Umri gani ni mzuri mtu kuoa ?

Umri gani ni mzuri mtu kuoa ?

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,898
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
Simply unachochea na kubariki uzinzi.

unachotaka akija kupata watoto awaache yatima maana sidhani kama atamudu kuwasomesha kabla aja RIP. kuna faida nyingi sana kuwahi kuowa kuliko hasara.
 
kuanzia 27yr mpaka 32yr ni umri mzur, vinginevyo ni kuwah sana ama kuchelewa sana.
 
sasa wewe natalia unataka awe babu ndo aoe?
 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .

Natalia

Mdogo wako amepata watoto tayari? Amezalisha nje ya ndoa?
Kama jibu ni hapana unataka watoto wake kama atapata watoto wamwite babu?

Mdogo wako alitakiwa awe ameshaoa alipotimia miaka 20 - 25. Au katika familia yenu mambo ya girl friend/boy friend (uzinzi) yanakubalika au ndio mila ya kabila lenu?

Je umemruhusu mdogo wako aonje asali kutoka maua tofauti mpaka atimie miaka 40?

Afrika kijana wa miaka 20 akili yake huwa imeshajengeka vizuri. Au mdogo wako ni mtoto wa kigari (baby pusher/stroller)?

Nakumbuka enzi zile mababu na mabibi zetu wanasubiriwa wafunje ungo tu/ wabaleghe tu wanakabidhiwa mume/mke!!

Those were good times, na ndoa zilidumu.
 
Umri mzuri ni miaka 25-30, na kigezo kikubwa ni kama anakipato cha kuweza kuitunza familia yake sio anaoa wazazi ndio wanahudumia mke na mume na watoto. Sidhani kama mke anatafutwa kwa kujaribu jaribu mahusiano na wanawake tofautitofauti. Miaka 40 atakua amechelewa sana let say amezaa akiwa na 45 itakuaje maana sio lazima ukioa tu unapata mtoto wengine haitokei hivyo. Mwambie zinaa mbaya na ni dhambi amuombe Mungu apate mke mwema amani ktkt ndoa mara zote ni neema ya Mungu tu. Wengine wameoana wakubwa sana lkn no peace , na wengine wameoana mapema wana peace. So marriege yenye peace ni kumuomba Mungu tu haina formula.
 
kwani wewe kama mfano kwake ulioa (kama ni mwanaume) ukiwa na umri gani? au kuolewa (kama ni mwanamke) na mwanaume mwenye umri gani?
 
Sasa akioa akiwa 40 si watoto watakuwa wanamwita babu? Ni vizuri aoe mapema ili aweze kulea watoto akiwa bado ananguvu, na anapochoka na watoto nao wameshajitegemea.

Just imagine mtu uko 60+ ushastaafu au kujichokea na watoto ndo kwanza wako sekondari, ni headache. Aoe mapema (Below 35 yrs)
 
I got married when I was 25.
Na sasa natamani ningeoa wakati nina miaka angalau 22 kwani my two kids wananiona kama bro na tunaenda sawa sana.
Ukioa ukiwa na miaka 40 nadhani watoto watatamani kukuita babu na malezi yatakuwa ni ya kibabu babu.
 
Haijaandikwa kwamba it is right kuowa umri flani, kama mdogo wako ana 32 maana yake wewe umemzidi,tunategemea maneno ya hekima+busara toka kwako ili umuongoze mdogo wako, kama huna malengo/objectives ndio tatizo linaanzia hapo! Hebu niambie umri wa kawaida wa maisha ya mtanzania kwa sasa! Umesema atakapofika 40 ndio atakuwa ametulia! Yani ndio atakuwa mzee au ndio atakuwa anaakili vizuri! Ni tatizo kama mpaka umri wa miaka 32 hajui nini atakacho! Badala ya kumshauri aanze kudate na wasichana mbalimbali hebu mshauri basi aanze kwenda msikitini/kanisani, aanze kwenda katika semina za wasioowa, aanze kusoma vitabu n.k lakini zaidi msaidie ajitambue. Usiruhusu mazingira yaamue mambo kwa ajili yako! Una miaka 60 mtoto wako wa kwanza yupo form 2!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .

Ndio unakosea, mwache aoe aikimbie zinaa

Ajenge familia yake katika umri wa ujana, ndio mapenzi ya Mungu acha ayatimize.
 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
mbona amechelewa! unajua ktk maisha yetu kijana anapaswa kufanikisha ndoto zake kuanzia age ya 20-35, akizidi sana 38, kama akishindwa hapo akioa 40yrs it will be too late, so naona kama unamshauri vile sivyo, please acha kupanda mbegu chungu
 
I got married when I was 25.
Na sasa natamani ningeoa wakati nina miaka angalau 22 kwani my two kids wananiona kama bro na tunaenda sawa sana.
Ukioa ukiwa na miaka 40 nadhani watoto watatamani kukuita babu na malezi yatakuwa ni ya kibabu babu.

ndio umri aliooa mume wangu, na mpaka sasa Klein ni bro mwenzie na sio mtoto kwa jinsi walivyokuwa vijana. bifsi napenda sna akama mtu anajitambua basi aoe mapema na hii ni kama pia ana kazi na kipato. umri wa 25 ni mzuri zaid as mwanaume anaanza majukumu mapema na at 40 anakaa kuvuta raha na mkewe as ninavyokula raha kwa sasa aluuu!
 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .


Duuuh.....ataolea kaburini huyo....

Ushauri wako kwa ndugu yako umenisikitisha,unampoteza sana mdogo wako......40?

 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .

Najuwa natalia wewe utakuwa mke maana wengi wenu ndiyo wenye mawazo hayo hasa ukikuta umeishatendwa!Je wewe umeolewa na miaka mingapi? Maana isije ikawa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?Kama na wewe bado hujaolewa na umri wako ni abave 32 yrs maana umesema mdogo wako ana 32 yrs basi uandike maumivu maana probability ya kuolewa ni poison (yaani ni ndogo sana).Hivyo usimdanganye mwenzako kwa umri huo anapaswa kuwa kwenye ndoa tayari unataka aje kulea wajukuu?
 
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
Kuanzia Miaka 24(25 ni mizuri zaidi)hiyo miaka 40 kwa life expectancy ipi madam,personal view I am about 25/26 hapa but najiona niko late aisee
 
Back
Top Bottom