boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
Umoja wa Afrika ambao upo naona hauna maana yoyote wa wananchi wa Afrika kwa vile upo kwa maslahi ya viongozi wa afrika walioko madarakani.
Nasema hivyo hasa ukianagalia mambo mbali mbali yanayotokea afrika mbaya zaidi Libya ambapo Rais Gadaffi anaua wananchi wake kama KUKU na hata kutumia ndege za kijeshi kushambulia raia wake ili mradi tu aendelee kukaa madarakani licha ya kutawala kwa miaka 42. Mimi sioni tofauti kubwa ya Gadaffi na Saddam Hussein
Waafrika wenzangu kama AU iko kimya inafaida gani kwa sasa kwet sisi wananchi
Nasema hivyo hasa ukianagalia mambo mbali mbali yanayotokea afrika mbaya zaidi Libya ambapo Rais Gadaffi anaua wananchi wake kama KUKU na hata kutumia ndege za kijeshi kushambulia raia wake ili mradi tu aendelee kukaa madarakani licha ya kutawala kwa miaka 42. Mimi sioni tofauti kubwa ya Gadaffi na Saddam Hussein
Waafrika wenzangu kama AU iko kimya inafaida gani kwa sasa kwet sisi wananchi