Umri umemtupa mkono Sadifa?

Umri umemtupa mkono Sadifa?

MADORO

Senior Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
198
Reaction score
117
Wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi
 
wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi

Nimependa hapo tu!
 
Kwa nini wewe ukaweka ilihali unajua huna taarifa kamili? acha kuwakashfu watu bila sababu. ingefaa ungeuliza mwenye kujua umri na historia ya mtajwa mpaka anaacha jeshi
 
Kwa nini wewe ukaweka ilihali unajua huna taarifa kamili? acha kuwakashfu watu bila sababu. ingefaa ungeuliza mwenye kujua umri na historia ya mtajwa mpaka anaacha jeshi
........unafiki kama wako ndio unaotumaliza, hata hivyo mimi sina shaka na lowassa ni mpiganaji, akiongea, ni sounding voice, pamoja na kwamba amewachagua akina Kilimba wale wa Iramba wasiojua mbele wala nyuma yeye bado ana nafasi kwangu..... BRAVO ELN, ni wewe wa kutuokoa, pamoja na kwamba utahitaji kurudisha gharama zako za kuhonga ufanikiwe, ni bora, mbona tulienaye mambo ni yale yale !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi
Wewe lazima uwe mwathirika wa ushindi wake. Si bure.
 
Kama huna taarifa unaweka uzi wa nini? Ingawa siwapendi magamba, vile vile sipendi watu wanaotumia chuki zao kuja na vitu visivyo na ushahidi wala utafiti. Tunapaswa kushikilia kanuni hata kama kesi tunayoshughulikia ni ya shetani. Kuna kipindi mahakama hutupilia mbali wa maana kutokana na watu kuupata kwa kutufuata kanuni hasa chini ya kiitwacho conscriptive evidence. Circumstantially kesi hii ingekuwa inaletwa mezani kwangu ningeitupilia mbali bila kujali ukweli wa kinachoongelewa kutokana na jinsi kilivyopatikana. Go back to the drawing board mwanangu uje na ushahidi wa kimakwelini badala ya hearsay.
 
Kama bw. Sadifa ni chizi maana yake yeye ndio anakanafuu kidogo, waliobakia wote ni vichaa kabisa, jeshi lilimkataa ccm imemkubali, ama kweli ccm linakufa vibaya
 
........unafiki kama wako ndio unaotumaliza, hata hivyo mimi sina shaka na lowassa ni mpiganaji, akiongea, ni sounding voice, pamoja na kwamba amewachagua akina Kilimba wale wa Iramba wasiojua mbele wala nyuma yeye bado ana nafasi kwangu..... BRAVO ELN, ni wewe wa kutuokoa, pamoja na kwamba utahitaji kurudisha gharama zako za kuhonga ufanikiwe, ni bora, mbona tulienaye mambo ni yale yale !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mbona wewe ni km ndumilakuwili?
 
wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi

Sawa Mkuu lakini; KUUMWA Ugonjwa wa Akili ni Tafauti na KUUGUA Ugonjwa wa Akili
 
Halafu nasikia yule makamu wake ni chakula cha beno, beno ndiye alimpigia chepuo hadi akachaguliwa
Yaani huyo mdada eti amepita kutokana na kutoa rushwa ya ngono hata shigela ne pia anammega.
dada noma kweli yaani kawachanganya wot 2.
safi sana mdada ure fighter, umeweza tumia vizuri kiungo ulichopewa bure na Mungu
 
Aliye msafi ndani ya CCM awe wa kwanza kumtupia mawe Sadifa...

Jibu ni hakuna msafi CCM, ukiwa CCM either ni fisadi au umegushi vyeti vya elimu au umegushi vyeti vya kuzaliwa au umetoa na kupokea rushwa au unajikomba ili ukombolewe au uliwahi kuua mtu au mwizi wa wake za watu na uliwahi kufumaniwa au unatembea na watoto wa kike wa shule au ni Paedophile... ndio wana CCM mlivyo
 
Wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi
Hivi wwe hujui kwamba karibu MAGAMBA wote wana UMWA UGONJWA WA AKILI?
 
Nimewahi mapema, endeleeni kujadili nitarudi kufunga mjadala kwa busara.

Mimi Babu yenu wa Utegi Mara.
 
Wanaotaka uongozi mpya wa uvccm uondoke madarakani wamekuja na hoja kuwa umri wa mwenyekiti wao ni zaidi ya miak 33 sasa, ameongopa katika elimu yake kuwa ana master's na vile vile alishawahi kuumwa ugonjwa wa akili akiwa jeshini hali iliyofanya apumzishwe kwa manufa ya umma, tafadhali mwenye taarifa sahihi juu ya hayo atuwekee kwa ufafanuzi zaidi

Duh yaani ndani ya CCM hakuna kinachopita kikawa salama!! Umri tena na ukichaa? Yale yale ya Masauni.
 
Haya mambo ya umri kwenye hivi vyama vyetu ni kizungumkuti. Kila asiye na madaraka makubwa bado ni "kijana" wewe unadhani kweli Heche hajafikisha miaka 35 inayomtaka aachie uongozi wa BAVICHA!?
 
Back
Top Bottom