Wakija Tanzania ni waislamu na wakristo.Wanatumiwa wakristo kuvunja amani kwa kuwakandamiza waislamu.
...kaka Ami...alhamdullillah..nimeangalia iraq( na ulimwengu wote wa kiarabu), nimeangalia pakistan,somalia, na sudan (kwa jicho la kiafrika, ukitilia maanani kuwa suda ni sehemu ya afrka)..nilichokiona ni unafiki mkubwa wa watu wa nchi husika...hususan somalia...!waliungana kumuondoa general siyad barreh...kisha? alipoondoka? ..unaweza kudai unataka amani huku unapigana? itapatikana vp? na demokrasia gani inayopeleka walinzi wa amani mahali palipokosa amani? hata udikteta (na ufalme pia)haukubali, nikidhani ndio maana hata nchi za kiarabu na zingine zote zinazodai kuwa ni za kiislamu(kama ni kweli) hazifikirii hata kidogo kupeleka askari wake ktk maeneo ya waislamu wanaopigana...!umoja wa mataifa unaweza kuwa na makosa yake kiutendaji ktk kusimamia amani..hususan ktk suala la mauaji ya kimbari ktk rwanda...lkn somalia kwa mfano..?si kulipelekwa "operation restore hope" ikiwajumuisha mataifa mengi ya kiislamu (saudia ilikuwa mara yake ya kwanza kuchangia jeshi kulinda amani)..kilichotokea? utailaumu un? ok.. pakistan? nenda kawaulize wailsam wa bangladesh kuhusu pakistan..!yemen? unailamu un? kosa lake? majirani zake wenye utajiri wamefanya nini kuisaidia?...ah! ami nyumba yako ikiwa inawaka moto..kabiliana nao uiokoe..acha kulalamikia majirani na "zimamoto"....Wapi katika dunia ambapo umoja wa mataifa au mataifa ya Ulaya na Marekani wameingia na pakawa na utulivu.
Angalia Iraq,Pakistan na Libya.Angalia Yemen na Somalia.Angalia Sudan na Syria.Angalia na Myamar.
Hawa ni maadui wa amani na maadui wa waislamu.Kwa sababu penye waislamu amani huvunjwa kwa kuwapiga waislamu.
Sasa wameingia Kongo hawaoni haya kuwaunganisha Uganda na Rwanda eti ndio wanaofadhili waasi Kongo.Kama si uchochezi huo ni nini.
Ustadi wao wa kuvunja amani huwa wanatumia mianya midogo ya mifarakano kuwagonganisha ndugu waliokuwa wakiishi kwa amani.Wakienda Burma ni mabuda na waislamu.Wakija Tanzania ni waislamu na wakristo.Wanatumiwa wakristo kuvunja amani kwa kuwakandamiza waislamu.
Hebu eleza Pakistan imeifanyiia nini Bangladesh....kaka Ami...alhamdullillah..nimeangalia iraq( na ulimwengu wote wa kiarabu), nimeangalia pakistan,somalia, na sudan (kwa jicho la kiafrika, ukitilia maanani kuwa suda ni sehemu ya afrka)..nilichokiona ni unafiki mkubwa wa watu wa nchi husika...hususan somalia...!waliungana kumuondoa general siyad barreh...kisha? alipoondoka? ..unaweza kudai unataka amani huku unapigana? itapatikana vp? na demokrasia gani inayopeleka walinzi wa amani mahali palipokosa amani? hata udikteta (na ufalme pia)haukubali, nikidhani ndio maana hata nchi za kiarabu na zingine zote zinazodai kuwa ni za kiislamu(kama ni kweli) hazifikirii hata kidogo kupeleka askari wake ktk maeneo ya waislamu wanaopigana...!umoja wa mataifa unaweza kuwa na makosa yake kiutendaji ktk kusimamia amani..hususan ktk suala la mauaji ya kimbari ktk rwanda...lkn somalia kwa mfano..?si kulipelekwa "operation restore hope" ikiwajumuisha mataifa mengi ya kiislamu (saudia ilikuwa mara yake ya kwanza kuchangia jeshi kulinda amani)..kilichotokea? utailaumu un? ok.. pakistan? nenda kawaulize wailsam wa bangladesh kuhusu pakistan..!yemen? unailamu un? kosa lake? majirani zake wenye utajiri wamefanya nini kuisaidia?...ah! ami nyumba yako ikiwa inawaka moto..kabiliana nao uiokoe..acha kulalamikia majirani na "zimamoto"....
Wakamatwe maaskofu watoe ushahidi wa waislamu kuchoma makanisa.
Wakamatwe maaskofu watoe ushahidi wa waislamu kuchoma makanisa.
Hebu eleza Pakistan imeifanyiia nini Bangladesh.
Mfano Pervez Musharaf rafiki wa Marekani akifanya kitu kwa wapakistani utakuwa na imani gani kwamba ni yeye muamuzi.
Turudi Yemen.Wananchi hawaitaki serikali iliyoasisiwa na Ali Abdullah Saleh rafiki wa Marekani.Sababu gani ya kutumia drone kuua waislamu ikisemwa ni Alqaeda ilimradi tu wasijitawale wenyewe.
Twende Burma.Haijawahi kutokea mabuda wakauwa waislamu 28000 na kuchoma nyumba zao moto hata kama waislamu na mabudha wana tofauti zao.Hili limetokea mara tu viongozi wa Burma walipolegeza kamba kwa shinikizo la muda mrefu wakampa nafasi rafiki kipenzi wa Marekani aitwaye Aung San Suukyi.
Tanzania tuna tofauti zetu.Lakini haijawahi wakristo kupata kiburi cha kuwakandamiza waislamu kuliko kipindi hiki tangu Kikwete awakaribishe Marekani baada ya safari zake nyingi huko.Kwa upande mwengine mbona wakristo hawakuwahi kukojolea msahafu hadharani mpaka pale K.
Umefoka sana lakini hujasema kitu cha maana.Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo.Kilaza huyu anaisikiliza redio iman anatuletea ujinga hapa.. Huku tunakuhoji na tunakupa facts hii sio redio kwamba utadanganya tu na kuondoka hii ni forums.
Umefoka sana lakini hujasema kitu cha maana.Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo.
Raisi wa Yemen si askofu lakini ni mvunjaji amani kwa kushirikiana na Marekani.Maaskofu ni wavunjifu wa amani Tanzania kwa kuchochewa na hivyo vitu nilivyoviorodhesha.Huyo rais wa yemen ni askofu? Acha ujinga na umbumbumbu kama mtoto mdogo.
Raisi wa Yemen si askofu lakini ni mvunjaji amani kwa kushirikiana na Marekani.Maaskofu ni wavunjifu wa amani Tanzania kwa kuchochewa na hivyo vitu nilivyoviorodhesha.
Black huwezi kuona.Macho yako yana giza.
Raisi wa Yemen si askofu lakini ni mvunjaji amani kwa kushirikiana na Marekani.Maaskofu ni wavunjifu wa amani Tanzania kwa kuchochewa na hivyo vitu nilivyoviorodhesha.
Black huwezi kuona.Macho yako yana giza.
Hujaelewa vyema na mimi sijakuelewa.Hapo nimekuelewa , sasa wa kumlaumu ni marekani ama ni huyo rais wenu wa yemen? Kama yeye kawa mamluki na ni mwislamu anawaua waislamu wenzake nani wa kulaumiwa hapo??? Ukristo na marekani inayoongoza na HUSSEIN OBAMA??wHY uutulalamikie when muslims kills th're fellow muslims?????????????