Mlidanganywaaaa kwenye amsha amsha.....ya ziara ya usanii....subiri mdanganywe tena....karibia uchaguzii...hakuna pesa hizo usidanganyweUliwatangazia wakazi wa Jiji la Tanga kuwa mkandarasi amepewa bilioni 15 kumalizia barabara. Mbona Mkandarasi sasa hayupo site?
Kwenye ziara wanawapelekea wasanii wakata mauno,wananchi hapo wanaserebuka wanasahau kila kitu 😄Mlidanganywaaaa kwenye amsha amsha.....ya ziara ya usanii....subiri mdanganywe tena....karibia uchaguzii...hakuna pesa hizo usidanganywe
Wanapigwa sound mwa mwe....then wanaondoka zao kuwaacha umasikini wao...Tanga ilikuwa u chawa mtupu na uongo uliopitilizaaaa....Kwenye ziara wanawapelekea wasanii wakata mauno,wananchi hapo wanaserebuka wanasahau kila kitu 😄
Ova
Sound as usualUliwatangazia wakazi wa Jiji la Tanga kuwa mkandarasi amepewa bilioni 15 kumalizia barabara. Mbona Mkandarasi sasa hayupo site?