Morg JF-Expert Member Oct 20, 2018 1,301 1,767 Nov 9, 2019 #1 Kwa umri niliofikia kwa sasa unatosha kabisa kuanza kujitegemea na kuishi pekee yangu. Tatizo wazazi wangu hawataki kuondoka na kuniachia nyumba. Hebu nishaurini nifanyeje wadau.
Kwa umri niliofikia kwa sasa unatosha kabisa kuanza kujitegemea na kuishi pekee yangu. Tatizo wazazi wangu hawataki kuondoka na kuniachia nyumba. Hebu nishaurini nifanyeje wadau.
E Eng Jay Member Sep 11, 2019 17 14 Nov 9, 2019 #4 Wewe ndo unatakiwa kuondoka kutoka kwa wazazi wako. Kapange nyumba uishi huko.