Umuhimu wa safari za Uhuru Jamaica na Barbados vs Hali ya uchumi wa Kenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613

Nimejaribu kutafakari kwa kina sana kuhusu safari za Uhuru Kenyatta katika visiwa vya Jamaica na Barbado huku nikilinganisha na matatizo makubwa ya kiuchumi yanayolikumba Taifa la Kenya kwa sasa.

Katika safari hizi, Uhuru ameambatana na mawaziri watatu, 1) Mambo ya nje, 2)Elimu na 3)Utalii. Katika safari hii, rais hakutumia ndege yake, badala yake imekodishwa ndege ya kisasa na kifahari sana "Gulf stream" kwa gharama kubwa sana.

Nimekua nikijiuliza maswali kadhaa, Waziri wa Elimu katika nchi hizi anakwenda kufanya nini?, kweli Kenya, Jamaica na Barbados kuna uhusiano gani katika Elimu?.

Kuhusu Utalii, kweli Jamaica na Barbados ni miongoni mwa nchi zenye kupeleka watalii duniani au kupokea watalii kama sisi waafrica?, hivi kweli ni sahihi kwa Kenya kupoteza gharama kubwa kwa sasa kulenga watalii wa Jamaica na Barbados?. Je safari hizi katika kipindi hiki ambacho serikali ya Kenya inashindwa hata kulipa Madeni yanayoikabili KQ zinatija kwa Kenya?
Naomba kuwakilisha.
 
Sasa nyinyi ambao 'mnabana matumizi' kwa kununua magari mengi kwasababu ya wageni wa siku moja si ndio vichaa zaidi? Rais U.K alialikwa na PM Holness wa Jamaica kuhudhuria sherehe za siku Jamaica ilipopata Uhuru. FYI, hivi karibuni kutakuwa na kongamano la ACP(African Carribean & Pacific group of countries) na nchi zote za visiwa vya Carribean ni wanachama. Fursa zimefunguka za ushirikiano kati ya Kenya na Jamaica kwenye utalii. Makocha wa riadha pia, kutoka Kenya wamepata fursa za ajira Jamaica. Tusipangiane bana, acha Jiwe wenu akomalie Chato akingoja kuwaalika marais saizi yake kama M7 na Nkurunzinza.
 
Sasa nyinyi ambao 'mnabana matumizi' kwa kununua magari mengi kwasababu ya wageni wa siku moja si ndio vichaa zaidi? FYI hivi karibuni kutakuwa na kongamano la ACP(African Carribean & Pacific group of countries) na nchi zote za visiwa vya Carribean ni wanachama. Fursa zimefunguka pia za makocha wa riadha Kenya kuenda Jamaica. Tusipangiane bana, acha Jiwe wenu akomalie Chato akingoja kuwaalika marais kama M7.
Punguza mihemuko kaka, hapa nimeibua mambo Mengi sana, ulipaswa kujibu "issue" nilizozitaja sio kuweweseka
1) Kukodi ndege ya kifahari kwa gharama kubwa, badala ya kukodi ndege za KQ ambazo zinatafuta biashara "lucrative" kama hiyo.
2)Umuhimu wa Waziri wa Elimu
3)Kuwepo na watalii kutoka katika hivyo visiwa
4)Hali ya uchumi wa Kenya sasa hivi kuweza kusupport safari katika nchi kama hizi.
Nimeuliza ili kupata mawazo mbadala.
 
Tutayauza hayo magari wageni wakiondoka,
Stick to the point ya mleta mada
Sasa nyinyi ambao 'mnabana matumizi' kwa kununua magari mengi kwasababu ya wageni wa siku moja si ndio vichaa zaidi? Rais U.K alialikwa na PM Holness wa Jamaica kuhudhuria sherehe za siku Jamaica ilipopata Uhuru. FYI, hivi karibuni kutakuwa na kongamano la ACP(African Carribean & Pacific group of countries) na nchi zote za visiwa vya Carribean ni wanachama. Fursa zimefunguka za ushirikiano kati ya Kenya na Jamaica kwenye utalii. Makocha wa riadha pia, kutoka Kenya wamepata fursa za ajira Jamaica. Tusipangiane bana, acha Jiwe wenu akomalie Chato akingoja kuwaalika marais saizi yake kama M7 na Nkurunzinza.
 
Punguza mihemuko kaka, hapa nimeibua mambo Mengi sana, ulipaswa kujibu "issue" nilizozitaja sio kuweweseka
1) Kukodi ndege ya kifahari kwa gharama kubwa, badala ya kukodi ndege za KQ ambazo zinatafuta biashara "lucrative" kama hiyo.
2)Umuhimu wa Waziri wa Elimu
3)Kuwepo na watalii kutoka katika hivyo visiwa
4)Hali ya uchumi wa Kenya sasa hivi kuweza kusupport safari katika nchi kama hizi.
Nimeuliza ili kupata mawazo mbadala.
1) Ulikuwa unataka asafiri na Bombadia Kama ile yenu iliyochukuwa siku 6?
2)Masomo hayana mipaka na tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Visiwa hivyo pande ya historia, tamaduni, utalii na mengineyo. Unlike Tz Kenya SI kisiwa cha ujinga.
3)Hata wanavisiwa hivyo vy a antlantic ni wasafiri na wafanyabiashara sio Kama Wadanganyika na husafiri pande za middle East na Afrika pia hivyo wakipitisha JKIA ni faida kwetu sote.
4)Uchumi wa Kenya si was kubahatisha Kama ule wa Tanzania si unaweza support safari Kama hizo kwa kuwa tunayo Nia...SI uliona vile Bagamoyo iliwashinda ila sisi Lamu haijatushinda, vile vile ATCL inawapa sleepless night ilahali hapa Kenya na Ndege zetu tatu za KQ bado kazi inaendelea.


Ongeza maswali Babaa ama umwage povu.
 
Pumba
1) Ulikuwa unataka asafiri na Bombadia Kama ile yenu iliyochukuwa siku 6?
2)Masomo hayana mipaka na tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Visiwa hivyo pande ya historia, tamaduni, utalii na mengineyo. Unlike Tz Kenya SI kisiwa cha ujinga.
3)Hata wanavisiwa hivyo vy a antlantic ni wasafiri na wafanyabiashara sio Kama Wadanganyika na husafiri pande za middle East na Afrika pia hivyo wakipitisha JKIA ni faida kwetu sote.
4)Uchumi wa Kenya si was kubahatisha Kama ule wa Tanzania si unaweza support safari Kama hizo kwa kuwa tunayo Nia...SI uliona vile Bagamoyo iliwashinda ila sisi Lamu haijatushinda, vile vile ATCL inawapa sleepless night ilahali hapa Kenya na Ndege zetu tatu za KQ bado kazi inaendelea.


Ongeza maswali Babaa ama umwage povu.
 
Tutayauza hayo magari wageni wakiondoka,
Stick to the point ya mleta mada
Mtawauzia nani ama mtawazawadia Wana CCM damu kiufisadi ufisadi Kama kawaida?

Wewe unajua ni hasara kubwa kuiuza gari mpya kwa kuwa dhamana yake inashuka maradufu? lakini tunaelewa akili za viongozi wenu na watu Kama wewe ni za kuvukia barabara .
 
1) Ulikuwa unataka asafiri na Bombadia Kama ile yenu iliyochukuwa siku 6?
2)Masomo hayana mipaka na tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Visiwa hivyo pande ya historia, tamaduni, utalii na mengineyo. Unlike Tz Kenya SI kisiwa cha ujinga.
3)Hata wanavisiwa hivyo vy a antlantic ni wasafiri na wafanyabiashara sio Kama Wadanganyika na husafiri pande za middle East na Afrika pia hivyo wakipitisha JKIA ni faida kwetu sote.
4)Uchumi wa Kenya si was kubahatisha Kama ule wa Tanzania si unaweza support safari Kama hizo kwa kuwa tunayo Nia...SI uliona vile Bagamoyo iliwashinda ila sisi Lamu haijatushinda, vile vile ATCL inawapa sleepless night ilahali hapa Kenya na Ndege zetu tatu za KQ bado kazi inaendelea.


Ongeza maswali Babaa ama umwage povu.
Cc.Tony254
 
Tutayauza watanunua Watu.
Mnaumia sana au kuna sent yako Ilitumika.
Mtawauzia nani ama mtawazawadia Wana CCM damu kiufisadi ufisadi Kama kawaida?

Wewe unajua ni hasara kubwa kuiuza gari mpya kwa kuwa dhamana yake inashuka maradufu? lakini tunaelewa akili za viongozi wenu na watu Kama wewe ni za kuvukia barabara .
 
Punguza mihemuko kaka, hapa nimeibua mambo Mengi sana, ulipaswa kujibu "issue" nilizozitaja sio kuweweseka
1) Kukodi ndege ya kifahari kwa gharama kubwa, badala ya kukodi ndege za KQ ambazo zinatafuta biashara "lucrative" kama hiyo.
2)Umuhimu wa Waziri wa Elimu
3)Kuwepo na watalii kutoka katika hivyo visiwa
4)Hali ya uchumi wa Kenya sasa hivi kuweza kusupport safari katika nchi kama hizi.
Nimeuliza ili kupata mawazo mbadala.
Sijamuona waziri wa elimu katika msafara wa Rais.
 
Sijamuona waziri wa elimu katika msafara wa Rais.
Hili nalo pia ni tatizo kubwa linallozikumba nchi zetu, we are not vigilantes enough, this gives our leaders to spend our money the way they wish. Sasa kama hamjui hata watu anaofuatana nao katika safari zinazogharimu pesa nyingi kama hizi, mtawezaje kudhibiti matumizi ya serikali yasiyokuwa ya lazima?.
 

Nimejaribu kutafakari kwa kina sana kuhusu safari za Uhuru Kenyatta katika visiwa vya Jamaica na Barbado huku nikilinganisha na matatizo makubwa ya kiuchumi yanayolikumba Taifa la Kenya kwa sasa.

Katika safari hizi, Uhuru ameambatana na mawaziri watatu, 1) Mambo ya nje, 2)Elimu na 3)Utalii. Katika safari hii, rais hakutumia ndege yake, badala yake imekodishwa ndege ya kisasa na kifahari sana "Gulf stream" kwa gharama kubwa sana.

Nimekua nikijiuliza maswali kadhaa, Waziri wa Elimu katika nchi hizi anakwenda kufanya nini?, kweli Kenya, Jamaica na Barbados kuna uhusiano gani katika Elimu?.

Kuhusu Utalii, kweli Jamaica na Barbados ni miongoni mwa nchi zenye kupeleka watalii duniani au kupokea watalii kama sisi waafrica?, hivi kweli ni sahihi kwa Kenya kupoteza gharama kubwa kwa sasa kulenga watalii wa Jamaica na Barbados?. Je safari hizi katika kipindi hiki ambacho serikali ya Kenya inashindwa hata kulipa Madeni yanayoikabili KQ zinatija kwa Kenya?
Naomba kuwakilisha.
Itakua Kaenda kuchukua degree ya kuvuta BANGI
 
Back
Top Bottom