KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
Mswaki jamani kupiga mswaki kwa wanandoa haswaaa mida ya ucku unapotaka kulala
Unapotaka kulala bibi na bwana pigeni mswaki sio umeshinda kutwa nzima umekula vitu tofaut tofaut mdomo una ugavu unaenda kumpa romance mwenzio
Wengne humu tuna wanaume zetu ni mtihan wanavuta sigara humu Mwenyezi Mungu awaongoze waache
KINYWA kiwe safi kwanza pia ni nzur kwa afya yako
Mdomo uwe unaharufu nzur hata pale ukitamka maneno matam yanatoka na harufu nzuri
Na sio meno na kinywa tu hata ulimi unatakiwa usafishwe wengne ulimi una nta ukimpa mwenzio ulimi kuna Uchachu wa ugavu inahuu
Safisha ulimi wako , mume na mke mkipeana ulimi unakua swaafi romance inakua paambe na mate yanakua yenye vimelea safii
Usiwe mvivu mtt wakike mzoeshe na mumeo kila ucku muekee mswaki wenye dawa mwambie piga mswaki mume wangu lazima atazoea
Wengne humu akiamka asbui mpk ucku hajui mswaki kwenye kinywa chake meno ya njano kwa ule uvivu mwanamke lazima ujali afya yako na usafi wako
Utakuta wengne humu mume wake au mke wake hapendi mate mara kwa mara kumbe mdomo unaleta harufu kali wanashindwa kuambiana (Japo wengne yanakua ni maradhi )
Vitu ni vidogo unaeza ukapuuzia kumbe ukifanya inaeza kupa ubunifu mpya ktk ndoa wengi tunapenda kupuuzia mambo madogo ndio yenye kunufaisha
Ewe mola! Tujaalie ndoa zenye amani, furaha, upendo na uchamungu
sent from toyota Allex
Unapotaka kulala bibi na bwana pigeni mswaki sio umeshinda kutwa nzima umekula vitu tofaut tofaut mdomo una ugavu unaenda kumpa romance mwenzio
Wengne humu tuna wanaume zetu ni mtihan wanavuta sigara humu Mwenyezi Mungu awaongoze waache
KINYWA kiwe safi kwanza pia ni nzur kwa afya yako
Mdomo uwe unaharufu nzur hata pale ukitamka maneno matam yanatoka na harufu nzuri
Na sio meno na kinywa tu hata ulimi unatakiwa usafishwe wengne ulimi una nta ukimpa mwenzio ulimi kuna Uchachu wa ugavu inahuu
Safisha ulimi wako , mume na mke mkipeana ulimi unakua swaafi romance inakua paambe na mate yanakua yenye vimelea safii
Usiwe mvivu mtt wakike mzoeshe na mumeo kila ucku muekee mswaki wenye dawa mwambie piga mswaki mume wangu lazima atazoea
Wengne humu akiamka asbui mpk ucku hajui mswaki kwenye kinywa chake meno ya njano kwa ule uvivu mwanamke lazima ujali afya yako na usafi wako
Utakuta wengne humu mume wake au mke wake hapendi mate mara kwa mara kumbe mdomo unaleta harufu kali wanashindwa kuambiana (Japo wengne yanakua ni maradhi )
Vitu ni vidogo unaeza ukapuuzia kumbe ukifanya inaeza kupa ubunifu mpya ktk ndoa wengi tunapenda kupuuzia mambo madogo ndio yenye kunufaisha
Ewe mola! Tujaalie ndoa zenye amani, furaha, upendo na uchamungu
sent from toyota Allex