Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,338
- 9,080
Wakuu natumai mu wazima.
Kama una girlfriend amekuzidi miaka 2 je ni umri gani sahihi wa kupata mtoto ikiwa mimi niko 20yrs na nina kazi yangu na gari.
Ushauri tafadhali
Kama una girlfriend amekuzidi miaka 2 je ni umri gani sahihi wa kupata mtoto ikiwa mimi niko 20yrs na nina kazi yangu na gari.
Ushauri tafadhali

