Umuhimu wa Strategic Planning katika Biashara

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,490
5,525
Wengi wetu tunaamini kabisa kwamba maisha ni malengo. Biashara pia ni malengo

Strategic Plan (Mpango Mkakati) unahusisha uaandaaji wa mipango/malengo unayotaka kufikia ndani ya kipindi fulani na mikakati ya namna ambavyo unataka kufikia malengo hayo. Katika kuandaa malengo hayo unapaswa kuangalia hali halisi ilivyo,changamoto zilizopo, fursa zilizopo na uwezo wako katika uhalisia makini. Kazi ya kuandaa Mpango mkakati sio kazi rahisi.inahitaji muda na rasimali nyingine ili kuweza kuiandaa kikamilifu.

Biashara yoyote inahitaji malengo. Malengo yanakuwa kama dira na ramani ya kule unakoelekea katika biashara yako.itakupa mwongozo wa kufanya maamuzi na kukuongeza iwapo utakutana na changamoto. Vile vile inapotokea mambo yanaenda ndivyo sivyo unaweza kurekebisha mipango yako ili iendane na uhalisia. Unaweza kuwa na mpango mkakati wa muda mfupi,wa kati na muda mrefu.

Je, una mpango mkakati wa biashara yako? Tushirikishane changamoto na fursa katika uandaaji na utekelezaji wa mpango mkakati.

Baada ya uzi kuchangamka nimeongeza haya

Nafurahi sasa uzi umeanza kuteleza.Labda kwa kuchangia tu niseme kwamba Strategic Plan sio lazima iwe ndefu yenye kurasa nyingi inaweza kuwa na kurasa moja hadi tano na bado ikakupa picha ya muelekeo wa biashara yako.Kwa kawaida kuna mambo matatu ya kuzingatia ambayo ni GOALS setting,Execution,na Monitoring and Evaluation.Goals lazima ziwe SMART kama unataka uweze kuzifanyia Execution pamoja na Monitoring and Evaluation.

Ninaposema SMART Goals namaani kwamba lazima uwe SPECIFIC kwa kila unachotaka kukifikia,Lazima uwe na uwezo wa kupima iwapo umekifikia MEASURABLE yawe yanawezekana kuikiwa-Attainable yawe,Yawe ya msingi na yenye umuhimu-Relevant na ya na muda maalum wa kuyafikia-Time Bound.

Katika kufanya hivyo unaweza kutumia mbinu mbalimbali katika kuweka malengo yako ikiwa ni pamoja na kujifanyia kitu kinaitwa SWOT analysis-Uwezo,Udhaifu,Fursa,Changamoto katika kila eneo la maisha yako.

Katika kufanya hii nanlysis unashauriwa kuorodhesha kati ya 5-10 aspects za Strengths zako,Weakness Zako,Opportunities zilizopo pamoja Changamoto ambazo lazima ushughulike nazo.

Hivyo basi katika kufanya Strategic Plan ili isje kuwa Tragedic plan unapaswa kuanza kwa kujifanyia Evaluation wewe mwenye kwa kutumia mbinu ya SWOT kisha unaweka SMART GOALS na utakapomaliza utajikuta tayari umetengeneza STRATEGIC PLAN nzuri ambayo itakuongoza katika kufikia malengo yako
 
Mtoa mada umeleta topiki nzuri sana. Mpango mkakati ni muhimu si kwa taasisi au biashara pekee hata kwa familia. Lazima kuwe na mpango mkakati wa familia kujua mmepanga nn na mtafikia vp. Familia ni Taasisi bila Mpango Mkakati mnaweza msifikie malengo. Sorry nimetoka nje ya mada ya biashara

Kesho nitakuja na nondo za SP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada umeleta topiki nzuri sana. Mpango mkakati ni muhimu si kwa taasisi au biashara pekee hata kwa familia. Lazima kuwe na mpango mkakati wa familia kujua mmepanga nn na mtafikia vp. Familia ni Taasisi bila Mpango Mkakati mnaweza msifikie malengo. Sorry nimetoka nje ya mada ya biashara

Kesho nitakuja na nondo za SP

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakaa siti ya mbele
 
Ni vyema kuwa na diary unaandika kila mpango mkakati wako kwa mwaka husika..au mpango mkakati wako kwa kila quaterly.......! Inasaidia sana kujua wapi unaelekea na wapi utokako...!
IMG_20200301_161400_4.jpg
 
Mkakati wa biashara yangu ni niweze kufuga kuku zaidi ya elfu mbili ingawa sasa ninaomba 300 changamoto ni mtaji ndo napambana
 
Mtoa mada umeleta topiki nzuri sana. Mpango mkakati ni muhimu si kwa taasisi au biashara pekee hata kwa familia. Lazima kuwe na mpango mkakati wa familia kujua mmepanga nn na mtafikia vp. Familia ni Taasisi bila Mpango Mkakati mnaweza msifikie malengo. Sorry nimetoka nje ya mada ya biashara

Kesho nitakuja na nondo za SP

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.

Kesho ndio leo sasa tunasubiri nondo, naomba ni tag ukishusha mzigo.
 
Mkuu.

Kesho ndio leo sasa tunasubiri nondo, naomba ni tag ukishusha mzigo.
Nakumbuka ngoja kwanza niamshe amshe ofisi kwenye saa tano hivi nitakuja na nondo kwa sasa pata madini ya kuanzia hapo chini.

LAYOUT OF THE STRATEGIC PLAN



Table of Content



List of Abbreviations



Preface



Executive Summary



CHAPTER 1: INTRODUCTION


1.1. Background Information

1.2. Strategic plan Development Process

1.3. Purpose and Rationale for the Plan

1.4. Layout and the structure of the Strategic plan



CHAPTER 2: SITUATION ANALYSIS

2.1. Mandate , Objects and Functions of the University

2.2. Mission and Vision in 3CSP

2.3. Performance Review

2.4. Internal Analysis

2.5. External Analysis

2.5.1. PESTEL

2.5.2. Stakeholder Analysis

2.6. SWOC Analysis.



CHAPTER 3: THE CSP

3.1. Introduction

3.2. Mission, Vision and Core Values

3.3. KRA, Objectives, Strategies and Targets



CHAPTER 4: RESULT FRAMEWORK

4.1. Introduction

4.2. Monitoring Arrangements

4.3. Evaluation Arrangements

Annex 1: Organization Chart

Annex 2: Summary of the Core elements of the Strategic Plan

Annex 3. Key Indicators
 
Nakumbuka ngoja kwanza niamshe amshe ofisi kwenye saa tano hivi nitakuja na nondo kwa sasa pata madini ya kuanzia hapo chini.

LAYOUT OF THE STRATEGIC PLAN



Table of Content



List of Abbreviations



Preface



Executive Summary



CHAPTER 1: INTRODUCTION


1.1. Background Information

1.2. Strategic plan Development Process

1.3. Purpose and Rationale for the Plan

1.4. Layout and the structure of the Strategic plan



CHAPTER 2: SITUATION ANALYSIS

2.1. Mandate , Objects and Functions of the University

2.2. Mission and Vision in 3CSP

2.3. Performance Review

2.4. Internal Analysis

2.5. External Analysis

2.5.1. PESTEL

2.5.2. Stakeholder Analysis

2.6. SWOC Analysis.



CHAPTER 3: THE CSP

3.1. Introduction

3.2. Mission, Vision and Core Values

3.3. KRA, Objectives, Strategies and Targets



CHAPTER 4: RESULT FRAMEWORK

4.1. Introduction

4.2. Monitoring Arrangements

4.3. Evaluation Arrangements

Annex 1: Organization Chart

Annex 2: Summary of the Core elements of the Strategic Plan

Annex 3. Key Indicators
Nakufatilia Mkuu. Mie haya mambo ya kusoma ndio napenda.
 
Nafurahi sasa uzi umeanza kuteleza.Labda kwa kuchangia tu niseme kwamba Strategic Plan sio lazima iwe ndefu yenye kurasa nyingi inaweza kuwa na kurasa moja hadi tano na bado ikakupa picha ya muelekeo wa biashara yako.Kwa kawaida kuna mambo matatu ya kuzingatia ambayo ni GOALS setting,Execution,na Monitoring and Evaluation.Goals lazima ziwe SMART kama unataka uweze kuzifanyia Execution pamoja na Monitoring and Evaluation.

Ninaposema SMART Goals namaani kwamba lazima uwe SPECIFIC kwa kila unachotaka kukifikia,Lazima uwe na uwezo wa kupima iwapo umekifikia MEASURABLE yawe yanawezekana kuikiwa-Attainable yawe,Yawe ya msingi na yenye umuhimu-Relevant na ya na muda maalum wa kuyafikia-Time Bound.

Katika kufanya hivyo unaweza kutumia mbinu mbalimbali katika kuweka malengo yako ikiwa ni pamoja na kujifanyia kitu kinaitwa SWOT analysis-Uwezo,Udhaifu,Fursa,Changamoto katika kila eneo la maisha yako.

Katika kufanya hii nanlysis unashauriwa kuorodhesha kati ya 5-10 aspects za Strengths zako,Weakness Zako,Opportunities zilizopo pamoja Changamoto ambazo lazima ushughulike nazo.

Hivyo basi katika kufanya Strategic Plan ili isje kuwa Tragedic plan unapaswa kuanza kwa kujifanyia Evaluation wewe mwenye kwa kutumia mbinu ya SWOT kisha unaweka SMART GOALS na utakapomaliza utajikuta tayari umetengeneza STRATEGIC PLAN nzuri ambayo itakuongoza katika kufikia malengo yako
 
Nakumbuka ngoja kwanza niamshe amshe ofisi kwenye saa tano hivi nitakuja na nondo kwa sasa pata madini ya kuanzia hapo chini.

LAYOUT OF THE STRATEGIC PLAN



Table of Content



List of Abbreviations



Preface



Executive Summary



CHAPTER 1: INTRODUCTION


1.1. Background Information

1.2. Strategic plan Development Process

1.3. Purpose and Rationale for the Plan

1.4. Layout and the structure of the Strategic plan



CHAPTER 2: SITUATION ANALYSIS

2.1. Mandate , Objects and Functions of the University

2.2. Mission and Vision in 3CSP

2.3. Performance Review

2.4. Internal Analysis

2.5. External Analysis

2.5.1. PESTEL

2.5.2. Stakeholder Analysis

2.6. SWOC Analysis.



CHAPTER 3: THE CSP

3.1. Introduction

3.2. Mission, Vision and Core Values

3.3. KRA, Objectives, Strategies and Targets



CHAPTER 4: RESULT FRAMEWORK

4.1. Introduction

4.2. Monitoring Arrangements

4.3. Evaluation Arrangements

Annex 1: Organization Chart

Annex 2: Summary of the Core elements of the Strategic Plan

Annex 3. Key Indicators
Mwanzo msuri ,lakini hii Ni ya Level kubwa ,vipi kwa mfanya biashara mdogo /biashara binafsi
 
Mwanzo msuri ,lakini hii Ni ya Level kubwa ,vipi kwa mfanya biashara mdogo /biashara binafsi
Nikupe mfano wa biashara ndogo kama ya duka;

Umeshapata eneo umeshaweka mzigo tayari duka liko wazi kwa hio unaanza kuweka mipango.

Unaanza na SWOT=What are your strengths?Ni kitu gani cha kipekee kuhusu wewe,eneo lako,bidhaa zako,bei zako,na huduma yako ambayo unafikri inakupa uwezo wa kushindana kibiashara?Je mtaji ulio nao unatosha,na je una mtaji wa ziada?Je bidhaa zako unanunulia sehemu gani,je bei yako ni bora kuliko kwa wengine?Je una leseni na vibali vyote,unalipa kodi himilivu?Unazo bidhaa zote za muhimu?Je wewe ni mtu mwenye bashasha?

WEAKNESS-:Jitazame wewe,biashara yako,mazingira yako n.k.


OPPORTUNITIES:
Jitazame wewe,biashara yako,mazingira yako n.k.

THREATS:
Jitazame wewe,biashara yako,mazingira yako n.k.

Baada ya kufanya SWOT analysis unakuja kuweka SMART GOALS

PRIORITY GOALS au short term goals zako unazitoa kwenye WEAKNESS zako na KWENYE THREATS zako na BIG GOALS zako au LONG term GOALs unazitoa kutoka kwenye OPPORTUNITIES ZAKO.

STRENGTH zako unatakiwa uendelea kuzibuild kwa kujifunza zaidi na kujiongeza katika maeneo mengine.

Nakutakia kila la heri.

Iwepo ungependa kufanyiwa SWOT analysis pamoja na kuweka SMART Goals katika biashara yako au katika maisha yako tafadhali wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom