Umtiti atua Barcelona

Huwezi kuwaweka ktk grup la weusi hao, ni tofauti kubwa na sisi! kwanza hao wabrazil ni wabaguzi kwa waafrika na watu wengine. Hapo ni 50/50 wanabagua na wenyewe acha wabaguliwe ngoma droo.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huwezi kuwaweka ktk grup la weusi hao, ni tofauti kubwa na sisi! kwanza hao wabrazil ni wabaguzi kwa waafrika na watu wengine. Hapo ni 50/50 wanabagua na wenyewe acha wabaguliwe ngoma droo.
Unafkir ni kwanini brazil wanabaguana?
unafkil ni kwanini neyma akiwa na mpira huwa anapigiwa kelele za nyani?

unakumbuka dany kesharushiwa ndizi zaid ya mara mbiri?

Kama sio wa africa ni akina nani?

kama inshu ni nywele ushawai kuziona nywere za clich wa man cty?

nywere za didie drogba je?
 
Unafkir ni kwanini brazil wanabaguana?
unafkil ni kwanini neyma akiwa na mpira huwa anapigiwa kelele za nyani?

unakumbuka dany kesharushiwa ndizi zaid ya mara mbiri?

Kama sio wa africa ni akina nani?

kama inshu ni nywele ushawai kuziona nywere za clich wa man cty?

nywere za didie drogba je?

Sasa ndugu yangu drogba na alves wapi na wapi? Ngozi utsijua tu, na Nywele za kutengeneza utazijuwa tu! Huyu ndiye dany alves ni kama akina iniesta,pedro,bosquets.

Dani-Alves.jpg
barcelona-s-dani-alves-518725.jpg
 
Mkuu labda hufuatilii ubaguzi bado upo, Neymar kabaguliawa mwaka huu huu
Ni ngumu kuisha hvo vitu hasa huko spain

Nafuatilia sana zaidi yako! Wabaguzi wakubwa hao acha na wao wabaguliwe, kwani brazil wamekuwa akina nani bana acha warushiwe hata pempas
 
Wewe kama hujui race piga kimya. Neymar na Alves wanabaguliwa Spain kama kawa. Unadhani kwanini? Wana mseto wa asili ya kiafrika.

Wewe kama ni shabiki wa uigereza ishia huko huko, ya spain hayakuhusu, Au kwa sababu the big clubs in the world imetawala pale ndio ulopoke
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom