UMMY MWALIMU umekosea barua yako ilitakiwa ielekezwe kwa katibu mkuu CCM ni mamlaka kinidhamu na mdhaminini wako siyo kwenye mitandao ya kijamii

UMMY MWALIMU umekosea barua yako ilitakiwa ielekezwe kwa katibu mkuu CCM ni mamlaka kinidhamu na mdhaminini wako siyo kwenye mitandao ya kijamii

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Nimesima kwa jicho la tatu na kuona ni kama kushtaki kwa wananchi badala ya kushukuru. Umeandika siyo kwa unyenyekevu au kukubali maamuzi ya kamati kuu na hiyo ni ishara isiyo nzuri Tambua kuwa Mamlaka yako ni katibu mkuu wa CCM na ndiye mdhamini wako mkuu mbele ya wananchi ambao unawashukuru. Mamlaka husika ni kubwa zaidi ndiyo maana imeona iteue mwingine badala yako na watia Nia wengine. Ni vema sasa na Unatakiwa kuonyesha ukomavu kisiasa kwa kuiandikia mamlaka hiyo na siyo kuja mitandao ni. Huu ni ushauri wangu binafsi baada ya kusoma barua yako nakuona umekosea sana na ni vema radhi itangulie kisha na kurejea kuandika tena.
 
Hiyo barua iko wapi mzee?

Nimesima kwa jicho la tatu na kuona ni kama kushtaki kwa wananchi badala ya kushukuru. Umeandika siyo kwa unyenyekevu au kukubali maamuzi ya kamati kuu na hiyo ni ishara isiyo nzuri Tambua kuwa Mamlaka yako ni katibu mkuu wa CCM na ndiye mdhamini wake mkuu mbele ya wananchi ambao unanawashukuru. Mamlaka hiyo ni kubwa zaidi ndiyo maana imeona iteue mwingine badala yako na wengine sUnatakiwa kuonyesha ukomavu kisiasa kwa kuiandikia mamlaka hiyo na siyo kuja mitandao ni. Huu ni ushauri baada ya kusoma barua yake ni kubwa amekosea sana ni vema akaomba radhi na kurejea kuandika tena
 
Nimesima kwa jicho la tatu na kuona ni kama kushtaki kwa wananchi badala ya kushukuru. Umeandika siyo kwa unyenyekevu au kukubali maamuzi ya kamati kuu na hiyo ni ishara isiyo nzuri Tambua kuwa Mamlaka yako ni katibu mkuu wa CCM na ndiye mdhamini wake mkuu mbele ya wananchi ambao unanawashukuru. Mamlaka hiyo ni kubwa zaidi ndiyo maana imeona iteue mwingine badala yako na wengine sUnatakiwa kuonyesha ukomavu kisiasa kwa kuiandikia mamlaka hiyo na siyo kuja mitandao ni. Huu ni ushauri baada ya kusoma barua yake ni kubwa amekosea sana ni vema akaomba radhi na kurejea kuandika tena
Usidhani wote humu tumeisoma hiyo barua, acha ujinga hebu weka hiyo barua ili post yako iwe relevant.
 
Nimesima kwa jicho la tatu na kuona ni kama kushtaki kwa wananchi badala ya kushukuru. Umeandika siyo kwa unyenyekevu au kukubali maamuzi ya kamati kuu na hiyo ni ishara isiyo nzuri Tambua kuwa Mamlaka yako ni katibu mkuu wa CCM na ndiye mdhamini wako mkuu mbele ya wananchi ambao unawashukuru. Mamlaka husika ni kubwa zaidi ndiyo maana imeona iteue mwingine badala yako na watia Nia wengine. Ni vema sasa na Unatakiwa kuonyesha ukomavu kisiasa kwa kuiandikia mamlaka hiyo na siyo kuja mitandao ni. Huu ni ushauri wangu binafsi baada ya kusoma barua yako nakuona umekosea sana na ni vema radhi itangulie kisha na kurejea kuandika tena.
Angemuiga kigwangwalla
 
kosa la ummy ni kuwa mnafiki kwa wabaya wake...

kama ameshindwa kusema hajatendewa haki, angekaa kimya tu...

ccm mnakuwaga washenzi sana, yaani unamkanyaga mtu halafu unamlazimisha aombe radhi...
 
kosa la ummy ni kuwa mnafiki kwa wabaya wake...

kama ameshindwa kusema hajatendewa haki, angekaa kimya tu...

ccm mnakuwaga washenzi sana, yaani unamkanyaga mtu halafu unamlazimisha aombe radhi...
hakuwa makini alimsema mama bila kujua kuwa anatepiwa,ndipo alipoitwa na mama akaplay hiyo clip,aliomba ardhi ipasuke
 
kosa la ummy ni kuwa mnafiki kwa wabaya wake...

kama ameshindwa kusema hajatendewa haki, angekaa kimya tu...

ccm mnakuwaga washenzi sana, yaani unamkanyaga mtu halafu unamlazimisha aombe radhi...
kakosewa kwa kutoteuliwa au kuna lingine mkuu?
 
Nimesima kwa jicho la tatu na kuona ni kama kushtaki kwa wananchi badala ya kushukuru. Umeandika siyo kwa unyenyekevu au kukubali maamuzi ya kamati kuu na hiyo ni ishara isiyo nzuri Tambua kuwa Mamlaka yako ni katibu mkuu wa CCM na ndiye mdhamini wako mkuu mbele ya wananchi ambao unawashukuru. Mamlaka husika ni kubwa zaidi ndiyo maana imeona iteue mwingine badala yako na watia Nia wengine. Ni vema sasa na Unatakiwa kuonyesha ukomavu kisiasa kwa kuiandikia mamlaka hiyo na siyo kuja mitandao ni. Huu ni ushauri wangu binafsi baada ya kusoma barua yako nakuona umekosea sana na ni vema radhi itangulie kisha na kurejea kuandika tena.
UMMY MWALIMU AKAJIAJIRI SASA!
 
Wanawake wanapitia magumu sana hata kama mwenyekiti ni mwanamke, same kwa waalimu yaani hata kama rais ni mwalimu yaani waalimu wamezidi kudharaulika
 
Amepost wapi hiyo barua? Hebu iweke tuione. Mbona kwenye ukurasa wake Instagram amepost shukurani tu tena kwa unyenyekevu mkubwa?
Nimesima kwa jicho la tatu na kuona ni kama kushtaki kwa wananchi badala ya kushukuru. Umeandika siyo kwa unyenyekevu au kukubali maamuzi ya kamati kuu na hiyo ni ishara isiyo nzuri Tambua kuwa Mamlaka yako ni katibu mkuu wa CCM na ndiye mdhamini wako mkuu mbele ya wananchi ambao unawashukuru. Mamlaka husika ni kubwa zaidi ndiyo maana imeona iteue mwingine badala yako na watia Nia wengine. Ni vema sasa na Unatakiwa kuonyesha ukomavu kisiasa kwa kuiandikia mamlaka hiyo na siyo kuja mitandao ni. Huu ni ushauri wangu binafsi baada ya kusoma barua yako nakuona umekosea sana na ni vema radhi itangulie kisha na kurejea kuandika tehiyo barua?
 
Wanawake wanapitia magumu sana hata kama mwenyekiti ni mwanamke, same kwa waalimu yaani hata kama rais ni mwalimu yaani waalimu wamezidi kudharaulika
 
Back
Top Bottom