Umoja wa Afrika(AU) uhamie Tanzania

Umoja wa Afrika(AU) uhamie Tanzania

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,619
Kufuatia mapigano ya Tigray ya TPLF na vikosi vya serikali kuelekea kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wowote kuanzia sasa, namshauri Rais Mstaafu Gen. Obasanjo ambaye ni mpatanishi wa mgogoro huo aishauri AU ihamishie Makao Makuu yake Tanzania kwa muda hadi pale amani itakaporejeshwa.
 
Kufuatia mapigano ya Tigray ya TPLF na vikosi vya serikali kuelekea kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wowote kuanzia sasa, namshauri Rais Mstaafu Gen. Obasanjo ambaye ni mpatanishi wa mgogoro huo aishauri AU ihamishie Makao Makuu yake Tanzania kwa muda hadi pale amani itakaporejeshwa.
Kwani Tanzania kuna amani?
 
Kwa nini Tanzania na siyo Kenya iliyo karibu na Ethiopia? Hebu eleza kwa kina kwa nini unaipendekeza Tanzania, au kwa vile wewe ni mkazi wa Tanzania hivyo unatumia ule msemo wa mwamba ngoma?
Kenya ina Al-shabaab, Uganda pia wameanza kuishambulia, Tz imedhibiti IS Kusini kama ilivyodhibiti Maimai na M23 wasivuke mpaka kuingia Tz. Kenya (kama ilivyo Uganda) imezungukwa na majirani walioko vitani e.g. Somalia, South Sudan, Ethiopia, kwa Uganda DR Congo, Rwanda nako hakujatulia sana kati yake na Uganda, Burundi moto umezima lakini bado majivu yanachoma.

Sifa za Tanzania ku-host AU:
1. Amani.

2. Miundombinu (nchi nzima inafikika kwa safari za anga, barabara, majini, reli (SGR 2 na MGR iliyokarabatiwa upya na kuongezewa excel), unawezatoka South Africa hadi Tz kwa reli.

3. Vivutio vya utalii (wageni wanapenda kuosha macho baada ya mikutano).

4. Shirika la ndege lenye ndege mpya za kisasa kubwa, wastani na ndogo.

5. Ukarimu wa wananchi.

6. Kumbi za kimataifa za mikutano Arusha, Dodoma na Dsm.

7. Iliwahi ku-host Kamati ya Ukombozi ya OAU.

8. Ina-host Mahakama ya UN ICTR.

9. Ina-host EAC.

10. Inatumia lugha 2 za Kiingereza na Kiswahili (zote ni lugha za AU).

11. Iliwahi ku-host Non Aligned Movement ambayo Mwl alijenga Hoteli ya 77 Arusha ku-accommodate Marais wa nchi 77 waliokuja kuchakata wazo la Kutofungamana na upande wowote wakati wa vita baridi ya dunia.

12. Ina vikosi imara vyenye hadhi ya kulinda amani duniani; vikosi vyenye ithibati (accreditation) za UN, SADC, AU, EAC, GLR.

13. Ina viwanja vya ndege vyenye uwezo wa kuwa hub kwa wanachama wa AU.

14. Anga yake ni salama kwasababu imefunga miundombinu ya rada 3 mpya zenye uwezo wa kuongoza safari za ndege za kwenda kwa majirani, e.g. ndege zote za kiraia zinazoingia na kutoka Kigali na Bujumbura zinaongozwa na rada za Tz kasoro za kijeshi tu. Anga ya Tz ni salama kwa asilimia 100.

15. Ina hoteli zenye hadhi ya viongozi wa kitaifa na kimataifa.

16. Haina lockdown.

17. Ina Hospitali zenye huduma za kibingwa (wanaweza kutibiwa Marais na wajumbe wa mkutano).

18. Ina fursa lukuki za uwekezaji, wajumbe-wanachama wanaweza kuvutiwa kushawishi raia wao waje wawekeze kwasababu miundombinu ya usafiri, maji, nishati, usalama, amani nk vipo Tz.

19. Kuna huduma za Kibenki za kimataifa.

20. Tz inaongoza Afrika kwa uwekezaji katika sekta ya Telecom. Mkongo wa mawasiliano ya kielektroniki ya kasi kubwa na gharama nafuu umesambaa nzi nzima kasoro mikoa miwili tu ikiwemo Simiyu (ambayo nayo tyr ilishafikiwa zamani wkt ilipokuwa bado ndani ya mkoa wa Shinyanga, baada ya kugawanywa ndiyo ikajikuta iko nje ya mkongo).

21. Iliwahi ku-host ziara za viongozi wa nchi kubwa duniani kama US, UK, China wakiwemo Makatibu Wakuu wa UN.

22. Whatnot?
 
AU ije Arusha, Geneva of Africa. Weather tu itawavutia kweli kweli, na utalii ndio usiseme. Amani tele Tz yetu. Alafu kuna nafasi ya kutosha.

Kenya sio salama, Ethiopia sio salama, Sudan sio salama, Misri sio salama, vifaru kila kona ya njia Misri, Libya sio salama, Congo sio salama, Somalia sio salama, S. Africa wabaguzi na civil unrest kubwa sana, CAR ni vita, Ivory Coast hakufai..

Tanzania is the ideal place to place AU HQ.
 
Kenya ina Al-shabaab, Uganda pia wameanza kuishambulia, Tz imedhibiti IS Kusini kama ilivyodhibiti Maimai na M23 wasivuke mpaka kuingia Tz. Kenya (kama ilivyo Uganda) imezungukwa na majirani walioko vitani e.g. Somalia, South Sudan, Ethiopia, kwa Uganda DR Congo, Rwanda nako hakujatulia sana kati yake na Uganda, Burundi moto umezima lakini bado majivu yanachoma.

Sifa za Tanzania ku-host AU:
1. Amani.

2. Miundombinu (nchi nzima inafikika kwa safari za anga, barabara, majini, reli (SGR 2 na MGR iliyokarabatiwa upya na kuongezewa excel), unawezatoka South Africa hadi Tz kwa reli.

3. Vivutio vya utalii (wageni wanapenda kuosha macho baada ya mikutano).

4. Shirika la ndege lenye ndege mpya za kisasa kubwa, wastani na ndogo.

5. Ukarimu wa wananchi.

6. Kumbi za kimataifa za mikutano Arusha, Dodoma na Dsm.

7. Iliwahi ku-host Kamati ya Ukombozi ya OAU.

8. Ina-host Mahakama ya UN ICTR.

9. Ina-host EAC.

10. Inatumia lugha 2 za Kiingereza na Kiswahili (zote ni lugha za AU).

11. Iliwahi ku-host Non Aligned Movement ambayo Mwl alijenga Hoteli ya 77 Arusha ku-accommodate Marais wa nchi 77 waliokuja kuchakata wazo la Kutofungamana na upande wowote wakati wa vita baridi ya dunia.

12. Ina vikosi imara vyenye hadhi ya kulinda amani duniani; vikosi vyenye ithibati (accreditation) za UN, SADC, AU, EAC, GLR.

13. Ina viwanja vya ndege vyenye uwezo wa kuwa hub kwa wanachama wa AU.

14. Anga yake ni salama kwasababu imefunga miundombinu ya rada 3 mpya zenye uwezo wa kuongoza safari za ndege za kwenda kwa majirani, e.g. ndege zote za kiraia zinazoingia na kutoka Kigali na Bujumbura zinaongozwa na rada za Tz kasoro za kijeshi tu. Anga ya Tz ni salama kwa asilimia 100.

15. Ina hoteli zenye hadhi ya viongozi wa kitaifa na kimataifa.

16. Haina lockdown.

17. Ina Hospitali zenye huduma za kibingwa (wanaweza kutibiwa Marais na wajumbe wa mkutano).

18. Ina fursa lukuki za uwekezaji, wajumbe-wanachama wanaweza kuvutiwa kushawishi raia wao waje wawekeze kwasababu miundombinu ya usafiri, maji, nishati, usalama, amani nk vipo Tz.

19. Kuna huduma za Kibenki za kimataifa.

20. Tz inaongoza Afrika kwa uwekezaji katika sekta ya Telecom. Mkongo wa mawasiliano ya kielektroniki ya kasi kubwa na gharama nafuu umesambaa nzi nzima kasoro mikoa miwili tu ikiwemo Simiyu (ambayo nayo tyr ilishafikiwa zamani wkt ilipokuwa bado ndani ya mkoa wa Shinyanga, baada ya kugawanywa ndiyo ikajikuta iko nje ya mkongo).

21. Iliwahi ku-host ziara za viongozi wa nchi kubwa duniani kama US, UK, China wakiwemo Makatibu Wakuu wa UN.

22. Whatnot?
Mkuu, pamoja na hayo yote uliyoyataja, lakini huoni kuwa kuna uwezekano wa kuwepo kwa matishio makubwa ya matendo ya kigaidi tena kwa dau dogo tu la kiasi cha TZS 600,000/-!?
 
Mkuu, pamoja na hayo yote uliyoyataja, lakini huoni kuwa kuna uwezekano wa kuwepo kwa matishio makubwa ya matendo ya kigaidi tena kwa dau dogo tu la kiasi cha TZS 600,000/-!?
Kiulinzi na usalama (niliwahi kuwa huko, sometimes back), kuna madaraja ya matishio ya usalama:-
1. Perceived Threat - Tishio Dhaniwa.
2. Real Threat - Tishio Kamili/Halisi.
3. Assault - Shambulizi la Kimedani.

Aidha, security ina phases zake takriban 6 kimataifa. Sisi tuko wapi kwenye hizo? Tuko kwenye phase ya usalama wa kutosha, japo hatutakiwi kulala.

Miaka ya vita baridi duniani, Israel, Russia, US ziliwahitambiana nguvu zikijipima kwa Afrika. Wote walitoa taarifa za kufanana kwamba katika Afrika baada ya Afrika Kusini, Tz ni ya pili kwa uwezo wa kimedani-jumla (Ujasusi, Mafunzo, Zana, Rasilimaliwatu) kwamba Tz inaweza kuzichukuwa zaidi ya wiki na mwezi kuishinda (bila kuomba misaada) ikitanguliwa na Afrika Kusini.

Sababu ni nini?
Tz katika bara la Afrika lenye nchi 54, ni pekee ambayo imepigana vita vingi na inaendelea kupigana kupitia vikosi vya jumuiya za kimataifa, utamaduni huu umeifanya jeshi la Tz kuwa imara na tayari kwa lolote kwa wakati wowote, hii inaifanya iwe ranked ya pili Afrika na ya 25 duniani kwa mwongo mmoja uliopita. Sehemu pekee Afrika inayoogopewa na maghaidi kwamba hawawezi kudumu hata kwa mwaka ni Tz.
 
Kiulinzi na usalama (niliwahi kuwa huko, sometimes back), kuna madaraja ya matishio ya usalama:-
1. Perceived Threat - Tishio Dhaniwa.
2. Real Threat - Tishio Kamili/Halisi.
3. Assault - Shambulizi la Kimedani.

Aidha, security ina phases zake takriban 6 kimataifa. Sisi tuko wapi kwenye hizo? Tuko kwenye phase ya usalama wa kutosha, japo hatutakiwi kulala.

Miaka ya vita baridi duniani, Israel, Russia, US ziliwahitambiana nguvu zikijipima kwa Afrika. Wote walitoa taarifa za kufanana kwamba katika Afrika baada ya Afrika Kusini, Tz ni ya pili kwa uwezo wa kimedani-jumla (Ujasusi, Mafunzo, Zana, Rasilimaliwatu) kwamba Tz inaweza kuzichukuwa zaidi ya wiki na mwezi kuishinda (bila kuomba misaada) ikitanguliwa na Afrika Kusini.

Sababu ni nini?
Tz katika bara la Afrika lenye nchi 54, ni pekee ambayo imepigana vita vingi na inaendelea kupigana kupitia vikosi vya jumuiya za kimataifa, utamaduni huu umeifanya jeshi la Tz kuwa imara na tayari kwa lolote kwa wakati wowote, hii inaifanya iwe ranked ya pili Afrika na ya 25 duniani kwa mwongo mmoja uliopita. Sehemu pekee Afrika inayoogopewa na maghaidi kwamba hawawezi kudumu hata kwa mwaka ni Tz.
Elezea kwa kina
Kwanini hao maagaidi wasidumu zaidi ya mwaka.
Tuaminije maneno yako kama sio mahaba kwa Tz
Kipindi hichi teknolojia imekuwa sana uwezekano wa magaidi kuitumia teknolojia kuishambulia Tz upo kwa maana kwamba tupo duni kiteknolojia ya kiulizi na kivita
 
Back
Top Bottom