kuzama chumvini au kutaka wanaume wenye maumbile makubwa leo ntapenda ktoa somo juu ya umuhimu wa wanaume wenye vibamia

1. Ukitembea na mtu mwenye kibamia uwezekano wa kupata ukimwi ni asilimia 30 kuliko mwenye maumbile makubwa maana lazima akuchubue

2. Kibamia hakitanui mwili utaonekana hujatanuka miaka yote

3. Mapenzi sio adhabu ya kuumia kama umepakwa pilipili

Hivyo basi nilikuwa natoa rai kwa wenzangu kabla hujaanza kujiingiza mazima ni vema basi ukaingalia afya ya mwenzako kwanza kuliko ukaingia kuiga ughaibuni na kuishia kujutia

Najua kuna kuupata kwa bahati mbaya lakini ni muhimu ukiupata kujitunza na kujikubali pasipo kupata maambukizi mapya ambayo yatakupelekea kwenye mateso makali kuliko ukitulia.

Mimi natamani kama kungekuwa na opereshi za kupunguza uume basi wanaume wangeweza kufanyiwa ili kuweza kupunguza maambukizi
Nawasiwas unakabamia tena kachanga
 
Wanawake wamezidi ufuska miaka hii, yaani nyuchi zimewaota sugu sababu ya kuwa overused. Sasa wamebakia kulalamaweeee mitandaoni kutwa kucha wakiyajadili maumbile ya mwanaume.

Mwanamke ambaye mita haijatembea sana ni aghalabu kuvuka dakika 10 hajafika kileleni. Sasa nyinyi mnaotaka dkk 30 isuguliwe weeeee hadi itoe harufu ya rubber iliyooverheat ni bora mkatafuta dawa ya sugu. Wengine mmetoa mimba zaidi ya 7 vyuoni. Makemikali na mikono ya matabibu wauaji imesugusha kuta, sasa mnajaza mapovu mitandaoni

Wengine wenu mna matatizo ya kiuchumi na ngono pamoja. Kukojoa unataka na hela unataka. M'baba anakupa dawa we akili yako haipo wodini, umeihamishia kwenye wallet ya mtoa dawa halafu unatujazia server...mfyuuu!
 

Attachments

  • VID-20170927-WA0018.mp4
    3.5 MB · Views: 29
Huna lolote wewe, muhogo wa jang'ombe ndo habari ya mjini,kampunguze ukubwa wa huyo anaekukuna!kwanza hujasema kama ana kibamia au tango.?
 
Wanawake wamezidi ufuska miaka hii, yaani nyuchi zimewaota sugu sababu ya kuwa overused. Sasa wamebakia kulalamaweeee mitandaoni kutwa kucha wakiyajadili maumbile ya mwanaume.

Mwanamke ambaye mita haijatembea sana ni aghalabu kuvuka dakika 10 hajafika kileleni. Sasa nyinyi mnaotaka dkk 30 isuguliwe weeeee hadi itoe harufu ya rubber iliyooverheat ni bora mkatafuta dawa ya sugu. Wengine mmetoa mimba zaidi ya 7 vyuoni. Makemikali na mikono ya matabibu wauaji imesugusha kuta, sasa mnajaza mapovu mitandaoni

Wengine wenu mna matatizo ya kiuchumi na ngono pamoja. Kukojoa unataka na hela unataka. M'baba anakupa dawa we akili yako haipo wodini, umeihamishia kwenye wallet ya mtoa dawa halafu unatujazia server...mfyuuu!
Aghalabu = maranyingi, hivyo tumia neno hili kwa usahihi wake
 
Wanawake wamezidi ufuska miaka hii, yaani nyuchi zimewaota sugu sababu ya kuwa overused. Sasa wamebakia kulalamaweeee mitandaoni kutwa kucha wakiyajadili maumbile ya mwanaume.

Mwanamke ambaye mita haijatembea sana ni aghalabu kuvuka dakika 10 hajafika kileleni. Sasa nyinyi mnaotaka dkk 30 isuguliwe weeeee hadi itoe harufu ya rubber iliyooverheat ni bora mkatafuta dawa ya sugu. Wengine mmetoa mimba zaidi ya 7 vyuoni. Makemikali na mikono ya matabibu wauaji imesugusha kuta, sasa mnajaza mapovu mitandaoni

Wengine wenu mna matatizo ya kiuchumi na ngono pamoja. Kukojoa unataka na hela unataka. M'baba anakupa dawa we akili yako haipo wodini, umeihamishia kwenye wallet ya mtoa dawa halafu unatujazia server...mfyuuu!
Wanasema isuguliwe mpaka itoe harufu ya baruti...
 
Hoja ya mtoa mada ina ukweli wa kisayansi as far as HIV transmission is concerned
 
Wanawake wamezidi ufuska miaka hii, yaani nyuchi zimewaota sugu sababu ya kuwa overused. Sasa wamebakia kulalamaweeee mitandaoni kutwa kucha wakiyajadili maumbile ya mwanaume.

Mwanamke ambaye mita haijatembea sana ni aghalabu kuvuka dakika 10 hajafika kileleni. Sasa nyinyi mnaotaka dkk 30 isuguliwe weeeee hadi itoe harufu ya rubber iliyooverheat ni bora mkatafuta dawa ya sugu. Wengine mmetoa mimba zaidi ya 7 vyuoni. Makemikali na mikono ya matabibu wauaji imesugusha kuta, sasa mnajaza mapovu mitandaoni

Wengine wenu mna matatizo ya kiuchumi na ngono pamoja. Kukojoa unataka na hela unataka. M'baba anakupa dawa we akili yako haipo wodini, umeihamishia kwenye wallet ya mtoa dawa halafu unatujazia server...mfyuuu!
Mzee baba umeongea toka moyoni aiseee
 
Sio kweli.

Wenye vibamia hujitahidi kusugua pale juu ili kumfurahisha mtu na kusababisha mchubuko. Tango linateleza tuuu bila makwaruzo na kutoka.
 
Back
Top Bottom