Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Mke wa rais ana jukumu kubwa la kumtia moyo mumewe. Awe ni mama ambaye katulia na mwenye moyo wa upendo na uvumilivu. Asiwe mtu wa kumtawala mumewe.
Tunataka rais anapoenda nyumbani, basi apokelewe na kutiwa moyo. Rais ni binadamu anahitaji leisure and support. Sivema kuwa na first lady anayemnunia mumewe au kumtolea mabegi nje.
Tukiangalia mapito aliyopita Edward Lowassa tunaona kwamba Regina Lowassa ni mama ambaye amekuwa bega kwa bega na mumewe katika kipindi kigumu na kirefu. Huyu anafaa kuwa first lady.
Lowassa ametukanwa sana. Kiasi kwamba watawala walitaka tusiangalie ESCROW,twiga waliopelekwa Qatar, madawa ya kulevya yanayoenda South Africa na China, Tembo wanaouawa kila siku, mabehewa mabovu yaliyonunuliwa, vivuko vibovu vilivyo nunuliwa, n.k. Sisi tuimbe wimbo wa Lowassa fisadi wakati wao wanatafuna nchi.
Sisi ambao ni waumini wa kanisa katoliki, ukienda kuungama kwa padre, hauna tena jukumu lakwenda kwenye umati kuwaeleza dhambi zako. Na yule muungamishi wako anapofungua pazia la maungamo, basi yote uliyoyasema yatabaki pale. Hawezi yapeleka nje. Lakini hiyo ni sheria ya kanisa, kama zilivyo sheria nyingine. Mfano, padre haruhusiwi kuwa na kimada au mke. Ndo maana wakati wa kupadirishwa tunalala kifudifudi ikiwa ni ishara ya kuufia ulimwengu na Bwana wetu ni Yesu. Kwa mapadre wasiowaaminifu utoa siri ya maungamo ya muumini. Wengine uwa na vimada. Wengine utoka kwenye upadre lakini ukiangalia umri wa watoto wao unagundua watoto walizaliwa akiwa bado padre.
Edward Lowassa alishiriki Richmond kwa namna moja au nyingine. Lakini huyu ni mtu ambaye ameadhibiwa kwa miaka minane. Katika huo muda, ametukanwa sana tena na vijana ambao walipo mtukana walipewa vyeo. Kwakuwa huyu EL ni binadamu, basi amejifunza na akipewa nafasi ata prove kwa umma kwamba yeye ni mwema.
Pombe Magufuli naye siyo msafi. Kauza nyumba za serikali n.k. Kuna kipindi alitaka kubomoa nyumba za watu bila kuwalipa fidia wakati barabara ilikuwa imefuata makazi ya watu. Viongozi wake wa juu walimwambia aache ubabe. Sasa ukimpa urais, akipitisha uamuzi wa kibabe, sisi wananchi tutaenda wapi kuomba msaada?
Wanakigamboni waliambiwa wavuke bahari kwa kupiga mbizi. Huyu hana ubinadamu.
Katika hawa wawili tuliopewa yaani Pombe na Lowassa, bora LOWASSA. Mama Lowassa zidi kumtia moyo mzee na ukiwa first lady jiepushe na tabia za watangulizi wako. A first lady should be role model for other ladies.
Tunataka rais anapoenda nyumbani, basi apokelewe na kutiwa moyo. Rais ni binadamu anahitaji leisure and support. Sivema kuwa na first lady anayemnunia mumewe au kumtolea mabegi nje.
Tukiangalia mapito aliyopita Edward Lowassa tunaona kwamba Regina Lowassa ni mama ambaye amekuwa bega kwa bega na mumewe katika kipindi kigumu na kirefu. Huyu anafaa kuwa first lady.
Lowassa ametukanwa sana. Kiasi kwamba watawala walitaka tusiangalie ESCROW,twiga waliopelekwa Qatar, madawa ya kulevya yanayoenda South Africa na China, Tembo wanaouawa kila siku, mabehewa mabovu yaliyonunuliwa, vivuko vibovu vilivyo nunuliwa, n.k. Sisi tuimbe wimbo wa Lowassa fisadi wakati wao wanatafuna nchi.
Sisi ambao ni waumini wa kanisa katoliki, ukienda kuungama kwa padre, hauna tena jukumu lakwenda kwenye umati kuwaeleza dhambi zako. Na yule muungamishi wako anapofungua pazia la maungamo, basi yote uliyoyasema yatabaki pale. Hawezi yapeleka nje. Lakini hiyo ni sheria ya kanisa, kama zilivyo sheria nyingine. Mfano, padre haruhusiwi kuwa na kimada au mke. Ndo maana wakati wa kupadirishwa tunalala kifudifudi ikiwa ni ishara ya kuufia ulimwengu na Bwana wetu ni Yesu. Kwa mapadre wasiowaaminifu utoa siri ya maungamo ya muumini. Wengine uwa na vimada. Wengine utoka kwenye upadre lakini ukiangalia umri wa watoto wao unagundua watoto walizaliwa akiwa bado padre.
Edward Lowassa alishiriki Richmond kwa namna moja au nyingine. Lakini huyu ni mtu ambaye ameadhibiwa kwa miaka minane. Katika huo muda, ametukanwa sana tena na vijana ambao walipo mtukana walipewa vyeo. Kwakuwa huyu EL ni binadamu, basi amejifunza na akipewa nafasi ata prove kwa umma kwamba yeye ni mwema.
Pombe Magufuli naye siyo msafi. Kauza nyumba za serikali n.k. Kuna kipindi alitaka kubomoa nyumba za watu bila kuwalipa fidia wakati barabara ilikuwa imefuata makazi ya watu. Viongozi wake wa juu walimwambia aache ubabe. Sasa ukimpa urais, akipitisha uamuzi wa kibabe, sisi wananchi tutaenda wapi kuomba msaada?
Wanakigamboni waliambiwa wavuke bahari kwa kupiga mbizi. Huyu hana ubinadamu.
Katika hawa wawili tuliopewa yaani Pombe na Lowassa, bora LOWASSA. Mama Lowassa zidi kumtia moyo mzee na ukiwa first lady jiepushe na tabia za watangulizi wako. A first lady should be role model for other ladies.