Umri wa dunia ni upi hasa?

Umri wa dunia ni upi hasa?

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,139
Habari zenu wakuu!!
Kwa muda sasa nimekuwa nikifutilia kuhusu mwanzo wa ulimwengu kwa maana ya sayari, mwezi/miezi, Nyota, jua pia Big bang na kinachoitwa Black Hole!!

Katika kufatilia huku nimekuja kupata mkanganyiko kwa namna biblia inavyoelezea vizazi toka kuumbwa Dunia na vilivyomo pamoja na Adam ambapo hata miaka 10,000 haifiki!! Upande wa pili ukiwafatilia wanasayansi ni kwamba kilichoanza ni Big bang(miaka 13.7bilion iliyopita), zikafuatia nyota na baadaye sayari yetu dunia(miaka 4.6 bilion iliyopita).

Je kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya kinachoitwa kitabu kitakatifu na sayansi ya ulimwengu, ni waandika biblia walidanganya au wanasayansi wanadanganya? Vipi kuhusu mabaki ya Dinosaurs yaliyogunduliwa na utafiti kuonesha hawa viumbe waliishi zaidi ya miaka 200 million iliyopita?
 
Habari zenu wakuu!!
Kwa muda sasa nimekuwa nikifutilia kuhusu mwanzo wa ulimwengu kwa maana ya sayari, mwezi/miezi, Nyota, jua pia Big bang na kinachoitwa Black Hole!!

Katika kufatilia huku nimekuja kupata mkanganyiko kwa namna biblia inavyoelezea vizazi toka kuumbwa kwa Adam ambapo hata miaka 10,000 haifiki!! Upande wa pili ukiwafatilia wanasayansi ni kwamba kilichoanza ni Big bang(miaka 13.7bilion iliyopita), zikafuatia nyota na baadaye sayari yetu dunia(miaka 4.6 bilion iliyopita).

Je kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya kinachoitwa kitabu kitakatifu na sayansi ya ulimwengu, ni waandika biblia walidanganya au wanasayansi wanadanganya? Vipi kuhusu mabaki ya Dinosaurs yaliyogunduliwa na utafiti kuonesha hawa viumbe waliishi zaidi ya miaka 200, million iliyopita?

Mkanganyiko ni mkubwa hata mimi nasubiri majibu ya wadau!!
 
nliwahi kusikia siku za nyuma kwenye bbc idhaa ya kiswahili kuwa ulimwengu una miaka bilion 20 na dunia ina miaka bilion 4 (kama ulivosema) na hao dinasours waliishi miaka milon 65 iliyopita...sasa hapo vinazidi kuchanganya zaidi
 
nliwahi kusikia siku za nyuma kwenye bbc idhaa ya kiswahili kuwa ulimwengu una miaka bilion 20 na dunia ina miaka bilion 4 (kama ulivosema) na hao dinasours waliishi miaka milon 65 iliyopita...sasa hapo vinazidi kuchanganya zaidi

kweli aisee haya mambo ni magumu sana!
 
Habari zenu wakuu!!
Kwa muda sasa nimekuwa nikifutilia kuhusu mwanzo wa ulimwengu kwa maana ya sayari, mwezi/miezi, Nyota, jua pia Big bang na kinachoitwa Black Hole!!

Katika kufatilia huku nimekuja kupata mkanganyiko kwa namna biblia inavyoelezea vizazi toka kuumbwa kwa Adam ambapo hata miaka 10,000 haifiki!! Upande wa pili ukiwafatilia wanasayansi ni kwamba kilichoanza ni Big bang(miaka 13.7bilion iliyopita), zikafuatia nyota na baadaye sayari yetu dunia(miaka 4.6 bilion iliyopita).

Je kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya kinachoitwa kitabu kitakatifu na sayansi ya ulimwengu, ni waandika biblia walidanganya au wanasayansi wanadanganya? Vipi kuhusu mabaki ya Dinosaurs yaliyogunduliwa na utafiti kuonesha hawa viumbe waliishi zaidi ya miaka 200 million iliyopita?


Mbona umehusianisha vitu viwili tofauti halafu unachanganyikiwa?

-- Unazungumzia kuumbwa kwa mwanandamu (ktk biblia).

-- halafu unazungumzia kuhusu universe tokea big bang na solar system (kisayansi).

sasa kuna tatizo gani huyu mwanadamu kuumbwa miaka isiyozidi hata laki na akaja kukaa kwenye sayari yenye umri wa miaka zaidi ya bilioni nne?
 
Kwanini unachanganyikiwa?

Sayansi na Biblia kipi kilianza?

Unaweza kujua mwanzo wa kilichoandikwa kwenye biblia?
 
Biblia iliandikwa na watu tu, enzi za ujinga kabla watu hawajaaanza kugundua umri halisi wa dunia.

Hivyo ni wazi kuwa imebeba makosa yaliyotokana na ujinga wa enzi za uandishi wake.

Kila anayejua kufikiri ataona hilo, hata kama imani itamtaka alifumbie macho.
 
Mbona umehusianisha vitu viwili tofauti halafu unachanganyikiwa?

-- Unazungumzia kuumbwa kwa mwanandamu (ktk biblia).

-- halafu unazungumzia kuhusu universe tokea big bang na solar system (kisayansi).

sasa kuna tatizo gani huyu mwanadamu kuumbwa miaka isiyozidi hata laki na akaja kukaa kwenye sayari yenye umri wa miaka zaidi ya bilioni nne?

mkuu kuumbwa kwa ulimwengu kutofautiana na kuumbwa kwa binadamu kwa siku zisizozidi 5!!
 
Kwanini unachanganyikiwa?

Sayansi na Biblia kipi kilianza?

Unaweza kujua mwanzo wa kilichoandikwa kwenye biblia?

Mkuu mimi sijui ndiyo maana nimekuja na hayo maswali, yote ni katika kupata zaidi maharifa!!!
 
Biblia iko clear ktk hili. Tangu kuumbwa dunia hadi gharika-Nuhu ni miaka 2000, gharika Hadi Yesu kuzaliwa ni miaka 2000, Tangu Yesu Hadi sasa ni miaka 2014. Hivyo ni dhahiri dunia ina miaka 6014, wanasayansi hawana ushahidi wa madai yao zaidi ya carbon 14 ambayo ni uongo mtupu. Isitoshe sayansi ya dunia kwa % kubwa imejaa dhana potofu dhidi ya Mungu maana ibilisi ndiye kashika hatamu ya mifumo yote ya elimu.
 
Biblia iko clear ktk hili. Tangu kuumbwa dunia hadi gharika-Nuhu ni miaka 2000, gharika Hadi Yesu kuzaliwa ni miaka 2000, Tangu Yesu Hadi sasa ni miaka 2014. Hivyo ni dhahiri dunia ina miaka 6014, wanasayansi hawana ushahidi wa madai yao zaidi ya carbon 14 ambayo ni uongo mtupu. Isitoshe sayansi ya dunia kwa % kubwa imejaa dhana potofu dhidi ya Mungu maana ibilisi ndiye kashika hatamu ya mifumo yote ya elimu.

Aisee kumbe ibilisi ndiye anayesaidia kutengeneza chanjo za magonjwa, madawa na hata kufanyia watu operesheni!?
Vipi kuhusu hao Donosaurs ambao hata biblia haiwataji?
 
Hapa tunadanganyana tu, Hata NASA hawajui hilo, ni mwendo wa kukisia tu
 
umri Wa dunia sijui lakini viumbe hai hasa wanadamu walikuepo kama miaka 6,000 (elfu sita )
 
Binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuuona ulimwengu. alikuta viumbe wengine kama sisimizi n.k. wakiwa wanadunda na maisha.

Wanasayansi wako sahihi, ingawa data kuhusu dunia na universe kwa ujumla ni makadirio.
Wao wanafanya utafiti aina mbalimbali, wanajaribu badala ya kupakata mikono na kusema HAIWEZEKANI.

Je unafahamu kuwa Voyage 1 na Voyage 2 kwa sasa vyombo hivi vimesha karibia kufika umbali ambao uko nje ya huu mfumo wetu wa jua? sisi hatuvioni tunapata habari tu. Je tuamini?
 
kasome mwanzo 1na 2 vizuri. dunia iliumbwa zamani sana siku ya kwanza mungu alifanya kazi ya kutenganisha nuru na giza tu. hivyo ni kweli dunia inaweza kuwa na miaka billioni 10. na wala bible haijichanganyi na sayansi.


Ahaa kumbe Red giant upo hapa.
Tunajiuliza dunia ina umri gani, Tusisahau kujiuliza pia kuwa dunia imebakiza miaka mingapi.

Jua litakapokuwa Red Giant na maisha hayatokuwepo duniani.

Ogopa sana Red Giant
 
Habari zenu wakuu!!
Kwa muda sasa nimekuwa nikifutilia kuhusu mwanzo wa ulimwengu kwa maana ya sayari, mwezi/miezi, Nyota, jua pia Big bang na kinachoitwa Black Hole!!

Katika kufatilia huku nimekuja kupata mkanganyiko kwa namna biblia inavyoelezea vizazi toka kuumbwa Dunia na vilivyomo pamoja na Adam ambapo hata miaka 10,000 haifiki!! Upande wa pili ukiwafatilia wanasayansi ni kwamba kilichoanza ni Big bang(miaka 13.7bilion iliyopita), zikafuatia nyota na baadaye sayari yetu dunia(miaka 4.6 bilion iliyopita).

Je kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya kinachoitwa kitabu kitakatifu na sayansi ya ulimwengu, ni waandika biblia walidanganya au wanasayansi wanadanganya? Vipi kuhusu mabaki ya Dinosaurs yaliyogunduliwa na utafiti kuonesha hawa viumbe waliishi zaidi ya miaka 200 million iliyopita?

Ngoja nikae pembeni nisubirie mjibu toka kwa wenye uelewa na hili.
 
Mbona umehusianisha vitu viwili tofauti halafu unachanganyikiwa?

-- Unazungumzia kuumbwa kwa mwanandamu (ktk biblia).

-- halafu unazungumzia kuhusu universe tokea big bang na solar system (kisayansi).

sasa kuna tatizo gani huyu mwanadamu kuumbwa miaka isiyozidi hata laki na akaja kukaa kwenye sayari yenye umri wa miaka zaidi ya bilioni nne?

sasa bible si inaonesha viumbe vyote plus binadamu waliumbwa ndani ya siku sita..? sasa kwa nini kuwe na gap kubwa kati ya miaka waliyotokea dinasours (200 mill yrs ago) na aliyotokea man (10,000 yrs) ago..?
 
Bible ina walakini mkubwa...sehemu kubwa ya biblia ina stori za kujaribu kuimarisha imani tu za waamini..ila maneno ya mungu mwenyewe kwenye bible ni machache mno...sanasana zile amri 10, ile sauti wakati yesu anabatizwa..labda na mazungumzo ya mungu na adam na kidogo sana na musa.
 
Back
Top Bottom