Salehe Ndanda
Member
- Jun 15, 2009
- 41
- 3
Unajua kuna njia kuu 4 za barabara Tanzania za kuingia na kutoka lakini ni njia moja tu ndio inamizani nayo ni morogoro
je kwenye njia nyingine hakuna MIZANI kwanini wana jf? kama
mizigo kila njia inapitisha mizigo, sisi watanzania gari la tani saba linabeba tani kumi, je uhalibifu wa barabara haupo hapa TZ? Je huu ni uzembe au hatujui umuhimu wa mizani?
Mbonenyai.
je kwenye njia nyingine hakuna MIZANI kwanini wana jf? kama
mizigo kila njia inapitisha mizigo, sisi watanzania gari la tani saba linabeba tani kumi, je uhalibifu wa barabara haupo hapa TZ? Je huu ni uzembe au hatujui umuhimu wa mizani?
Mbonenyai.