G.T.L JF-Expert Member Joined Jul 15, 2012 Posts 1,738 Reaction score 3,964 Jul 16, 2025 Thread starter #161 Mindray said: Ni baada ya kupewa ulaji akakaa kimya na kuanza kuwaringishia watu VIETE.. Click to expand... Ni kweli mkuu, baada ya 2015 hakusikika tena kupigania haki za Raia kupata katiba
Mindray said: Ni baada ya kupewa ulaji akakaa kimya na kuanza kuwaringishia watu VIETE.. Click to expand... Ni kweli mkuu, baada ya 2015 hakusikika tena kupigania haki za Raia kupata katiba
TheForgotten Genious JF-Expert Member Joined Jan 18, 2014 Posts 2,436 Reaction score 3,558 Jul 16, 2025 #162 article said: Sio kweli 100%. Sio kweli Humphrey hana elimu ya Kuunga unga ni miongoni mwa watu waliokuwa smart sana wakati anasoma.Mark my words sisemi kwa uchawa. Click to expand... Labda kama zilikuwa nipurukushani za kisiasa maana Adobe Shaina aliwahinkusigana naye sana kuhusu suala hili
article said: Sio kweli 100%. Sio kweli Humphrey hana elimu ya Kuunga unga ni miongoni mwa watu waliokuwa smart sana wakati anasoma.Mark my words sisemi kwa uchawa. Click to expand... Labda kama zilikuwa nipurukushani za kisiasa maana Adobe Shaina aliwahinkusigana naye sana kuhusu suala hili