kanyelele
Senior Member
- Oct 10, 2013
- 115
- 31
haakuna mahala popote ama rejea yoyote inayoonyesha msomi akitamba kuwa eti yeye ni msomi,kama sio ujinga huo,walikuwapo akina (nyerere, plato ,newton ,mandela), lipumba ,Baregu. lwaitama,palamagamba,mwandosya katu sijawahi soma mahali popote ambapo wanajinasibu kuwa wasomi
Usomi wenu nani ameuidhinisha ? kama sio tafuta umaarufu tu,mara nyingi ajiuliza kuwa elimu ya Tanzania iko kwa maslahi ya nani kwani haimkomboi wanakisomo bali humwandaa kuwa mjinga na mtumwa kwa watawala.poleni sana nninyi nyote mjiitao wasomi wa dsm.Hata mandela alipokuwa anatafuta haki kwa ajili ya wana wa afrika kusini alionekana mchochezi sana,makaburu wakamchukia na kumfungulia kesi lukuki na mbaya zaidi waendesha mashitaka walikuwa wafrika wenzie waliokuwa tayari kulamba viatu vya watawala wao lakini hata wao pia walijiita wasomi wa afrika kusini.Saa ya ukombozi kwa mtanganyika imefika yale maneno ya mbowe ni majirio kaaeni tayari kukombolewa ninyi mjiitao wasomi wa tz
acheni kurudisha kazi ya upapambanaji nyuma
Usomi wenu nani ameuidhinisha ? kama sio tafuta umaarufu tu,mara nyingi ajiuliza kuwa elimu ya Tanzania iko kwa maslahi ya nani kwani haimkomboi wanakisomo bali humwandaa kuwa mjinga na mtumwa kwa watawala.poleni sana nninyi nyote mjiitao wasomi wa dsm.Hata mandela alipokuwa anatafuta haki kwa ajili ya wana wa afrika kusini alionekana mchochezi sana,makaburu wakamchukia na kumfungulia kesi lukuki na mbaya zaidi waendesha mashitaka walikuwa wafrika wenzie waliokuwa tayari kulamba viatu vya watawala wao lakini hata wao pia walijiita wasomi wa afrika kusini.Saa ya ukombozi kwa mtanganyika imefika yale maneno ya mbowe ni majirio kaaeni tayari kukombolewa ninyi mjiitao wasomi wa tz
acheni kurudisha kazi ya upapambanaji nyuma