Umoja wa Afrika Mashariki

lutemi

JF-Expert Member
Dec 24, 2013
1,743
1,379
Africa mashariki ambayo zamani ilikuwa nchi tatu
Kenya
Tanzania
Uganda
Zilikuwa na umoja imara sana miaka ya sabini huko. Mpaka ikafikia Wakawa na mashirika ya pamoja yenye nguvu ambayo mwisho baada ya kugawanyika yakapotelea mbali.
Leo tuna umoja wa Africa mashariki unao jumuisha nchi zaidi ya tatu
Tanzania
Kenya
Uganda
South Sudan
Rwanda
Burundi
Lakini pamoja na hayo kuna sinto fahamu kati ya uganda na Rwanda
Pia yanayojadiliwa licha ya kuwa na Bunge la Africa mashariki naona kama hayana speed kama ilivyo kuwa miaka ya sabini kabla ya kuvunjika.
Je hii jumuia tangia ianzishwe imeleta faida gani kwa wananchi wa nchi husika waliopo kwenye umoja huo?
Yaani ni kitu gani ambacho unakipata ambacho ni faida ya umoja huu.

Shirika lipi la pamoja limeanzishwa kama nyakati za wazee wetu?

Je nini tunaweza kukipata toka kenya au rwanda au burundi au s sudani kwa kuwa katika umoja huu?.

Maana kama permit ya kuishi kenya au Uganda ni sawa tu na permit utakayopewa ukiishi zambia. Na kwa Watanzania ni rahisi sana kuishi au kusafiri kwenda Afrika ya kusini bila hata visa kuliko kwenda hapa kenya na uganda nk.
Mimi nahisi umoja huu hauna afya kabisa au afya yake ni ndogo sana.
Naomba maoni yako mdau ili nami nijifunze toka kwako.
 
Hivi Watanganyika mbona mnapenda kuzirusha akili zenu hivi mwandishi hujui kweli kwamba iliyokua JUMUIA YA AFRICA YA MASHARIKI (EAC) ilikua ni Nchi nne (4) na kulikua hakuna Nchi inayoitwa TANZANIA ktk Jumuia hiyo?
Hivi kweli hata hilo hamlifahamu??

Ni jambo lisilo kificho Watanganyika kwa nguvu zote mnakataa utambulisho wenu na utaifa wenu lkn mjuwe kwamba hostoria haifutiki mtajidai tuu kuifuta na ipo siku historia itajirejea

Nchi za EAC zilizokua kbla ya mavamizi ya Tangannyika ni
1 KENYA
2 ZANZIBAR
3 UGANDA
4 TANGANNYIKA

Rejeeni vitabu vya Historia km nyinyi mumesahau SISI BADO!!
 
Hivi Watanganyika mbona mnapenda kuzirusha akili zenu hivi mwandishi hujui kweli kwamba iliyokua JUMUIA YA AFRICA YA MASHARIKI (EAC) ilikua ni Nchi nne (4) na kulikua hakuna Nchi inayoitwa TANZANIA ktk Jumuia hiyo?
Hivi kweli hata hilo hamlifahamu??

Ni jambo lisilo kificho Watanganyika kwa nguvu zote mnakataa utambulisho wenu na utaifa wenu lkn mjuwe kwamba hostoria haifutiki mtajidai tuu kuifuta na ipo siku historia itajirejea

Nchi za EAC zilizokua kbla ya mavamizi ya Tangannyika ni
1 KENYA
2 ZANZIBAR
3 UGANDA
4 TANGANNYIKA

Rejeeni vitabu vya Historia km nyinyi mumesahau SISI BADO!!
Na kwa DHANA hiyo mgao wetu wa iliyokua (EAC) hamjatupa mumezitia BOT na zikenda kunufaisha mashirika yenu km vile TANESCO wakati sisi tulikuwa ni wanachama hai tukichangia km mlivyokua nyinyi mkichangia
 
Hivi Watanganyika mbona mnapenda kuzirusha akili zenu hivi mwandishi hujui kweli kwamba iliyokua JUMUIA YA AFRICA YA MASHARIKI (EAC) ilikua ni Nchi nne (4) na kulikua hakuna Nchi inayoitwa TANZANIA ktk Jumuia hiyo?
Hivi kweli hata hilo hamlifahamu??
Ni jambo lisilo kificho Watanganyika kwa nguvu zote mnakataa utambulisho wenu na utaifa wenu lkn mjuwe kwamba hostoria haifutiki mtajidai tuu kuifuta na ipo siku historia itajirejea
Nchi za EAC zilizokua kbla ya mavamizi ya Tangannyika ni
1 KENYA
2 ZANZIBAR
3 UGANDA
4 TANGANNYIKA
Rejeeni vitabu vya Historia km nyinyi mumesahau SISI BADO!!
Vitabu gani? jumuiya ya kwanza ya maandishi ilikua EAST AFRICA HIGH COMMISSION ya 1948 kati ya Tanganyika, Uganda na Kenya. Ya pili EAST AFRICAN COMMON SERVICES ORGANIZATION ya 1961 nayo ilikua na Tanganyika, Kenya na Uganda. Ya tatu EAC ilianza mwaka 1967 na ilikua na nchi tatu tu TanZania, Kenya na Uganda. Tulionayo sasa hivi ni ya nne kimaandishi ila ni ya tano kimakubaliano, kwasababu Uganda na Kenya walikubaliana kwanza kushirikiana mwaka 1917 na Tanganyika ikaomba kujiunga mwaka 1927. Taja vitabu mjomba vinavoonesha tofauti.
 
Vitabu gani? jumuiya ya kwanza ya maandishi ilikua EAST AFRICA HIGH COMMISSION ya 1948 kati ya Tanganyika, Uganda na Kenya. Ya pili EAST AFRICAN COMMON SERVICES ORGANIZATION ya 1961 nayo ilikua na Tanganyika, Kenya na Uganda. Ya tatu EAC ilianza mwaka 1967 na ilikua na nchi tatu tu TanZania, Kenya na Uganda. Tulionayo sasa hivi ni ya nne kimaandishi ila ni ya tano kimakubaliano, kwasababu Uganda na Kenya walikubaliana kwanza kushirikiana mwaka 1917 na Tanganyika ikaomba kujiunga mwaka 1927. Taja vitabu mjomba vinavoonesha tofauti.

Wazanzibar mihemko inawasumbua sana tena sio wazanzibar sema wa pemba ndio shida sana ila unguja washaelewa mno hawana tatizo ukienda pale sauti ya kisonge utaelewa waunguja wanavyowachukia wapemba
 
Hivi Watanganyika mbona mnapenda kuzirusha akili zenu hivi mwandishi hujui kweli kwamba iliyokua JUMUIA YA AFRICA YA MASHARIKI (EAC) ilikua ni Nchi nne (4) na kulikua hakuna Nchi inayoitwa TANZANIA ktk Jumuia hiyo?
Hivi kweli hata hilo hamlifahamu??

Ni jambo lisilo kificho Watanganyika kwa nguvu zote mnakataa utambulisho wenu na utaifa wenu lkn mjuwe kwamba hostoria haifutiki mtajidai tuu kuifuta na ipo siku historia itajirejea

Nchi za EAC zilizokua kbla ya mavamizi ya Tangannyika ni
1 KENYA
2 ZANZIBAR
3 UGANDA
4 TANGANNYIKA

Rejeeni vitabu vya Historia km nyinyi mumesahau SISI BADO!!

You’re out of context
 
Pamoja nayo yote sasa jumuiya inaenda kuwa na nchi wanachama 7. Tayari D.R Congo wameshawasilisha maombi yao na raisi wao ameshakutana na maraisi wa Kenya, Uganda, Rwanda na this time anakuja kuonana na Mh Magufuli. Almost deal done.
 
Pamoja nayo yote sasa jumuiya inaenda kuwa na nchi wanachama 7. Tayari D.R Congo wameshawasilisha maombi yao na raisi wao ameshakutana na maraisi wa Kenya, Uganda, Rwanda na this time anakuja kuonana na Mh Magufuli. Almost deal done.

Toka imeanzishwa tunafaidika na nini which tangible things we have achieved so far?
 
Ndo tunaenda kua matajiri ka EU, from Indian to Atlantic ocean!!!!
 
Ina muda gani tangia tumeanza? Na ikiwa kumeanza kuwa na mipasuko je tuendako tutafika?
Nadhani mwaka huu kabla haujaisha tutakua na common passport. Huoni kua tunaelekea kua kama EU
 
Vitabu gani? jumuiya ya kwanza ya maandishi ilikua EAST AFRICA HIGH COMMISSION ya 1948 kati ya Tanganyika, Uganda na Kenya. Ya pili EAST AFRICAN COMMON SERVICES ORGANIZATION ya 1961 nayo ilikua na Tanganyika, Kenya na Uganda. Ya tatu EAC ilianza mwaka 1967 na ilikua na nchi tatu tu TanZania, Kenya na Uganda. Tulionayo sasa hivi ni ya nne kimaandishi ila ni ya tano kimakubaliano, kwasababu Uganda na Kenya walikubaliana kwanza kushirikiana mwaka 1917 na Tanganyika ikaomba kujiunga mwaka 1927. Taja vitabu mjomba vinavoonesha tofauti.
Wewe Mtanganyika huna cha kunambia ZANZIBAR ktk EAC ulisimama km Nchi rejea darasani hilo halina mjadala
 
Wazanzibar mihemko inawasumbua sana tena sio wazanzibar sema wa pemba ndio shida sana ila unguja washaelewa mno hawana tatizo ukienda pale sauti ya kisonge utaelewa waunguja wanavyowachukia wapemba
Nyinyi mnapoletea issue nzito Za udhalimu mnakuja na issue ya UNGUJA NA UPEMBE kwa taarifa muunguja anakusapotini atakua MZANZIBARA na ww ni mmoja wao hamtotugawanya tena tumesimama km WAZANZIBAR SAUTI MOJA NGUVU MOJAAA
 
Wewe Mtanganyika huna cha kunambia ZANZIBAR ktk EAC ulisimama km Nchi rejea darasani hilo halina mjadala

Wapi kuna Zanzibar?
 
Wapi kuna Zanzibar?

Wana mihemuko sana hawa
 
Back
Top Bottom