soka la waafrika wazimu mtupu......
Ninavyofahamu pius kisambale na athuman idd 'chuji' ni ndugu wa tumbo moja, huku athumani idd akiwa amezaliwa takribani miaka miwili kabla ya pius. Swali la kujiuliza imekuakuaje hivi sasa pius amekua kaka wa athuman ? Je? Ni wapi athuman alikwama umri mpaka pius akaja kumpiku ?
name
pius kisambale
nationality
tanzania
date of birth
21 december 1987
height
58 inches
weight
68kgs
position
striker
jersey
11
previous club
polisi dodoma, prison fc,
simba sc
polisi fc (rwanda),
goha fc (india),
moro utd, mtibwa sugar, ruvu jkt
name
athuman idd
nationality
tanzania
date of birth
18 february 1988
height
weight
position
midfileder
jersey
18
previous club
polisi dodoma, simba sc
aiseeee kwa sura ya chuji ati ana 24yrs??
umesahau nawapimwe carbon 14,tutajua janja yao hao wote
Soka la waafrika wazimu mtupu......
NINAVYOFAHAMU PIUS KISAMBALE NA ATHUMAN IDD 'CHUJI' NI NDUGU WA TUMBO MOJA, HUKU ATHUMANI IDD AKIWA AMEZALIWA TAKRIBANI MIAKA MIWILI KABLA YA PIUS. SWALI LA KUJIULIZA IMEKUAKUAJE HIVI SASA PIUS AMEKUA KAKA WA ATHUMAN ? JE? NI WAPI ATHUMAN ALIKWAMA UMRI MPAKA PIUS AKAJA KUMPIKU ?
NAME PIUS KISAMBALE NATIONALITY TANZANIA DATE OF BIRTH 21 DECEMBER 1987 HEIGHT 5'8' INCHES WEIGHT 68KGs POSITION STRIKER JERSEY 11 PREVIOUS CLUB Polisi Dodoma, Prison FC,
Simba SC
Polisi FC (Rwanda),
Goha FC (India),
Moro Utd, Mtibwa Sugar, Ruvu JKT
NAME ATHUMAN IDD NATIONALITY TANZANIA DATE OF BIRTH 18 FEBRUARY 1988 HEIGHT WEIGHT POSITION MIDFILEDER JERSEY 18 PREVIOUS CLUB Polisi Dodoma, Simba SC
aiseeee kwa sura ya chuji ati ana 24yrs??
Agreed............Huo wenyewe wanaita umri wa kutafutia maisha ambao unakua kwenye ppt za kusafiria,hili si tatizo la tanzania ni la africa nzima sema tanzania tumechelewa sana katika hili wenzetu walianza mapema toka enzi za kina abedi pele na ghana ndio nchi iliyoathirika zaidi miaka hiyo wazungu walikua wakishangaa why ghana inafanya vizuri sana kwenye mashindano ya vijana lakini ilikua haingii kwenye world cup kitu ambacho si cha kawaida kweye mambo ya soka kwani inaaminika timu nzuri ya vijana ya leo ndio timu bora ya taifa ya kesho sasa haiyumkiniki timu ya vijana ishinde kikombe ya africa kwa vijana au world cup ya vijana halafu next world cup ya wakubwa nchi husika ishindwe hata kupata tiketi ya kushiriki....!wale vijana wanakuwa wameenda wapi???
Wazungu wakawaambia ghana kinaga ubaga ghana kwamba "wanachezea" umri wa wachezaji wao jambo ambalo halitawafikisha popote kwa kuwa ukidanganya mchezaji wa miaka 25 eti ana chini ya miaka 18 ni wazi miaka mitatu toka udanganye ambapo mchezaji aliyekua kweli na 18 anatakiwa kuwa na 21 umri ambao ndio haswa wa mcheza husika kuitumikia timu ya wakubwa huyo kijana atakua miaka 28,yani miaka 2 kabla ya kuwa veteran wakati huo ndio mchakato wa kutafuta tiketi za kwenda world cup unaanza so atakua kisha choka kuhimili mikiki mikiki ya damu changu 20-25!
Wote kina drogba wanaingia kwenye mkumbo huo huo,ndio maana unamuona mtu kama Anelka licha ya kuwa mkubwa zaidi ya Drogba bado ana uwezo,yuko fit haumii umii kila wakati kama Drogba.Anelka ni mweusi kama sisi lakini ikumbukwe amezaliwa na kukulia ulaya ambako hakuna u.puuzi wa "kuchezea' umri wa vijana!
wewe ndio mama yake?