Umoja wa Afrika(AU) uhamie Tanzania

Tanzania ni kisiwa Cha amani illa Kuna viazi vichache vinataka kuvuruga amani yetu kwa ugaidi
Ugaidi gani tena
IMG_20211109_163531.jpg
 
Elezea kwa kina
Kwanini hao maagaidi wasidumu zaidi ya mwaka.
Tuaminije maneno yako kama sio mahaba kwa Tz
Kipindi hichi teknolojia imekuwa sana uwezekano wa magaidi kuitumia teknolojia kuishambulia Tz upo kwa maana kwamba tupo duni kiteknolojia ya kiulizi na kivita
Tz ni mwanachama wa jumuiya za kimataifa kama SADC, AU, EAC, UN, COMMONWEALTH NK.
Tz ina uwezo wa kusimama yenyewe bila msaada, lakini kuna itifaki ya SADC kwamba adui akimchokoza mwanachama mmoja basi amechokoza SADC nzima, South Africa ni mwanachama aliyeendelea kwa sayansi na teknolojia hivyo itapobidi kuhitaji teknolojia toka kwao tutaipata tu, ni vivyo hivyo kwa jumuiya zingine za kimtaifa zilizobaki. Ghaidi atahitaji kujipanga. Kama ulikuwa mdogo sijui, Tz na uwezo wake huo unaodhani ni mdogo iliwahi kumfurumusha Botha na majeshi yake Shelisheli ikayasindikiza chini ya mitutu ya manowari, helikopta na ndege vita za TPDF hadi mpakani kwao na Mozambique, Botha alipopata habari hizo alienda kutundikiwa dripu, hakuamini ni Tz inaweza kufanya kitu kama hicho. TPDF hailazimiki kuhitaji nuclear, TPDF imewekeza kwenye brain, ina uwezo wa kutumia silaha hizo za teknolojia hata kama hainazo, kule Uganda TPDF ilitumia silaha chache sana za kwake, asilimia kubwa ya silaha ilizotumia ni za Iddi Amin, TPDF ilikuja na akili ya vizia, teka, twaa silaha, shambulia.
 
Kufuatia mapigano ya Tigray ya TPLF na vikosi vya serikali kuelekea kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wowote kuanzia sasa, namshauri Rais Mstaafu Gen. Obasanjo ambaye ni mpatanishi wa mgogoro huo aishauri AU ihamishie Makao Makuu yake Tanzania kwa muda hadi pale amani itakaporejeshwa.
umesahau kwamba Tanzania kuna UGAIDI na kesi ipo mahakama kuu inaendelea.
 
Kenya ina Al-shabaab, Uganda pia wameanza kuishambulia, Tz imedhibiti IS Kusini kama ilivyodhibiti Maimai na M23 wasivuke mpaka kuingia Tz. Kenya (kama ilivyo Uganda) imezungukwa na majirani walioko vitani e.g. Somalia, South Sudan, Ethiopia, kwa Uganda DR Congo, Rwanda nako hakujatulia sana kati yake na Uganda, Burundi moto umezima lakini bado majivu yanachoma.

Sifa za Tanzania ku-host AU:
1. Amani.

2. Miundombinu (nchi nzima inafikika kwa safari za anga, barabara, majini, reli (SGR 2 na MGR iliyokarabatiwa upya na kuongezewa excel), unawezatoka South Africa hadi Tz kwa reli.

3. Vivutio vya utalii (wageni wanapenda kuosha macho baada ya mikutano).

4. Shirika la ndege lenye ndege mpya za kisasa kubwa, wastani na ndogo.

5. Ukarimu wa wananchi.

6. Kumbi za kimataifa za mikutano Arusha, Dodoma na Dsm.

7. Iliwahi ku-host Kamati ya Ukombozi ya OAU.

8. Ina-host Mahakama ya UN ICTR.

9. Ina-host EAC.

10. Inatumia lugha 2 za Kiingereza na Kiswahili (zote ni lugha za AU).

11. Iliwahi ku-host Non Aligned Movement ambayo Mwl alijenga Hoteli ya 77 Arusha ku-accommodate Marais wa nchi 77 waliokuja kuchakata wazo la Kutofungamana na upande wowote wakati wa vita baridi ya dunia.

12. Ina vikosi imara vyenye hadhi ya kulinda amani duniani; vikosi vyenye ithibati (accreditation) za UN, SADC, AU, EAC, GLR.

13. Ina viwanja vya ndege vyenye uwezo wa kuwa hub kwa wanachama wa AU.

14. Anga yake ni salama kwasababu imefunga miundombinu ya rada 3 mpya zenye uwezo wa kuongoza safari za ndege za kwenda kwa majirani, e.g. ndege zote za kiraia zinazoingia na kutoka Kigali na Bujumbura zinaongozwa na rada za Tz kasoro za kijeshi tu. Anga ya Tz ni salama kwa asilimia 100.

15. Ina hoteli zenye hadhi ya viongozi wa kitaifa na kimataifa.

16. Haina lockdown.

17. Ina Hospitali zenye huduma za kibingwa (wanaweza kutibiwa Marais na wajumbe wa mkutano).

18. Ina fursa lukuki za uwekezaji, wajumbe-wanachama wanaweza kuvutiwa kushawishi raia wao waje wawekeze kwasababu miundombinu ya usafiri, maji, nishati, usalama, amani nk vipo Tz.

19. Kuna huduma za Kibenki za kimataifa.

20. Tz inaongoza Afrika kwa uwekezaji katika sekta ya Telecom. Mkongo wa mawasiliano ya kielektroniki ya kasi kubwa na gharama nafuu umesambaa nzi nzima kasoro mikoa miwili tu ikiwemo Simiyu (ambayo nayo tyr ilishafikiwa zamani wkt ilipokuwa bado ndani ya mkoa wa Shinyanga, baada ya kugawanywa ndiyo ikajikuta iko nje ya mkongo).

21. Iliwahi ku-host ziara za viongozi wa nchi kubwa duniani kama US, UK, China wakiwemo Makatibu Wakuu wa UN.

22. Whatnot?
Nimeupenda huu uzalendo..

Kuna muda inabidi tujivunie hata hivi vidogo tulivyonavyo tusibeze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe Accra,ila tz hawawezi yaleta hayo makao makuu.jiji letu la dodoma bado halijawaha jiji la kimataifa km nairobi,accra ,cape town na kwingineko
 
Kufuatia mapigano ya Tigray ya TPLF na vikosi vya serikali kuelekea kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wowote kuanzia sasa, namshauri Rais Mstaafu Gen. Obasanjo ambaye ni mpatanishi wa mgogoro huo aishauri AU ihamishie Makao Makuu yake Tanzania kwa muda hadi pale amani itakaporejeshwa.
Naunga mkono HOJA.....

Haiwezekani makao makuu ya Afrika yakawa eneo lisilojifunza UMUHIMU WA AMANI ,UTULIVU NA UPATANISHI.....

Tunajivunia kuwa na baba wa Taifa aitwaye Julius Kambarage Nyerere.....huyu bwana ni tofauti sana na mababa wa taifa wa nchi nyingine za AFRIKA......angalia na chunguza UTANG'AMUA......


SIEMPRE EL COMANDANTE JULIUS KAMBARAGE NYERERE HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE JULIUS KAMBARAGE NYERERE🙏
 
AU ije Arusha, Geneva of Africa. Weather tu itawavutia kweli kweli, na utalii ndio usiseme. Amani tele Tz yetu. Alafu kuna nafasi ya kutosha.

Kenya sio salama, Ethiopia sio salama, Sudan sio salama, Misri sio salama, vifaru kila kona ya njia Misri, Libya sio salama, Congo sio salama, Somalia sio salama, S. Africa wabaguzi na civil unrest kubwa sana, CAR ni vita, Ivory Coast hakufai..

Tanzania is the ideal place to place AU HQ.
😍
 
Kenya ina Al-shabaab, Uganda pia wameanza kuishambulia, Tz imedhibiti IS Kusini kama ilivyodhibiti Maimai na M23 wasivuke mpaka kuingia Tz. Kenya (kama ilivyo Uganda) imezungukwa na majirani walioko vitani e.g. Somalia, South Sudan, Ethiopia, kwa Uganda DR Congo, Rwanda nako hakujatulia sana kati yake na Uganda, Burundi moto umezima lakini bado majivu yanachoma.

Sifa za Tanzania ku-host AU:
1. Amani.

2. Miundombinu (nchi nzima inafikika kwa safari za anga, barabara, majini, reli (SGR 2 na MGR iliyokarabatiwa upya na kuongezewa excel), unawezatoka South Africa hadi Tz kwa reli.

3. Vivutio vya utalii (wageni wanapenda kuosha macho baada ya mikutano).

4. Shirika la ndege lenye ndege mpya za kisasa kubwa, wastani na ndogo.

5. Ukarimu wa wananchi.

6. Kumbi za kimataifa za mikutano Arusha, Dodoma na Dsm.

7. Iliwahi ku-host Kamati ya Ukombozi ya OAU.

8. Ina-host Mahakama ya UN ICTR.

9. Ina-host EAC.

10. Inatumia lugha 2 za Kiingereza na Kiswahili (zote ni lugha za AU).

11. Iliwahi ku-host Non Aligned Movement ambayo Mwl alijenga Hoteli ya 77 Arusha ku-accommodate Marais wa nchi 77 waliokuja kuchakata wazo la Kutofungamana na upande wowote wakati wa vita baridi ya dunia.

12. Ina vikosi imara vyenye hadhi ya kulinda amani duniani; vikosi vyenye ithibati (accreditation) za UN, SADC, AU, EAC, GLR.

13. Ina viwanja vya ndege vyenye uwezo wa kuwa hub kwa wanachama wa AU.

14. Anga yake ni salama kwasababu imefunga miundombinu ya rada 3 mpya zenye uwezo wa kuongoza safari za ndege za kwenda kwa majirani, e.g. ndege zote za kiraia zinazoingia na kutoka Kigali na Bujumbura zinaongozwa na rada za Tz kasoro za kijeshi tu. Anga ya Tz ni salama kwa asilimia 100.

15. Ina hoteli zenye hadhi ya viongozi wa kitaifa na kimataifa.

16. Haina lockdown.

17. Ina Hospitali zenye huduma za kibingwa (wanaweza kutibiwa Marais na wajumbe wa mkutano).

18. Ina fursa lukuki za uwekezaji, wajumbe-wanachama wanaweza kuvutiwa kushawishi raia wao waje wawekeze kwasababu miundombinu ya usafiri, maji, nishati, usalama, amani nk vipo Tz.

19. Kuna huduma za Kibenki za kimataifa.

20. Tz inaongoza Afrika kwa uwekezaji katika sekta ya Telecom. Mkongo wa mawasiliano ya kielektroniki ya kasi kubwa na gharama nafuu umesambaa nzi nzima kasoro mikoa miwili tu ikiwemo Simiyu (ambayo nayo tyr ilishafikiwa zamani wkt ilipokuwa bado ndani ya mkoa wa Shinyanga, baada ya kugawanywa ndiyo ikajikuta iko nje ya mkongo).

21. Iliwahi ku-host ziara za viongozi wa nchi kubwa duniani kama US, UK, China wakiwemo Makatibu Wakuu wa UN.

22. Whatnot?
😍
 
Back
Top Bottom