Umri wa kuolewa hupangwa na Mungu, siyo sheria

Umri wa kuolewa hupangwa na Mungu, siyo sheria

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Sheria inaweza kumlazimisha mwanamke kusoma lakini siyo kuzaa. Kuolewa ni jambo moja na kuzaa ni jambo lingine la Kimungu.

Damu ya hedhi ndicho kipimo na taarifa ya Kimungu kuwa msichana amekua na yuko tayari kuzaa kwa kuolewa au kwa kutokuolewa.

Hata mama na bibi zetu walizaa kwa njia hizo za kuangalia umri wa kutoka damu ya hedhi. Hii ni kwa wanyama wote, na baada ya muda huu wa kubalehe viumbe wote wako tayari kuzaa kwa kalenda ya Mungu.

Tunakoelekea sio kuzuri ni heri serikalini kutumia rasilimali katika kusomesha na kuelimisha wanawake kuhusu madhara ya kuzaa kwenye umri mdogo badala ya kutumia rasilimali hizo katika kuzuia watu wasiolewe chini ya miaka 18. Ukisema kila msichana lazima asome hadi form 4 automatically utakuwa umesolve umri wa kuolewa indirectly badala ya kufukuzana na wasichana wasiosoma wasiolewe hadi wafikie miaka 18.

Watawala na wasomi wetu tusaidieni kutatua matatizo ya msingi yanayotukabiri kama vile njaa, huduma za afya, huduma za elimu, maji ya kunywa, nyumba Bora nk. Shida yetu sio wanawake kuolewa mapema.
 
Sheria inaweza kumlazimisha mwanamke kusoma lakini siyo kuzaa. Kuolewa ni jambo moja na kuzaa ni jambo lingine la Kimungu.

Damu ya hedhi ndicho kipimo na taarifa ya Kimungu kuwa msichana amekua na yuko tayari kuzaa kwa kuolewa au kwa kutokuolewa.

Hata mama na bibi zetu walizaa kwa njia hizo za kuangalia umri wa kutoka damu ya hedhi. Hii ni kwa wanyama wote, na baada ya muda huu wa kubalehe viumbe wote wako tayari kuzaa kwa kalenda ya Mungu.

Tunakoelekea sio kuzuri ni heri serikalini kutumia rasilimali katika kusomesha na kuelimisha wanawake kuhusu madhara ya kuzaa kwenye umri mdogo badala ya kutumia rasilimali hizo katika kuzuia watu wasiolewe chini ya miaka 18. Ukisema kila msichana lazima asome hadi form 4 automatically utakuwa umesolve umri wa kuolewa indirectly badala ya kufukuzana na wasichana wasiosoma wasiolewe hadi wafikie miaka 18.

Watawala na wasomi wetu tusaidieni kutatua matatizo ya msingi yanayotukabiri kama vile njaa, huduma za afya, huduma za elimu, maji ya kunywa, nyumba Bora nk. Shida yetu sio wanawake kuolewa mapema.
Yakupasa kujua kuwa kuna nguvu tatu.

Falsafa ya jumla (philosophy)
Dini (religion)
Sayansi (science)
 
Kuoa yenyewe kwa machale halafu mnatuwekea masharti, bure kabisa.... na hii sheria haina mashiko.
 
Acha kumhusisha Mungu kwenye mambo ya kingese ngese

Tamaa zako za kimwili zisikufanye ujitoe akili ivi katoto kaa miaka 14 nako kana utamu gan sasa hadi muanze kupiga kelele

Au kwa sababu watume zenu walikuwa wabakaji
 
Hii ni pointi. Lakini nafikiri hii sheria ya kuolewa ni kama ile sheria ya kutovuta sigara hadharani--haitekelezeki hata kidogo.
Sheria inaweza kumlazimisha mwanamke kusoma lakini siyo kuzaa. Kuolewa ni jambo moja na kuzaa ni jambo lingine la Kimungu.

Damu ya hedhi ndicho kipimo na taarifa ya Kimungu kuwa msichana amekua na yuko tayari kuzaa kwa kuolewa au kwa kutokuolewa.

Hata mama na bibi zetu walizaa kwa njia hizo za kuangalia umri wa kutoka damu ya hedhi. Hii ni kwa wanyama wote, na baada ya muda huu wa kubalehe viumbe wote wako tayari kuzaa kwa kalenda ya Mungu.

Tunakoelekea sio kuzuri ni heri serikalini kutumia rasilimali katika kusomesha na kuelimisha wanawake kuhusu madhara ya kuzaa kwenye umri mdogo badala ya kutumia rasilimali hizo katika kuzuia watu wasiolewe chini ya miaka 18. Ukisema kila msichana lazima asome hadi form 4 automatically utakuwa umesolve umri wa kuolewa indirectly badala ya kufukuzana na wasichana wasiosoma wasiolewe hadi wafikie miaka 18.

Watawala na wasomi wetu tusaidieni kutatua matatizo ya msingi yanayotukabiri kama vile njaa, huduma za afya, huduma za elimu, maji ya kunywa, nyumba Bora nk. Shida yetu sio wanawake kuolewa mapema.
 
Acha kumhusisha Mungu kwenye mambo ya kingese ngese

Tamaa zako za kimwili zisikufanye ujitoe akili ivi katoto kaa miaka 14 nako kana utamu gan sasa hadi muanze kupiga kelele

Au kwa sababu watume zenu walikuwa wabakaji
Hako ni kadogo kwako lakini Kwa Mungu sio katoto kama unavyodhani, kama katoto kangevunja ungo? Ukivunja ungo maana yake wewe ni mkubwa na unaweza kuzaa mtoto. Hata Bibi yako aliolewa kwenye umri huo na Yuko hadi leo, yaani hizo zote ni juhudi za kumuona mwanamke kuwa ni dhaifu anayestahiki kuhurumiwa kiasi hicho. Mara apewe pedi, mara viti maalumu,mara akiwezeshwa anaweza huu wote ni udhaifu wa wapiga dili
 
Hawa Wanaharakati Wanatuharibia utamaduni wetu.
Vijinini Vijana wa Kiume+ Wakike Wanaoana wakiwa na umri wa miaka 15 au 16.
Mambo yenu ya Kizungu kukaa Mwanamke mpaka Miaka 38 bila Kuolewa Msituletee vijijini.
Kijijini Binti au Kijana Kufika Miaka 38 bila Kuolewa Tunasema ni Uchuro!!!
 
wewe binti yako wa miaka 14 utaruhusu aolewe?
Sintamhurusu kuolewa kwasababu kuna sheria isiyoruhusu aolewe Bali Nitamkataza kuolewa kwasababu nyingine kabisa kama vile kumaliza masomo yake Kwanza hadi chuo kikuu na nyinginezo.
 
Hawa Wanaharakati Wanatuharibia utamaduni wetu.
Vijinini Vijana wa Kiume+ Wakike Wanaoana wakiwa na umri wa miaka 15 au 16.
Mambo yenu ya Kizungu kukaa Mwanamke mpaka Miaka 38 bila Kuolewa Msituletee vijijini.
Kijijini Binti au Kijana Kufika Miaka 38 bila Kuolewa Tunasema ni Uchuro!!!
Eti mtoto kamaliza darasa la 7 akiwa na miaka 13 akiwa amevunja ungo, na bahati mbaya hakufaulu kwenda form one, na mtoto akishabalehe mwili unaaza kumpelekesha Kwa tamaa za kujamiana. Sasa kuanzia miaka 13 asubiri Kwa miaka 5 nyumbani hadi afikie miaka 18. Huu ni upuuzi ambao hata England hawafanyi hivyo. Kule uinhereza umri wa kuolewa ni miaka 16.
 
Acha kumhusisha Mungu kwenye mambo ya kingese ngese

Tamaa zako za kimwili zisikufanye ujitoe akili ivi katoto kaa miaka 14 nako kana utamu gan sasa hadi muanze kupiga kelele

Au kwa sababu watume zenu walikuwa wabakaji
Mama wa Yesu(Mariam)alipata mimba akiwa ameposwa na Yusuph,umri wake ilikuwa miaka 14.
 
Mama wa Yesu(Mariam)alipata mimba akiwa ameposwa na Yusuph,umri wake ilikuwa miaka 14.
Hukumu ilitolewa kiharakati zaidi Kwa kutumia mioyo badala ya uhalisia.

Msichana akishabalehe kila mwezi anapoyeza yai (ovum) moja, hiyo kama atabalehe akiwa na miaka 12 hadi kufikia miaka 18 miaka 6 baadae msichana atakuwa amepoteza mayai 12 x 6 = 72 ya hivihivi. Heri Kwa Yule anayesoma secondary lakini Kwa ambae hasomi Ni hasara
 
Duh ebwana hii nchi si mchezo.

Kwahiyo watu mmekaa na kuona kwamba kumuacha binti aenjoy maisha yake ya utoto ni mzigo kwenu? Actually watu wanachopigania hapa ni kuwaingilia kimwili watoto na siyo kuwaoa.

Anyway, kuna generations za haki za binadamu. Haki za generation ya pili kama sikosei zilikua zimelenga kumtoa kwenye makucha ya ukandamizaji mtoto na binti. Ikakubaliwa kua elimu ni haki ya kila mtoto, ikakubaliwa kua kutakua na 'right to play and family life'.

Sasa hizo sheria zinatambua utu uzima huja kuanzia 18+ so wewe kufosi kumuoa mtu kisa anableed nataka uniambie hiyo right to play atakuja kuifanyia wapi? Kitandani?

Uzi umetaja mabibi zetu waliolewa kisa kupata hedhi. Siku hizi maisha yamebadilika mtoto wa la tatu au la nne kupata hedhi siyo jambo geni.

So kumuoa binti wa miaka 9 au 10 kwako siyo tatizo? Simply ni kwakua anableed? Hebu subiri kwanza, wewe dini gani?
 
Back
Top Bottom